Kwanini Nchi za Kiislamu zinaendelea kukumbwa na umaskini? Sababu zilizofichika za Kihistoria na Kisasa

Mkuu una panic bure nimekuuliza suali simple umejuaje kwamba yule jama ni muislamu na mimi pia ni muislamu, jibu kwa hoja acha hasira mkuu.
Soma comment zake ndio utajua labda uwe huna akili ndio hutojua hata wewe pia labda mtu ambae Hana akili ndio hatojua kama wewe sio mvaa gauni na kobazi
 
E
Wewe ni mpumbavu,mdini,mjinga na mwenye chuki------angalia Hali ya uchumi wa mataifa yenye waislam wengi na yenye wakristo wengi Kisha make conclusion.
Mfano Africa,chukua Sour africa,Zambia,Tanzania,D.R.C,Malawi.......kisha fananisha na nchi zenye waislam wengi kama Libya,Morocco,Algeria,Misri,Nigeria..........utapata jibu.
Yaani serious Morocco hii hii,mfalmw wake aliyeihaidi Tanzania uwanja wa Mpira wa soka,inakumbwa na viwango vya juu vya umasikini?,kuliko Tanzania,Kenya,Zambia,Botswana,Malawi,D.R.C etc?
Morocoo yenye per capital ya zaidi ya $10,000?,
Sina shida na wakristo ila Nina shida ya wakristo wenye chuki Kali ya uislma hadi kuimpairs judgement zao ukiwemo wewe na wewe ni mfano halisi WA hao wapumbavu
 

Attachments

  • FT_19.03.29_muslimChristianPopulations_christian.png
    104.8 KB · Views: 6
  • images (8).png
    39.1 KB · Views: 7
Paniki ya nini fukara wewe umasikini wako unataka umalize hasira humu
 
Soma comment zake ndio utajua labda uwe huna akili ndio hutojua hata wewe pia labda mtu ambae Hana akili ndio hatojua kama wewe sio mvaa gauni na kobazi
Mkuu nimekuomba leta ushahidi unaniambia kusoma comment zake leta hiyo comment yake inayo declare Dini yake.......mbona hutaki kuelewa mkuu jitahidi kujibu suala sio kutukana mkuu.
 
Nakubaliana na Weww Kabisa..
Ila Kumbuka Dubai na UAE inaongoza kuwa na Uchumi Mkubwa
Dubai umeenda mbali sana hapa haoa Africa,.......hao akina Morocoo,Libya,Algeria,Tunisia,Egypt,.......90% population wamejaa waislam,kisha compre na nchi tano zenye 90% wakristo Africa kama D.R.C,ZAMBIA,ZIMBABWE,MALAWI na Central Africa Republic.
Angalia hata hapa bongo,........Kagera ina wakristo wengo sana kuliko Zanzibar ambapo 99% ni waislam,....ila maendelea ya Zanzibar ni 1000X ya maendelea ya Kagera,waislama hawajasoma na kukalilia elimu za sifa ila linapokuja suala la maendeleo wapo mbele ya muda.
Yes Tanga kwa wavivu ni jiji ila Moshi ni mjiπŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜…
 
Mkuu nimekuomba leta ushahidi unaniambia kusoma comment zake leta hiyo comment yake inayo declare Dini yake.......mbona hutaki kuelewa mkuu jitahidi kujibu suala sio kutukana mkuu.
Tufanye wote nyie ni wakristo Aya leta ushahidi kwamba tanzania ni nchi ya kiislamu
 
Vipi South Africa na hao waarabu wako wa africa wapi kumeendelea
 
We kiasi kweli tanzania Kuna uislamu 60% si Al shabab wangeshatia timu hii nchi inawakristo wengi ndio maana hamna ugaidi
Kama Hadi Leo unaamini Kuna vita ya ugaidi wewe ni mpumbavu ........hiz vita zipo endapo wanaume wanatetea rasilimali zao.........kipindi Northern Mara barrick na Accacia wanachimba madini na kituachia 16%,mwarabu asingekubalo hata iweje,pangechimbika the mafala kama wewe mungeita ugaidi.
Wnaume wapo kazini,kipindi wewe unasema Iraq Kuna magaidi,Per capital yao ni $9000 mara Tisa ya Tanzania,jielimisheni.
Ulishaona alshabaab anaivamia Tanzania,ama Uganda baada ya kuevacuate wanajesi wake?
Kenya anajifanya anamtetea mzungu,moto ulimuwakia.
Yes kama ugaidi ni kupiganja rasilimali zako,......acha tu watanzania waendelee kuchotewa madini yao huku wakisifiwa wao kisiwa cha amani
 
