Kwanini Nchi za Kiislamu zinaendelea kukumbwa na umaskini? Sababu zilizofichika za Kihistoria na Kisasa

Kwanini Nchi za Kiislamu zinaendelea kukumbwa na umaskini? Sababu zilizofichika za Kihistoria na Kisasa

Hoja ni kwamba neenda kwenye website ya FBI na CIA uone nchi zinazo categorise kua na waislamu wengi Africa aTanzania ipo sensa ya CIA wanajua wenyew e waliifanya je mwaka 1965 waislamu Tanzania walikua 56% tangu huo mwaka waislamu hawaja ongezeeka unafikili na kufika 60%?
Nenda kanyonye huna akili bado nafikiri hujui nchi zenye waislamu wengi zinakuaje
 
Mkuu acha kuleta Google wana I feed data kulingana na mwenye mamlaka, tena wengi wano jipa hizo data ni maadui wa Islamu hawawezi kusema Zuri lolote kuhusu uislamu.
Hujielewi wewe umechanganyikiwa Kila mtu unabishana nae🤣🤣🤣
 
Nedna kanyonye huna akili bado nafikiri hujui nchi zenye waislamu wengi zinakuaje
Mkuu naona umeishiwa hoja sio baya suburi wenye hoja watukuja tu, mimi siwezi kutukana mtu hata nikishindwa kupata hoja zenye mashiko.
 
Mbona Tanzania pamoja nakua na waislamu majority 60% na viongozi walio lelewa na kukuzwa kwa maadili ya kiislamu wa zaziba r na bara bado tunapiga hatua kila mwaka, kiuchumi.......bigup Mama Raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.........japo wengi wanaumia kulikubali kwamba hi nchi ni ya kiislamu kimya kimya, tamaduni nyingi tunazo fanya hapa kwetu ni za kiislamu kabisa.
In Tanzania, the estimated ratio of Muslims to Christians is roughly 35% Muslims and 60% Christians, with the remaining 5% of the population following other religions or having no religious affiliation.

The Muslim population is primarily concentrated in coastal regions such as Zanzibar and Pwani, while Christians are spread more widely across the country, with significant populations in regions like the northern, central, and southern areas. However, these figures may vary slightly based on different sources and the evolving demographics over time.
 
Wewe nani kakuambia Tanzania ni nchi ya wa kuristo wengi? Neenda kwote dunian FBI na CIA wana categorise Tanzania kama nchi uenye waislamu majority achana na hizi propaganda za CCM eti serikali haina dini.
ukijumlisha na zanzibar kwenye waislam wengi
 
In Tanzania, the estimated ratio of Muslims to Christians is roughly 35% Muslims and 60% Christians, with the remaining 5% of the population following other religions or having no religious affiliation.

The Muslim population is primarily concentrated in coastal regions such as Zanzibar and Pwani, while Christians are spread more widely across the country, with significant populations in regions like the northern, central, and southern areas. However, these figures may vary slightly based on different sources and the evolving demographics over time.
The source is not authentic mkuu, Google ni kama mtu yoyote hanawa au hafanyi utafiti, wanaweka wanavyo taka viongozi wao kimasirahi
 
The source is not authentic mkuu, Google ni kama mtu yoyote hanawa au hafanyi utafiti, wanaweka wanavyo taka viongozi wao kimasirahi
Weka yako hapa sisi tumeshakuwekea hii Kwa mujibi wa google
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-131153.jpg
    Screenshot_20241222-131153.jpg
    159.4 KB · Views: 3
Nchi nyingi zenye Waislamu wengi zinakabiliwa na changamoto kubwa za kiuchumi, hali inayochangiwa na sababu za kihistoria, kitamaduni, na taasisi. Nchi kama Morocco na Yemen, licha ya historia tajiri ya kiasili, zinakumbwa na viwango vya juu vya umasikini, huku wastani wa Pato la Taifa kwa kila mtu (GDP per capita) ukiwa chini kwa takribani dola 5,000 ikilinganishwa na wastani wa dunia. Sababu za hali hii ni mseto wa mambo ya ndani na nje yaliyofanya nchi hizi kushindwa kufanikisha maendeleo endelevu.

Mafanikio ya Kale na Sababu za Kuporomoka

Karne ya 10 BK, ulimwengu wa Kiislamu ulikuwa moja ya nguvu kubwa za kiuchumi duniani, ukichangia asilimia 10 ya Pato la Dunia. Hali hii ilitokana na ujuzi wa biashara, maendeleo ya kiteknolojia ya wakati huo, na mifumo ya kiuchumi iliyokuwa imara. Hata hivyo, mafanikio haya hayakudumu kutokana na sababu zifuatazo:

1. Ukosefu wa Makampuni Makubwa na Biashara za Kudumu

Sheria za urithi za Kiislamu zinasisitiza mgawanyo wa mali kwa warithi wengi. Hii ilisababisha mtaji kupunguzwa kwa kila kizazi, hali iliyosababisha biashara kuwa ndogo na kukosa uwezo wa kukua na kudumu kwa muda mrefu. Ukosefu huu wa uendelevu ulisababisha kudumaa kwa sekta ya biashara, huku uchumi wa nchi ukitegemea zaidi shughuli za viwanda vidogo na kilimo.

