Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Kwanini Nchi nyingi zenye asili ya Uislam zinakumbwa na Vita sana?

Upeo wa kujua ni kiasi gani kilichoongezwa waziwazi katika matini asilia ni vigumu sana kuamua.

Kwa hiyo, kivuli kikuu cha mashaka kimegubika utunzi wa vitabu vyote kiujumla.

Katika kiambatisho cha toleo la Rivised Standard Version chenye anuani “Vitabu vya Biblia,” yafuatayo ndiyo yaliyoandikwa kuhusiana na mtunzi wa zaidi ya theluthi moja ya vitabu vilivyobakia katika Agano la Kale:


Waamuzi mwandishi Huenda ni Samweli

Ruthu mwandishi Huenda ni Samweli

Samweli wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Samweli wa Pili mwandishi Hajulikani

Wafalme wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Wafalme wa Pili mwandishi Hajulikani

Mambo ya Nyakati wa Kwanza mwandishi Hajulikani

Esta mwandishi Hajulikani

Ayubu mwandishi Hajulikani

Mhubiri mwandishi Kuna mashaka

Yona mwandishi Hajulikani

Malaki mwandishi wake Hakuna kinachojulikana
Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)
 
Chambua qurani achana na magazeti ya mtandaoni.
Kwanza umethibitisha ulivyo mweupe kichwani. Hata nilichoandika hujakielewa.

Quran huiamini kwa hivyo samaki hukaangwa kwa mafuta yake


Kiarama ilikuwa ndio lugha inayozungumzwa na Wayahudi wa Palestina. Kwa hiyo, inaaminika kuwa Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakizungumza na kufundisha kwa Kiarama.

Mapokeo ya mdomo kwa mdomo ya mwanzo kabisa ya matendo na maneno ya Yesu bila shaka yaliduru katika Kiarama.

Hata hivyo, Injili nne zimeandikwa kwa kauli tofauti kabisa, Kigiriki, lugha ya ustaarabu wa ulimwengu wa eneo la bahari ya kimediterania, ilihudumia makanisa mengi, na kuyafanya yawe ya Kigiriki (Yanatumia Kigiriki) badala ya Kipalestina (Kiarama).

Alama za Kiarama bado zipo katika Injili za Kigiriki.

Kwa mfano, katika Marko 5:41, “Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.”

na Marko 15:34 “Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
 
Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)

Kiarama ni lugha ya Kisemiti iliyochukua nafasi ya lugha ya Akkadian kidogo kidogo na kuwa lugha ya kwanza ya watu wa Mashariki ya Karibu katika karne ya saba na sita BC.

Baadaye kikawa lugha rasmi ya Himaya ya Persian.

Kiarama kimechukua nafasi ya Kiebrania na kuwa lugha ya Wayahudi; sehemu ya Vitabu vya Agano la Kale ya Danieli na Ezra zimeandikwa kwa Kiarama, kama zilivyoandikwa Talmudi (kitabu cha Wayahudi) za Jerusalem na Babyloni.

Hicho ni kipindi cha athari kubwa zilizopanuka kuanzia mwaka 300 BC hadi 650 CE, baada ya hapo kidogo kidogo Kiarabu kilichukua nafasi yake. (The New Encyclopedia Britannica, toleo 1, pp. 516)
 
Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)

Ingawa, Injili ya Marko katika Agano Jipya, Wasomi wa Kanisa wanaizingatia kuwa ndio Injili ya kale zaidi, haijaandikwa na mwanafunzi wa Yesu.

Wasomi wa Biblia kwa kutegemea ushahidi uliopo katika Injili hiyo, wanahitimisha kuwa Marko mwenyewe hakuwa mwanafunzi wa Yesu. Zaidi ya hayo, kwa mujibu wa wasomi hao, hawana yakini juu ya huyo Marko alikuwa ni nani hasa.

Mtunzi wa kale wa Kikristo, Eusebius (325 C.E.) ameripoti kuwa Mtunzi wa kale mwingine, Papias (130 C.E.), alikuwa wa mwanzo kuihusisha Injili ya Marko kwa John Mark, mfuasi wa Paulo.

Wengine wanaonelea kuwa huyo mwandishi wa Marko huenda alikuwa mwanafunzi wa Peter, pia wengine wanang`ang`ania kuwa huenda alikuwa ni mtu mwingine kabisa.

