Kwanini namuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan?

Thamani ya Samia itakuja kuonekana siku hayupo madarakani...
Tena ikiwezekana tupate jitu lenye Sera za Magufuli aturudishe upya kwenye "kuunga mkono juhudi" bila kuuliza swali wala kupinga kitu
 
Sipati picha tukiipata kiongozi Kutoka bukoba itakuwaje!!!

Kila kiongozi akija, anakuja na muono wake binafsi, ghafula wote tunafuata maono binafsi,

Tunahitaji MAONO ya nchi, Dira ya nchi Kwa miaka 200 ijayo,

Rais akiingia madarakani anakuta ramani mezani ya tuendako.

Katiba mpya ni sasa, Si BAADAYE.

Amen
 
Kwa kulitambua hilo ndo mana Tume ya Mipango imerudi katika kipindi chake.

Simpambi tu. Nafuatilia sana utendaji wa Serikali yake na naufanyia sana tathmini.
 
Thamani ya Samia itakuja kuonekana siku hayupo madarakani...
Tena ikiwezekana tupate jitu lenye Sera za Magufuli aturudishe upya kwenye "kuunga mkono juhudi" bila kuuliza swali wala kupinga kitu
Kama tunataka kwenda mbele kweli. Ni lazima tujitahidi sana kuepuka kupata viongozi ambao wana mlengo wa kushoto hasa wenye nationalist ideas.

China ambao wana asili ya ukomunist wanaepuka sana kuwa na Kiongozi wa namna hiyo ndo mana sasa soon wataenda kuiongoza Dunia.
 
Una miaka 47 kweli au ni 17? Wasomi wote wanasema watu 1.5milioni wameiuza nchi ya watu 60 mili lakini wewe hilo hulioni? Halafu unasema eti watanzania ni wajinga? Hapo mjina ni nani?

Hivi kwaanza una watoto au umepuyanga nchi za watu ukasahau kuacha alama duniani? Kama unao, je unafikiri kwa mikataba hii wajukuu wako watakuwa na haki yoyote hapo Kilimanjaro?
 
Nonsense
 
Hebu acheni kumdharau kisa mwanamke mnajua mkimsifia Kaukuu ka wilaya mezani .mama anapendwa na watanzania wote hadi wapinzani .ila sasa tumeacha kumuunga mkono hadi atutolee hilo Jinamizi la jehanam aka DP WORLD
 
Kwa kulitambua hilo ndo mana Tume ya Mipango imerudi katika kipindi chake.

Simpambi tu. Nafuatilia sana utendaji wa Serikali yake na naufanyia sana tathmini.
Ukubali pia, fursa za kiuchumi kuangalia uarabuni Si maono ya nchi ni maono binafsi ya aliyepo.

Tume ya mipango itaangalia aliyepo anasema nini, anawaza nini.

Tunahitaji Tume ya mipango HURU isotokana na chama Dola pekee.
 
Sasa wewe tufanye ni msomi. Niambie nchi imeuzwaje?

Usikimbie!
 
Hebu acheni kumdharau kisa mwanamke mnajua mkimsifia Kaukuu ka wilaya mezani .mama anapendwa na watanzania wote hadi wapinzani .ila sasa tumeacha kumuunga mkono hadi atutolee hilo Jinamizi la jehanam aka DP WORLD
Jinamizi kivipi?
 
Case closed

You can't defend your point, that's all!!

So will just consider it as hate speech!
My points are well above your head.

Shills like you can’t go toe to toe with me.

I’ll wash and fold you like a pretzel.
 
Kwa upande wangu sijawahi kumkubali hata mara moja kwa sababu sioni aliko faulu hata sehemu moja, Kila sehemu ana jipapatua bila mafanikio,huko kwenye uchumi ndio kafeli zaidi Kila siku uchumi unazidi kuanguka,
anacho weza yeye ni kukopa na kuwapa mianya wezi kuendelea kuiba kwa kadri wanavyo penda, alafu anawauliza eti "bado hamja tosheka" 🤔🤔
Hana sifa na haiba ya uongozi hata kidogo ame tuonesha mwenyewe kwamba hatoshi kwenye nafasi iliyo muangukia kama ngekewa
 
Kwani Bukoba kuna shida gani?
 
My points are well above your head.

Shills like you can’t go toe to toe with me.

I’ll wash and fold you like a pretzel.
No more arguments

Refer the post herein above

Case is closed!
 
Hapo umefanya generalisation. Kuna watanzania tena wengi sana nikiwemo mimi ambao hatuoni shida kwenye huo mkataba
again ni haki yako na hao wengine kujiondoa ufahamu.

Nimesema Watanzania hawajaridhika na mkataba, hivyo, haina maana hawaungi mkono uwekezaji huo wa Bandari.


Wewe huoni kuna tofauti kati ya Kuunga mkono na Kuridhika kwa jambo?

amani ikufikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…