2. Ukosefu wa Mfumo wa Kibenki Imara

Sheria za Kiislamu zinazopiga riba zilisababisha maendeleo duni ya sekta ya benki. Hali hii ilifanya iwe vigumu kwa wafanyabiashara kupata mikopo ya kupanua shughuli zao. Matokeo yake, sekta ya kifedha ilibaki kuwa dhaifu, ikizidisha matatizo ya kiuchumi.

3. Udhaifu wa Mifumo ya Kisheria

Utegemezi wa ushahidi wa mdomo katika sheria za Kiislamu ulipunguza uaminifu katika mikataba ya biashara. Hii ilisababisha wawekezaji wa kigeni kuwa waangalifu, hali iliyozuia mtiririko wa uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje (FDI). Ukosefu wa uwekezaji uliathiri ukuaji wa viwanda, huku wafanyabiashara wakihangaika kupata ulinzi wa kisheria kwa mali zao.

4. Utegemezi wa Uongozi wa Kidini

Katika historia ya nchi nyingi za Kiislamu, viongozi wa kisiasa walitafuta uhalali kutoka kwa mamlaka za kidini. Hii ilizuia mageuzi ya kiuchumi, kwa kuwa mabadiliko yoyote yaliyoonekana kutishia ushawishi wa kidini yalipingwa. Matokeo yake, juhudi za kuimarisha uchumi zilikwama.

Tamaduni na Ubunifu: Sababu za Mkwamo wa Maendeleo

1. Kupungua kwa Ubunifu wa Kiteknolojia


Katika kipindi cha mabadiliko ya viwanda duniani, ulimwengu wa Kiislamu uliachwa nyuma. Marufuku ya mashine ya uchapishaji katika baadhi ya maeneo ya Kiislamu ni mfano dhahiri wa jinsi tamaduni zilivyozuia maendeleo. Wakati mataifa ya Magharibi yalikuwa yakichapisha vitabu na kusambaza maarifa, nchi nyingi za Kiislamu zilichelewa kujiunga na mapinduzi haya ya maarifa. Hii ilizuia maendeleo ya kielimu na kiuchumi, huku ulimwengu wa Kiislamu ukipoteza nafasi yake kama kitovu cha uvumbuzi.

2. Utamaduni wa Kudumu na Hali ya Mabadiliko Polepole

Muunganiko wa mamlaka za kidini na kisiasa ulisababisha tamaduni za nchi za Kiislamu kuwa sugu kwa mabadiliko. Maamuzi mengi ya kisiasa na kiuchumi yaliathiriwa na hofu ya kupoteza uhalali wa kidini, hali iliyosababisha maendeleo kuwa polepole au kutokuwepo kabisa.

Njia za Kutatua Changamoto Hizi

Ili kuboresha hali ya kiuchumi katika nchi zenye Waislamu wengi, juhudi za kina zinapaswa kufanywa kwa kuzingatia maeneo yafuatayo:

1. Mageuzi ya Sheria za Urithi

Kuweka mfumo wa urithi unaoruhusu mali za familia kubaki kuwa za umoja badala ya kugawanywa. Hii itasaidia biashara kukua na kudumu kwa vizazi kadhaa.

2. Kuimarisha Mfumo wa Kibenki

Kukuza mifumo ya kifedha inayofuata kanuni za Kiislamu lakini inayotoa suluhisho mbadala kwa riba, kama vile mikopo ya msingi wa hisa au ushirika wa faida na hasara.

3. Kuwekeza katika Ubunifu na Teknolojia

Kuanzisha sera zinazohamasisha uvumbuzi na matumizi ya teknolojia za kisasa. Mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuweka kipaumbele katika elimu ya sayansi na teknolojia ili kujiweka sawa na mataifa mengine.

4. Kutenganisha Dini na Siasa

Ingawa dini ina nafasi muhimu katika maisha ya kijamii, kuna umuhimu wa kutenganisha maamuzi ya kisiasa na ushawishi wa kidini ili kuwezesha mageuzi ya kiuchumi na kijamii.

5. Kuvutia Uwekezaji wa Kigeni

Kuimarisha mifumo ya kisheria ili kuongeza uaminifu kwa wawekezaji wa ndani na wa nje. Ulinzi wa mali za wawekezaji na mikataba yao utasaidia kuvutia mtaji unaohitajika kwa maendeleo ya viwanda.