Hali hiyo hiyo kwa Injili nyinginezo, ingawa Mathayo, Luka na Yohana ni majina ya wanafunzi wa Yesu, watunzi wa Injili zinazobeba majina yao hawakuwa hao wanafunzi mashuhuri wa Yesu, isipokuwa ni watu wengine waliotumia majina ya wanafunzi wa Yesu ili kuyafanya maelezo yao yasadikike.

Kwa hakika, Injili zote kiasili zinaduru katika mzingo wa kutotajwa jina la mtunzi.

Majina ya watunzi yamepewa vitabu hivyo na watu wasiojulikana wa kanisa la mwanzo.
 
Acha basi. Islam is a religion of peace ✌️


Kuna kiasi cha mistari mia mbili inayopatikana katika Injili mbili za Mathayo na Luka (mfano Mathayo 3:7-10 na Luka 3:7-9; Mathayo 18:10-14 na Luka 15:3-7, bila ya kulingana katika Marko wala Yohana.

Kama njia ya kufafanua maafikiano hayo yanayogonga, Msomi wa Kijerumani ameweka nadharia tete ya kuwa kulikuwa na nyaraka za chanzo, alichokirejea ambacho ni kama Quelle (Neno la Kijerumani kwa maana “chanzo”).

Kifupisho “Q” baadaye kilijengewa kuwa ndio jina lake. Kuwepo kwa Q mara moja kulipewa changamoto na baadhi ya wasomi katika uwanja wa kuwa isemwayo ni Injili kwa hakika haikuwa Injili.

Changamoto hiyo inadai kuwa hakukuwa na kufanana kwa ukale kwa Injili ikiwemo na maneno na mafumbo na ukosefu wa historia ya Yesu, hasa hasa historia ya majaribu yake na kifo chake.

Kugundulika kwa Injili ya Thomas imebadilisha yote hayo. (Injili Tano, p. 12) Injili ya Thomas ina misemo na mafumbo mia moja na kumi na nne alioandikiwa Yesu; haina mfumo simulizi; hakuna maneno ya Yesu mpunga pepo, tabibu, majaribu, kifo, wala kufufuka; hakuna habari za kuzaliwa wala utoto; na hakuna kifungu kilichosimuliwa cha uchungaji wake kwa hadhira ya watu huko Galilaya na Judea.

Tafsiri ya Coptic ya maandiko haya (imeandikwa kiasi cha miaka 350 C.E.), iliyopatikana mwaka 1945 huko Nag Hammadi nchini Misri, imewawezesha wasomi kutambua vipande vitatu vya Kigiriki (vyenye tarehe ya takriban miaka 200 C.E.) imegunduliwa mapema zaidi, ikiwa ni kipande cha nakala tatu tofauti tofauti za Injili hiyo hiyo.

Injili ya Thomas inafanana mara arobaini na saba na Marko, kufanana na Q mara arobaini, na Mathayo mara kumi na saba, na Luka mara nne, na Yohana mara tano.

Kiasi cha misemo sitini na tano au sehemu ya misemo ni ya kipekee kwa Thomas. (The Five Gospel, p.15).
 
Quran huiamini kwa hivyo samaki hukaangwa kwa mafuta yake


Kiarama ilikuwa ndio lugha inayozungumzwa na Wayahudi wa Palestina. Kwa hiyo, inaaminika kuwa Yesu na wanafunzi wake walikuwa wakizungumza na kufundisha kwa Kiarama.

Mapokeo ya mdomo kwa mdomo ya mwanzo kabisa ya matendo na maneno ya Yesu bila shaka yaliduru katika Kiarama.

Hata hivyo, Injili nne zimeandikwa kwa kauli tofauti kabisa, Kigiriki, lugha ya ustaarabu wa ulimwengu wa eneo la bahari ya kimediterania, ilihudumia makanisa mengi, na kuyafanya yawe ya Kigiriki (Yanatumia Kigiriki) badala ya Kipalestina (Kiarama).

Alama za Kiarama bado zipo katika Injili za Kigiriki.