Watu munaambiwa ukweli, munaendekeza udini maandazi.
Prince Salman si unaona anavoifungua saudia kwenye Islamic sharia zinazo hinder maendeleo ya uchumi.
Woman wameruhusiwa ku drive car's. etc.
Huko Taliban woman hawaruhusi kusoma university .

Nchi za Arab wangingefungamanisha Islamic sharia na maendeleo ya uchumi wangekuwa mbali sana kiuchumi
 
Shida nini njaa imekupanda kichwani au mbona unaropoka kama umejinyea umasikini umekudatisha mpaka unaandika ushuzi mrefu Ili uonekane unauchungu sana au?
 
Wapumbavu hao wanalishana matango Pori uislam ni against pover hata Iraq kwenye vita ilikua masikink ila Sasa Ina uchumi imara mara 2 ya south Africa,...............hata hizo Syria,Yemen na Afghanistan ni suala La muda TU.......sababu kule hakuna mgodi wala kisima cha mafuta kinachomilikiwa na wazungu kaa Africa,jamaa wakitulia TU wanaanza kufyonza mali zao,thus why Iraq ndani ya 4 yrs GDP imekua 10 X.
Uisam upo against poverty kua sadaka zichangwe Iringa vijijini zitumwe Vatican kwa wajanja wachche wale bata this is typical colonialism
 
Shida nini ndio Ili uonekane unahasira sana au maana kama unawadudu kichwani unabwekabweka ovyo?
 
Shida nini njaa imekupanda kichwani au mbona unaropoka kama umejinyea umasikini umekudatisha mpaka unaandika ushuzi mrefu Ili uonekane unauchungu sana au?
Sehemu yenye uislam wengi haki inatamalaki,lazima ahueni ya maisha itakuepo......cheki Zanzibar hapo,matokeo ya form 4,or 6 yakitoka.....watu wanacheka,........kule Kagera watu wanasoma mno,ila elimu zao haziwasaidiii umasikini umetamalaki.............Zanzibar Ina watu wachache na migodi michache kuliko geita,ila Zanzibar ni nchi,99% waislam,Geita ni mkoa masikini uliojaa wakristo,
 
Nimekuuliza shida nini mbona unabwekabweka ovyo au ndio umasikini umekupanda kichwani?
 
Vipi South Africa na hao waarabu wako wa africa wapi kumeendelea
Mpumbavu ni mtu asiyejua akajifanya anajua akaelekezwa bado akajifanya anajua.............
Cheki hata Tz,...........Tanga Kuna waislam wengi ni jiji,compare na mkoa Kilimanjaro wenye wasomi wengi?
Wakristo wengi wanajua watoto wao kupata division one sekondari ndio utajiriπŸ˜„πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜…
Ok nimekuwekea top five African rich countries ,za waislam zipo ngapi na,ya kwanza ni ya kikristo au kiislam?......jibu kishakawadithie wapumbav wenzako wanaokusanya michango yao nyumba za Ibadan kisha inaenda tumika kama source ya income na wenye akili
Je wewe sio mpumbavu?
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-134435.png
    119.1 KB · Views: 5
Jibu swali mbona unabwekabweka ovyo au umechanganyikiwa?
 
Jibu swali mbona unabwekabweka ovyo au umechanganyikiwa?
Lipokuja suala la maendele waislma wapo mbele ya muda,1000X ..........kipindi Tanganyika wakina Mkapa wanauza migodi yao kwa miaka 99πŸ˜„πŸ˜…πŸ€£,Zanzibar kule kwenye waislam 99.98% reserve ya mafuta haijaguswa hata chembe,watu wanavuta subira wawe matajiri wa kutisha...........wakristo wanajuaga watoto wao kuongea kiingereza na kupata division one ndio utajiriπŸ˜€πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€£
80% ya world reserve oil na gases ipo nchi za kiislam.........uislam means haki, na kwenye haki utajiri unakosaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…