Nimethibitisha hapa. Hata maana ya kafir hajui, amekalili aliyomezeshwa madrasa.Waislam karibia wote wako hivyo, usijisumbu kuwapa fact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimethibitisha hapa. Hata maana ya kafir hajui, amekalili aliyomezeshwa madrasa.Waislam karibia wote wako hivyo, usijisumbu kuwapa fact
Mungu wa wakirito akisha kufa msharabani bhana aliuliwa na wayahudiWaislam wanaamini ukipigana vita kwa ajili ya Allah basi unaenda mbinguni.
Ukristu unaamini kuwa Mungu anaweza pigana vita vyake mwenyewe
Mbona sauti zao laini, kama mapapai vile 🤒🤒
Ulianza kasha mwenyewe. Umeni quote mara 2 nikapotezea ukaendelea.Ndio hoja za Roho Mtakatifu wako unaposhindwa hoja hukimbilia kukuongoza huko , tumewazoea
Eritrea hawana ujinga huo,ni wakristu pure wakibadili rasta.Eritrea nayo ina asili ya uislam
Naona hawa vijana wa Mombasa wamevimbiwa na miogo ya usiku wanakuja na aya za kupotosha.Hawaijuwi Biblia.Biblia siyo kama zile hadithi zenu.
Uislam unasema "al elmu qablal qaul wal amal" kwa maana; elimu kwanza kabla ya kuongea na kabla ya utekelezaji wa jambo. Huu ndiyo uislam. Uislam haukuruhusu kuingia kwenye masuala yoyote isipokuwa kwa elimu na haukuruhusu kutoka kwenye masuala yoyote isipokuwa kwa elimu.Unataka uthibitisho?
Angalia wale Waislamu wauaji wanatamka maneno gani wakati na baada ya kutekeleza ujahili wao?
Maana yake ni kwamba hivyo ndivyo Kurani imewaelekeza kufanya.
Dini ya Uislamu ni ya ulazimishaji, ndiyo maana hata kwenye mfungo wa Ramadhan huwa mnawabeza na kuwatukana wasiofunga.
Mbaya zaidi, kwenye nchi na maeneo waliko Waislamu wengi kama Zanzibar, Uarabuni, nk, huduma muhimu za kijamii kama chakula na maji zinasitishwa kisa tu nyie mko kwenye mfungo.
Kamwe hiyo haiwezi kuwa dini ya Mungu wa kweli.
Mkuu, you're better than this.
Mungu wa wakirito akisha kufa msharabani bhana aliuliwa na wayahudi
Yesu: aliyeniona Mimi, amemwona Mungu. (Yohana 14:5-9).
Unaweza kufafanua maana ya maandiko haya?
^Tumfanye mtu katika mfanano Wetu, katika sura Yetu^ (Mwanzo 1:26).
^Bwana Mungu akasema: Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja Wetu...^ (Mwanzo 2:22).
Hicho kiwakilishi cha nafsi ya kwanza wingi (^wetu^ na ^yetu^) humaanisha nini?
Unaelewaje? Kwa sababu Mungu ndiye anazungumza hapo.
Soma pia:
Yohana 1:1-4 Neno (Kristu) alikuwa Mungu kabla hajaja duniani na kufanyika mwanadamu.
Wakolosai 1:16, 17 Ndiye Muumbaji wa vyote, mbinguni & duniani.
hayo ndiyo mafundisho ya Yesu na Roho Mtakatifu wako unaposhindwa hoja , huna jengine
Yesu: aliyeniona Mimi, amemwona Mungu. (Yohana 14:5-9).
Unaweza kufafanua maana ya maandiko haya?
^Tumfanye mtu katika mfanano Wetu, katika sura Yetu^ (Mwanzo 1:26).
^Bwana Mungu akasema: Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja Wetu...^ (Mwanzo 2:22).
Hicho kiwakilishi cha nafsi ya kwanza wingi (^wetu^ na ^yetu^) humaanisha nini?
Unaelewaje? Kwa sababu Mungu ndiye anazungumza hapo.
Soma pia:
Yohana 1:1-4 Neno (Kristu) alikuwa Mungu kabla hajaja duniani na kufanyika mwanadamu.
Wakolosai 1:16, 17 Ndiye Muumbaji wa vyote, mbinguni & duniani.
Mbona sauti zao laini, kama mapapai vile 🤒🤒
Naona hawa vijana wa Mombasa wamevimbiwa na miogo ya usiku wanakuja na aya za kupotosha.Hawaijuwi Biblia.Biblia siyo kama zile hadithi zenu.
huna jipya umeshindwa hoja umekimbilia makatuni , tumeyazowea hayo mgen, ZILIPENDWA
Shia hawawez kuudhalilisha uislamu kwa kuwatukana, kubeza na kudharau maswahaba. Pia hawawez kumtukana mke wa kipenzi chetu eti kahaba. Lazima pachimbike maamaeeJifunze na jielimishe kwanza!
ugaidi
/ugaidi/
vitendo vya kutisha; kutumia nguvu; mauaji na mashambulizi yanayofanywa kwa ajili ya kufikia malengo fulani ya kisiasa au kidini.
Huyu alikuwa dini gani???
The U.S. Government Had Nelson Mandela on Terrorist Watch Lists Until 2008. Here’s Why
list/![]()
The U.S. Government Had Nelson Mandela on Terrorist Watch Lists Until 2008. Here’s Why
On the centennial of Nelson Mandela's birth, he is remembered as a symbol of peace—but he was on the U.S. terror watch list until 2008time.com
Umezunguka sana, ila unasumbuliwa na :
chuki
/t∫uki/
1. tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya
2. maneno ya kugombanisha watu
3. hali ya kukasirika
ulizowea sauti za mapadri ??