Kwa mfano, katika Marko 5:41, “Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.”

na Marko 15:34 “Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”
Murdered those who insulted him. (Bukhari 56:369, 4:241)
 
Kuna kiasi cha mistari mia mbili inayopatikana katika Injili mbili za Mathayo na Luka (mfano Mathayo 3:7-10 na Luka 3:7-9; Mathayo 18:10-14 na Luka 15:3-7, bila ya kulingana katika Marko wala Yohana.

Kama njia ya kufafanua maafikiano hayo yanayogonga, Msomi wa Kijerumani ameweka nadharia tete ya kuwa kulikuwa na nyaraka za chanzo, alichokirejea ambacho ni kama Quelle (Neno la Kijerumani kwa maana “chanzo”).

Kifupisho “Q” baadaye kilijengewa kuwa ndio jina lake. Kuwepo kwa Q mara moja kulipewa changamoto na baadhi ya wasomi katika uwanja wa kuwa isemwayo ni Injili kwa hakika haikuwa Injili.

Changamoto hiyo inadai kuwa hakukuwa na kufanana kwa ukale kwa Injili ikiwemo na maneno na mafumbo na ukosefu wa historia ya Yesu, hasa hasa historia ya majaribu yake na kifo chake.

Kugundulika kwa Injili ya Thomas imebadilisha yote hayo. (Injili Tano, p. 12) Injili ya Thomas ina misemo na mafumbo mia moja na kumi na nne alioandikiwa Yesu; haina mfumo simulizi; hakuna maneno ya Yesu mpunga pepo, tabibu, majaribu, kifo, wala kufufuka; hakuna habari za kuzaliwa wala utoto; na hakuna kifungu kilichosimuliwa cha uchungaji wake kwa hadhira ya watu huko Galilaya na Judea.

Tafsiri ya Coptic ya maandiko haya (imeandikwa kiasi cha miaka 350 C.E.), iliyopatikana mwaka 1945 huko Nag Hammadi nchini Misri, imewawezesha wasomi kutambua vipande vitatu vya Kigiriki (vyenye tarehe ya takriban miaka 200 C.E.) imegunduliwa mapema zaidi, ikiwa ni kipande cha nakala tatu tofauti tofauti za Injili hiyo hiyo.

Injili ya Thomas inafanana mara arobaini na saba na Marko, kufanana na Q mara arobaini, na Mathayo mara kumi na saba, na Luka mara nne, na Yohana mara tano.

Kiasi cha misemo sitini na tano au sehemu ya misemo ni ya kipekee kwa Thomas. (The Five Gospel, p.15).
Ordered the murder of women. (Ibn Ishaq 819, 995)
 
Injili ya paulo ni ipi??

Injili ya Mungu ni ipi??

Injili ya kristo ni ipi??


Ndiyo maana nikakuwekea maneno ya Paulo na hivyo anavyosema , WEWE kama mkristo utufahamishe kwa ushahidi siyo maneno yako au ya mchungaji wako ipi hiyo injili ya mungu , na ipi injili ya Yesu na ipi injili ya Paulo ??
 
Ndiyo maana nikakuwekea maneno ya Paulo na hivyo anavyosema , WEWE kama mkristo utufahamishe kwa ushahidi siyo maneno yako au ya mchungaji wako ipi hiyo injili ya mungu , naipi injili ya Yesu na ipi injili ya Paulo ??
Demanded the protection of armed bodyguards, even in a house of worship
(Quran 4:102) Mtume wa mnyazi hawaamini hata wafuasi wake.
 
Ndiyo maana nikakuwekea maneno ya Paulo na hivyo anavyosema , WEWE kama mkristo utufahamishe kwa ushahidi siyo maneno yako au ya mchungaji wako ipi hiyo injili ya mungu , naipi injili ya Yesu na ipi injili ya Paulo ??
Mimi wala mchungaji wangu hatuna cha kuongeza hapo.

Ninachotaka kujua ni injili tatu tofauti ulizozitaja.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Demanded the protection of armed bodyguards, even in a house of worship
(Quran 4:102) Mtume wa mnyazi hawaamini hata wafuasi wake.
Mwisho kabisa akafa kwa sumu.

Tena akiwa kaapa kabla kwamba kama niliyowaambia ni uongo linifike baya hata nife kifo cha sumu kukata koo langu😄😄😄
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Mwisho kabisa akafa kwa sumu.

