Kwanini nafurahishwa sana na nazikubali mno Nyodo na Dharau za Dotto Magari ambazo ni Chungu Kwetu Wasomi, Wabaguzi na wenye Dharau kwa Masikini?

Mtu asiye na elimu huyo ni mzigo kwa Taifa , no intelligent person unaenda wap sasa , Dotto Magari ni mfano wa jinsi ambavyo mtu asiye na elimu inabd ajitoe ufahamu ( mental crazy) ili apate mafanikio ....hii ni njia ngumu Zaid ya kufanikiwa kuliko kwenda shule , pelekeni watoto wenu shule waelekeze namna ya kuunganishwa na Dunia , achaneni kusifia vtu ambavyo havina future yyte
 
90% ya wasomi wa TZ, ni wasomi UCHWARA. kama mtu una Elimu na umeshindwa kuifanya ikuletee MAFANIKIO nikuiteje kama siyo uchwara tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…