Hitimisho

Changamoto za kiuchumi zinazokumba nchi nyingi za Kiislamu hazisababishwi tu na ukoloni bali pia historia ndefu ya masuala ya kitamaduni na taasisi. Ili kuboresha uchumi wao, nchi hizi zinapaswa kukumbatia mageuzi ya kimuundo na kiutamaduni, kuimarisha elimu, na kushirikiana na jamii ya kimataifa. Hii inaweza kusaidia kufungua mlango wa maendeleo endelevu na kurejesha nafasi yao katika uchumi wa dunia.
1. Andika hoja ya Uongo
2. Tafuta sababu za Uongo kutetea hoja

Nchi za Kiisilamu ni masikini toka lini? Nchi pekee za kiisilamu zenye Umasikini wa kutupwa level ya Africa ni Afghanistan, Somalia na Yemen na zenyewe nazo ni sababu ya Vita,

Ila nchi zote za kiisilamu zenye Amani hakuna yenye Umasikini wa kutupwa.

Nchi kama Malyasia, Indonesia, Brunei, Oman, Saudi Arabia, Kuwait, Bahrain, UAE, Qatar, Iraq etc kwa miongo kadhaa ni magiant wa Uchumi Duniani.

Even Nchi kama Palestina, Syria, Libya na wengineo wenye vita ukicompare na Nchi za Ki Africa uchumi wao mzuri zaidi.

Hata Hapa Africa Nchi za Kiisilamu ukiangalia Uchumi wao kama Morocco, Algeria, Tunisia, Egpty etc utafananisha na Malawi, Kenya, Tanzania etc
 
Nimekupa chimbo neenda CIA na FBI classified information website kuna wakati wanazuachia kwa public knowledge hizo information Tanzania ni majority Muslim country.
Leta wewe ilo chimbo hapa kama sisi tulivyoleta Kwa mujibu wa google
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-131153.jpg
    Screenshot_20241222-131153.jpg
    159.4 KB · Views: 2
1. Andika hoja ya Uongo
2. Tafuta sababu za Uongo kutetea hoja

Nchi za Kiisilamu ni masikini toka lini? Nchi pekee za kiisilamu zenye Umasikini wa kutupwa level ya Africa ni Afghanistan, Somalia na Yemen na zenyewe nazo ni sababu ya Vita,

Ila nchi zote za kiisilamu zenye Amani hakuna yenye Umasikini wa kutupwa.

Nchi kama Malyasia, Indonesia, Brunei, Oman, Saudi Arabia, Kuwait, Bahrain, UAE, Qatar, Iraq etc kwa miongo kadhaa ni magiant wa Uchumi Duniani.

Even Nchi kama Palestina, Syria, Libya na wengineo wenye vita ukicompare na Nchi za Ki Africa uchumi wao mzuri zaidi.

Hata Hapa Africa Nchi za Kiisilamu ukiangalia Uchumi wao kama Morocco, Algeria, Tunisia, Egpty etc utafananisha na Malawi, Kenya, Tanzania etc
Mkuu unataka kusema Tanzania sio nchi ya waislamu?
 
Wafalme wenye maono na zali la mentali (uhitaji wa mafuta kimataifa )
Sio zali la mentali, kama Dubai ni matajiri siku nyingi, Waingereza Wamecolonise Africa na Asia wamefika hapo badala ya kufanya ukoloni wakataka Urafiki, wasaidiwe kupambana na pirates na wao watawalinda,

Sio fluke hao jamaa kuweza kutumia resource zao vizuri, uisilamu na Biashara ni Chanda na Pete, sio Coincidence Majiji makubwa Ulaya kama London, ama Nchi kubwa Africa kama South Africa hata ukija Tanzania biashara zinamilikiwa na hao hao wafanya Biashara wa Kiisilamu. Ni utamaduni ambao upo zaidi ya miaka 1000 sasa.
 
Kwani wewe umejuaje kwamba ni muislamu na unawakika gani kwamba mimi ni muialamu? acha udini mkuu
Udini Gani nimeleta hapo hujielewi wewe unabweka mda wote bila vielelezo wenzio tumeleta data wewe unabweka tu
 
Uislamu Ulifika pwani ya Afrika Mashariki kabla ya Morocco na Tunisia FYI
Tunisia mbali hivyo hapo hapo Saudia kuna watu wameusikia uisilamu wakati tayari umeshafika pwani ya Africa mashariki.

Mfalme Najad wakati anawapokea Waisilamu waliokuja Kuomba hifadhi Africa bado Mtume yupo Mecca, na anasambaza uisilamu kwa Siri, Hata Madina haja kwenda Bado.

Kuna msikiti Somalia unaitwa Qiblatain hadi leo upo Kibla chake kipo Jerusalem kama ushahidi.
 
Udini Gani hujielewi wewe unabweka mda wote bila vielelezo wenzio tumeleta data wewe unabweka tu
Mkuu una panic bure nimekuuliza suali simple umejuaje kwamba yule jama ni muislamu na mimi pia ni muislamu, jibu kwa hoja acha hasira mkuu.
 
Back
Top Bottom