Tena akiwa kaapa kabla kwamba kama niliyowaambia ni uongo linifike baya hata nife kifo cha sumu kukata koo langu😄😄😄
Died fat and wealthy from what was taken from others in war or demanded from others in tribute🤣
 
Murdered those who insulted him. (Bukhari 56:369, 4:241)


Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek la October 31, 1988, p. 44., lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana"ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani
 
Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek2F3, lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana"ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani
Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)
 
Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)


Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza…

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno. Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885;

na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901
 
Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)


Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus
 
Died fat and wealthy from what was taken from others in war or demanded from others in tribute🤣
Mshenzi yule akatoa na agizo kwamba ni rukhsa kuoa mateka wa kivita,wala hakuna tatizo.

Yaani mpaka unajiuliza hivi Allah ni Mungu huyu tunayemjua au ni mshkaji wake na Muhammad🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Katika gazeti la kimataifa la, Newsweek la October 31, 1988, p. 44., lililobeba makala yenye kichwa 'Oo Bwana, Nani Aliyeandika Dua hii?'

kikosi cha wanatiolojia kutoka katika dhehebu kuu la kiporestanti, pamoja na Wasomi muhimu wa Biblia wa Kikatoliki nchini Marekani, baada ya ukaguzi wa kina wa miswada ya mwanzo kabisa ya Agano Jipya, wamehitimisha kuwa maneno pekee ya "Dua ya Bwana"ambayo yanaweza kunasibishwa barabara na Yesu Kristo ni "baba".

Na hilo, ni kwa mujibu wa wasomi hao wa kanisa, maneno yote yaliyokuja baada ya ibara ya kwanza, "Baba yetu", ambayo ni dua muhimu sana ya Kikristo, yaliongezwa karne nyingi na waandishi wa kanisa walionukuu miswada ya mwanzoni ya Injili.

Shirika la U.S News & World Report, linanukuu zaidi kuwa, kikundi cha wasomi kilisema kuwa zaidi ya asilimia 80 ya maneno yaliyoandikwa katika Injili kumhusu Yesu huenda ni ya kubuniwa.

Miongoni mwa hayo likiwemo neno la Ekaristi ya Yesu katika Karamu ya Mwisho ("Chukua, kula. Huu ni mwili wangu…") na kila neno aliloambiwa kuwa amelitamka toka msalabani
mkorinto umeona unafiki huu?
Kafir US leo kawa jiwe kuu la msingi🤣 daah kosa yote upate elimu.
Kumbe ndio maana wanahaha na Israel bila kujua wao ndio chanzo.

Under the leadership of Prophet Mohammad, many lives were killed or forced to convert.
 
Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)


Toleo la American Standard Version lilipewa haki miliki ya kuzuia matini yake isibadilishwe bila idhini.

Mnamo 1928 haki hiyo ilipatikana kutoka katika Baraza la Kimataifa la Elimu na Dini, na kwa hiyo likawekwa katika umiliki wa makanisa ya Marekani na Canada yaliyoshiriki katika baraza hilo kwa kupitia bodi zao za elimu na uchapaji.

Baraza hilo liliainisha kamati ya wasomi kusimamia matini ya ya Toleo la American Standard Version na kufanya uchunguzi na kujua kama marekebisho zaidi yanahitajika… [Baada ya miaka miwili] uamuzi ulifikiwa; nao ni kuwa; kunahitaji marekebisho kikamilifu katika toleo la 1901, ambalo litabakia kuwa lipo karibu na mapokeo ya Tyndale-King James kama itakavyokuwa… Mnamo 1937 na marekebisho yalipewa idhini kwa kura ya Baraza hilo."

"Wasomi thelathini na wawili walitumika kama wanakamati wa kamati iliyotakiwa kufanya marekebisho hayo, nao waliyalinda mabadiliko na kuishauri Bodi ya Ushauri ya wawakilishi hamsini wa madhehebu ili kushirikiana kufanya kazi hiyo…
 
Mshenzi yule akatoa na agizo kwamba ni rukhsa kuoa mateka wa kivita,wala hakuna tatizo.

Yaani mpaka unajiuliza hivi Allah ni Mungu huyu tunayemjua au ni mshkaji wake na Muhammad🤣🤣
Muhammad was a self appointed prophet of God. Apart from Muhammad's claim, there is no evidence whatsoever to support his prophethood.
 
Back
Top Bottom