Kwanini nafurahishwa sana na nazikubali mno Nyodo na Dharau za Dotto Magari ambazo ni Chungu Kwetu Wasomi, Wabaguzi na wenye Dharau kwa Masikini?

Rubbish and Nonsensical.
 
Popoma kama kawaida yake alishapigwa ban ...nilijua tu kwa huu uzi hawezi kutoboa
Hujiulizi kwanini hata nikiwa BANNED bado najadiliwa Kutwa hapa JamiiForums na nikirejea Jamvi linaanza Kuchangamka?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE Kudadadeki.....!!
 
Very true naona tatizo ni mfumo wa elimu yetu unamjenga mtu kuajiriwa na wale waliojiajiri jamii yetu huwadharau na kuonekana kama wamefeli maisha au hawana elimu au hawaajiriki,hadi utoboe na ufike level fulani ndio utaheshimika
Mtu akivaa suti na tai anaonekana ni msomi na kafanikiwa hata kama hana kitu, ila yule mwenye shamba la mpunga anayeshinda shambani anadharaulika
 
Gentamicin wewe ni PHD holder??
 
Gentamicin wewe ni PHD holder??
Nina Degree yangu moja tu ya SAUT Mwanza ya mwaka 2009 ya Mass Communication ( nikibobea sana katika Print Media ), ila nashangaa kwanini Mwenyezi Mungu kanipa Uelewa mkubwa na Akili nyingi kiasi kwamba kuna Watu hapa JamiiForums na hata huku Mtaani wanadhani nina PhD ( Doctorate ) wakati hata Masters tu sina na wala hiyo Doctrate ( PhD ) sina mpango wa Kuisoma.
 
Tuambie mafanikio yake mkuu ni yapi. au umaarufu wa mitandaoni ndio tafsiri ya mafanikio? sio mbaya ukatuambia an kipato chake kwa mwezi na miradi aliyo nayo
 
Sawa

Unaniona wapi Yanga msimu ujao??,itafanikiwa zaidi ya hapa ilipofanikiwa??
 
Dah kweli Tz tunashida sanaa kuishi na watu kama hawa.
 
Sawa

Unaniona wapi Yanga msimu ujao??,itafanikiwa zaidi ya hapa ilipofanikiwa??
Kwa Upuuzi ulioko Simba SC, mapungufu yasiyovumilika ya Waamuzi na Unafiki wa TFF and TPLB naiona Yanga SC kuwa Mabingwa tena Msimu ujao.
 
yule ni comedian hana huo utajiri hausemao mbona anakaa uswazi
 
yule ni comedian hana huo utajiri hausemao mbona anakaa uswazi
Aliyekuambia na Kukudanganya kuwa Uswazi hakuna Matajiri au hawakai Matajiri ni nani? Mkiwambiwa Majuha mnanuna.
 
Anasema mtu sie nyau...! 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…