Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Huko ndiko mnakokimbilia umeshindwa na hoja , mimi nakuwekea ushahidi wa hao waliokuandikia hizo biblia wanavyokuambia , matusi na kejeli nakupa uhuru hiyo ni choice au labda ndiyo mafundisho ya kanisa lenu
Hakuna muislam mweye hoja,hata Allah hilo limemshinda ndio maana aliamuru mtume akabwe baada ya kujieleza kwamba hajui kusoma🤣🤣🤣
 
Reactions: 511
Hakuna muislam anaweza mtindo wa maswali na majibu,ndio maana CP anawaua sana kule youtube😄😄😄.


Kwa hivyo Biblia haina uhusiano wowote na Injili ya asili ya Yesu au Torati ya Musa, ambazo zote mbili zimetoweka, kwa kadiri tu athari za maandishi yao zinavyoweza kuwa sehemu ya maneno machache yaliyohusishwa na Musa na. Yesu katika Biblia.

Bado, ni vigumu kuamua ni maneno gani kati ya haya ni mafunuo ya Mungu na ni mafundisho ya nabii husika.



Allah anasema ndani ya Qur’an :

{Basi ole wao wanao andika Kitabu kwa mikono yao! kisha husema: Haya yametoka kwa Mwenyezi Mungu. Ili waifanye biashara, kwa thamani ndogo; Basi ole wao kwa yale iliyoyaandika mikono yao, na ole wao kwa yale waliyo yachuma.} (Al-Baqarah 2:79).
 
Kwa hivyo Biblia haina uhusiano wowote na Injili ya asili ya Yesu au Torati ya Musa, ambazo zote mbili zimetoweka, kwa kadiri tu athari za maandishi yao zinavyoweza kuwa sehemu ya maneno machache yaliyohusishwa na Musa na. Yesu katika Biblia.
Tunaomba injili halisi ya Yesu na torati ya Mussa,popote pale ilipo.
Bado, ni vigumu kuamua ni maneno gani kati ya haya ni mafunuo ya Mungu na ni mafundisho ya nabii husika.
Kwanini ni vigumu??wakati tayari unafahamu si halisi??
Yeye mwenyewe ana kesi ya kujibu,kwanini aruhusu watu waandike na ana uwezo wa kuandika yaliyotoka kwake???
 
Reactions: 511
Uislamu ni dini ya ujinga, kutovumiliana, vurugu, chuki, uasherati, uovu, iliyojaa uongo/waongo. Uislamu una Muhammad, nabii wa uongo mwenye dhambi sana, kama Mwalimu wa Uislamu. Waislamu ni WATUMWA wa Muhammad. Kwa vile Muhammad ni nabii wa uongo, Uislamu ni dini ya uwongo ya waliopotea.
 
Hakuna muislam mweye hoja,hata Allah hilo limemshinda ndio maana aliamuru mtume akabwe baada ya kujieleza kwamba hajui kusoma🤣🤣🤣

Hii hapa hoja tuambie

Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili yake mwenyewe...



Warumi 2:16

16Haya yatatukia siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama Injili yangu inavyotangaza.

Warumi 16:25

Basi atukuzwe yeye awezaye kuwathibitisha ninyi kwa Injili yangu na uhubiri wa Yesu Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri iliyofichwa tangu zamani za kale;



Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Mungu...


Warumi 15:16

16 niwe mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa mataifa, mwenye wajibu wa ukuhani wa kutangaza Habari Njema ya Mungu, ili watu wa mataifa mengine wawe dhabihu inayokubalika kwa Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.

2 Wakorintho 11:7

7 Je, ni dhambi kwangu kujishusha ili nipate kuwainua ninyi kwa kuwahubiria Habari Njema ya Mungu bila malipo?

Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Kristo...

1 Wakorintho 9:13

Lakini hatukutumia haki hii. Badala yake, tunavumilia chochote badala ya kuizuia Injili ya Kristo.

13 Je, hamjui kwamba wale wanaofanya kazi Hekaluni hupata chakula chao cha Hekalu, na wale wanaotumikia madhabahuni hushiriki sadaka ya madhabahu?

2 Wakorintho 2:12

12 Nilipokwenda Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo, nikaona kwamba Bwana amenifungulia mlango.

2 Wakorintho 9:13

13 Kwa sababu ya utumishi mliojionyesha wenyewe, watu watamsifu Mungu kwa ajili ya utii unaoambatana na kuiungama kwenu Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu katika kushiriki pamoja nao na pamoja na watu wengine wote.

2 Wakorintho 10:14

14 Hatuendi mbali sana katika kujisifu kwetu, kama ingekuwa hivyo kama hatungekuja kwenu, kwa maana tulifika kwenu kwa Habari Njema ya Kristo.

Warumi 1:9

9 Mungu, ambaye ninamtumikia kwa moyo wangu wote katika kuihubiri Habari Njema ya Mwana wake, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka ninyi daima.


Mstari wa mwisho unaonyesha tofauti kati ya Mungu na Yesu

Je, Paulo alikuwa akihubiri injili yake mwenyewe, injili ya Yesu au Injili ya Mungu?
 

Una uhuru wa kuandika utakalo bila ushahidi , MImi nakuwekea ushahidi , hujanitoa makosa hata sehemu moja

Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.
 
Je, Paulo alikuwa akihubiri injili yake mwenyewe, injili ya Yesu au Injili ya Mungu?
Hapa Muhammad alihubiri mawazo yake mwenyewe au ya allah?
Blessed the brutal murder of a half-blind man (al-Tabari 1440) mkorinto usikubali kufanyiwa interview. Unajibu nae akujibu otherwise usijisumbue.
 

