Kwanini Mwenyezi Mungu hupenda sana Kuwazawadia Wakristo Mvua Siku za Pasaka na Krismas huku wengine akiwakaanga na Jua Kali tu?

We mleta huu Uzi,Acha kuwa mbumbumbu.Kwani Hiyo mvua inaponyesha wakati wa Xmas na au Pasaka,kwani huwa inawanyeshea Wa-Kristo peke yao ? Wa-Islam hawapati Hiyo mvua ? Mungu Ni Mwema,Huwa Hana ubaguzi.Huinyesha mvua yake kwa wote.Kwa watu wa dini zote.Pia hata wenye dhambi(Waliomuasi Mungu) huipata na kuifaidi mvua yake.
 
"Ikadula" πŸ˜‚πŸ˜‚ pure Mbeya material...
 
β€œMungu wetu”
Wa wakristo au wa waislamu?
Maana wakristo wanasema "Mungu wao atachoma waislamu wotee kwa kuwa hawamuamini Yesu"

Waislamu ""Mungu atachoma Wakristo wote kwakuwa hawasadiki mafundisho ya Mtume Muhamed SAW""

#YNWA
 
Wa wakristo au wa waislamu?
Maana wakristo wanasema "Mungu wao atachoma waislamu wotee kwa kuwa hawamuamini Yesu"

Waislamu ""Mungu atachoma Wakristo wote kwakuwa hawasadiki mafundisho ya Mtume Muhamed SAW""

#YNWA

Mungu hatahukumu dini, ataukumu watu... kama unaamin ktk dini jiangalie wewe kama wewe? Mungu haukumu kwa mafungu
 
Numb head,ndiyo maana unaabudu mamalia
 
Pasaka iko dunia nzima. Hivi unadhani dunia nzima kuna mvua?πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Tukisema mtoa mada huna akili tutakuwa tumekosea?
 
Huku kwa wazungu wenyewe mvua hamna na jua ndio limeanza kuwaka na wamejiachia uchi wote na pasaka hii
Nao unawasemea Vipi au nyie wa huko ndio mna baraka zaidi
Hujui sherehe hizo huwa zinajirudia kila mwaka?
Wakati za Kiislam zinabadilika kila mwaka?
Yaani Shari inatafutwa kwa kila njia
 
Yaani title tu 😁😁😁😁
Nilicheka hadi nikakaa chini
Eti huku wengine wanakaangwa na juaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Genta bhana.
 
Genta bhana.
Huyu Mtu mnamtaja sana hapa JamiiForums mara kwa mara je, ni nani halafu kwanini Wengi wenu mnampenda na mnamshobokea kupita Maelezo?

Natamani kumjua ili ikiwezekana anipe nami Hirizi yake ili nami niwe nakubalika na natajwa mno hapa Jamvini kisha niweze kuwa maarufu kama Yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…