kusema hakuna mkristo anayesilimu inaonesha wewe ndo maamuma uliyechelewa,, Ni sawa na muislam kusema hakuna muislam anayeritadi Ni ushabiki wa kishamba,,,na uislam haujawahi kuenezwa kwa kumwaga damu za watu wasio na hatia tafuteni elimu msimuache aende zake,,, hakuna Vita hata moja aliyopigana nabii Muhammad sababu ikiwa Ni kueneza dini na hakuna Aya hata moja iliyoamrisha waislam wapigane Vita ili kuwafanya wasio waislam wawe waislam,,, hakuna Kama ipo ilete isipokua Aya zote zilizoamrisha waislam kupigana Ni kwa ajili ya kujilinda baada ya kuchokozwa na kufanyiwa fujo na ukorofi na washirikina wa macca bila kukoma na baada ya njia za mazungumzo kushindikana,,tena waislam walipigana chini ya taratibu maalum kua hakuna kuua wazee,,watoto,,walemavu,,wanawake na yeyote ambaye hajashika silaha kwa ajili ya kupigana,,hakuna kuharibu vyanzo vya maji Wala kukata Miti Wala kuua wanyama labda kinachowauma Ni kua Mungu wetu ameturuhusu kupigana ikiwa mtatuchokoza huku kwetu hakuna unyonge wa ukipigwa la kulia geuza na la kushoto,,, na aliyefundisha kuua Hadi vichanga vilivyozaliwa leo Ni Mungu wa biblia hlf kwa nje mnaupaka mafuta ukristo kua ni wa upendo na haki wakati mafundisho yake yapo kinyume.
Deuteronomy 20:17
But you shall utterly destroy them, the Hittite and the Amorite, the Canaanite and the Perizzite, the Hivite and the Jebusite, as the Lord your God has commanded you,
1 Samuel 15:3
Now go and strike Amalek and utterly destroy all that he has, and do not spare him; but put to death both man and woman, child and infant, ox and sheep, camel and donkey.’” Sasa hapa kondoo,,ngamia na punda walikosa Nini jamani.
Numbers 31:18
But all the girls who have not known man intimately, spare for yourselves. On hapa Yan Mungu wenu kaona wasichana bikra ndo wamuhimu wasiuwawe Bali mjitwalie mkajisosomole but wazee,watoto,walemavu na wanawake wasio bikra sio shida zake wauwawe tu.
Hosea 13:16
Samaria will be held guilty,
For she has rebelled against her God.
They will fall by the sword,
Their little ones will be dashed in pieces,
And their pregnant women will be ripped open.
Exodus 32:28
So the sons of Levi did as Moses instructed, and about three thousand men of the people fell that day.
Deuteronomy 20:16
Only in the cities of these peoples that the Lord your God is giving you as an inheritance, you shall not leave alive anything that breathes.
Deuteronomy 15
For the Lord your God will bless you as He has promised you, and you will lend to many nations, but you will not borrow; and you will rule over many nations, but they will not rule over you.
Deuteronomy 13:16
Then you shall gather all its booty into the middle of its open square and burn the city and all its booty with fire as a whole burnt offering to the Lord your God; and it shall be a ruin forever. It shall never be rebuilt.
Deuteronomy 12:3
You shall tear down their altars and smash their sacred pillars and burn their Asherim with fire, and you shall cut down the engraved images of their gods and obliterate their name from that place.
Joshua 6:21
They utterly destroyed everything in the city, both man and woman, young and old, and ox and sheep and donkey, with the edge of the sword.
Hadi hapo upendo mnaotutangazia Upo kwenye ukristo Ni upi hasa au Ni ule wa nyie kufurahia mwenzenu kutundikwa msalabani kwa midhambi na upuuzi wenu,,,,mko na ubinafsi Sana yani mtu mmoja asiye na hatia aadhibiwe kwa makosa ya watu wengine bado mnajinasibu Mungu wenu Ni wa haki kwa Nini Kila mtu asihukumiwe na makosa yake mwenyewe hamuoni Kama hiyo ndo haki zaidi hata msamaha utokane na jitihada za mtu binafsi kuomba msamaha na kujutia makosa yake na kurekebisha mwenendo wake,, mna mavitu mengi ya ujinga mwingi hlf kutwa kuwakebehi waislam toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndo ukione kibanzi kilichopo kwenye jicho la mwenzio. halafu concept ya dhambi la asili sijawahi kuelewa yani kwa Nini Mungu wa upendo awarithishe na awahukumu kwa dhambi ya mtu mwingine na kwa Nini hakuwarithisha thawabu mkarithi dhambi tu.
Halafu unauliza Allah Ni nani?? waulize waarabu wakristo wanamuitaje Mungu kwa kiarabu..