Ulisoma shule ya ngumbaro ??
Yaani wakristo Wakatoliki waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?
 
Una uhuru wa kuandika utakalo bila ushahidi , MImi nakuwekea ushahidi , hujanitoa makosa hata sehemu moja

Kwa mujibu wa wasomi wa Biblia, hata utunzi wa vitabu vya Agano la Kale na Injili zenyewe una mashaka.
Sijibu hoja zako maana hujawahi jibu zangu.
Unataka uwe unajibiwa wewe tu why? Conversation is btn 2 ppl. I ask, u answer, then u ask i answer. Will you do that?????
 
Ulisoma shule ya ngumbaro ??
Yaani wakristo Wakatoliki waanzishe uislamu unaosema Yesu si Mungu , Yesu hakusulubiwa, Hakuna utatu Mtakatifu, Maria si mama wa Mungu ? Nani kakulisha matango pori yenye sumu ?
Kasome historia ya dini utajua. Huwezi pata ukweli kwa kutumia kitabu cha imani kukosoa.

Both islam and Christianity has its origin. Huihui2
 
Sijibu hoja zako maana hujawahi jibu zangu.
Unataka uwe unajibiwa wewe tu why? Conversation is btn 2 ppl. I ask, u answer, then u ask i answer. Will you do that?????

basi soma hii ufunue kichwa chako

Katika karne ya kumi na tisa, wasomi wa Biblia wa Kikristo wameanza kujadili maana ya “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulikotokea katika Torati.

Hivi ni visa vilivyotokea mara mbili mbili, na kila mara kinakuwa na maelezo tofauti.

Miongoni mwa visa hivyo ni visa viwili vya agano la Mungu na Ibrahimu, linalohusu Mungu kubadilisha Jina la Yakobo na kuwa Israeli pia na kisa cha Musa kupata maji kutoka katika mwamba.

Watetezi wanaotetea utunzi wa Musa wamesema kuwa “kujirudiarudia mara mbili mbili” hakukuwa na kupingana, bali ni kuleta faida.

Dhamira zao zilikuwa ni kutufundisha undani, na maana ndogo juu ya Torati.

Hata hivyo, madai haya yalifagiwa haraka haraka na wasomi walio na moyo wa uadilifu, walioona kuwa, sio tu baadhi ya vifungu vilikuwa vinapingana kwa uwazi kabisa, lakini pia wakati kule “kujirudiarudia mara mbili mbili” kulipotenganishwa na kuwa vifungu viwili, kila kifungu kwa uthabiti kilitumia jina la Mungu lilotofauti.

Siku zote mtu anaweza kumchukulia Mungu kuwa ni Yahweh au Jehovah, andiko hili liliitwa “J”. Na lingine, siku zote, linamchukulia Mungu kuwa ni Elohim, na liliitwa “E”.

Kulikuwa na sifa za kifasihi zilizopatwa kuwa ni moja kwa waraka mmoja au mwingine.

Uchambuzi wa fasihi za kisasa, kwa mujibu wa Profesa Richard Friedman unaashiria kuwa vile vitabu vitano vya Musa ni mchanganyiko wa Kiebrania wa kuanzia karne ya tisa, nane, saba na sita B.C. (Kabla ya kuzaliwa Kristo).

Kwa hiyo, Musa aliyeishi karne ya kumi na tatu B.C., alikuwa yu mbali mno na Kiebrania cha Biblia hata kuliko alivyokuwa mbali Shakespeare na Kingereza cha leo
 
Injili ya paulo ni ipi??

Injili ya Mungu ni ipi??

Injili ya kristo ni ipi??
 
Hapa Muhammad alihubiri mawazo yake mwenyewe au ya allah?
Blessed the brutal murder of a half-blind man (al-Tabari 1440) mkorinto usikubali kufanyiwa interview. Unajibu nae akujibu otherwise usijisumbue.
Kuna muislam anaweza kufanya hivi sasa😄😄😄
 
Reactions: 511
Chambua qurani achana na magazeti ya mtandaoni.
Kwanza umethibitisha ulivyo mweupe kichwani. Hata nilichoandika hujakielewa.
 
Jibu mbona liko uchii?!!!
 
Reactions: 511
Kasome historia ya dini utajua. Huwezi pata ukweli kwa kutumia kitabu cha imani kukosoa.

Both islam and Christianity has its origin. Huihui2

Upeo wa kujua ni kiasi gani kilichoongezwa waziwazi katika matini asilia ni vigumu sana kuamua.

Kwa hiyo, kivuli kikuu cha mashaka kimegubika utunzi wa vitabu vyote kiujumla.

Katika kiambatisho cha toleo la Rivised Standard Version chenye anuani “Vitabu vya Biblia,” yafuatayo ndiyo yaliyoandikwa kuhusiana na mtunzi wa zaidi ya theluthi moja ya vitabu vilivyobakia katika Agano la Kale:


Waamuzi mwandishi Huenda ni Samweli

Ruthu mwandishi Huenda ni Samweli

Samweli wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Samweli wa Pili mwandishi Hajulikani

Wafalme wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Wafalme wa Pili mwandishi Hajulikani

Mambo ya Nyakati wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Esta mwandishi Hajulikani

Ayubu mwandishi Hajulikani

Mhubiri mwandishi Kuna mashaka

Yona mwandishi Hajulikani

Malaki mwandishi wake Hakuna kinachojulikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…