Kwanini Nchi za Kiislamu zinaendelea kukumbwa na umaskini? Sababu zilizofichika za Kihistoria na Kisasa

Ulisha wahi kuenda na kuishi Zazibar alf neenda Omani uone kama kuna tofauti yoyote zazibar kwa 99% ni nchi ya kiislamu japo ni guru kutamka kisiasa.
Kwani Zanzibar si ni sehemu ya OMAN iliyoporwa...
Kwanza itakuwa wanajuta kilichowadanganya kumpindua Sultan maana wangekuwa mbali kimaendeleo..
 
Embu tuwekee na za kidunia maana tupo duniani sio africa
 
Tuwekee takwimu za kidunia tupo duniani sio africa weka maendeleo ya nchi za dunia Kwa ujumla
 
Tanzania ni christian majority
 
Tuwekee takwimu za kidunia tupo duniani sio africa weka maendeleo ya nchi za dunia Kwa ujumla
Kwa nini wewe usiziweke?πŸ˜†πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ€£
1.Yaani hadi leo hii haujui nchi zenye maendeleo hadi raia wasiofanya kazi wanatibiwa Bure ni nchi za kiislam?
2.haujui kua Kuna kanisa kubwa linakusnaya sadak hadi ngazi ya kata,kisha pesa zinaenda kuliwa na wajanja wachache mbele huku ninyi mukisifiwa Muna amani?πŸ˜†πŸ˜†
 
Ushahidi wako tafadhali mkuu.
Hiyo hapo. Halafu acha kuendekeza hisia kwenye ukweli najua unaupenda uislamu lakini kubali kwamba hamko wengi hii nchi mmerudndikana pwani tu.
 

Attachments

  • IMG_0833.jpeg
    782.3 KB · Views: 5
Mbona umeufyata nilijua tu unabwekabweka ovyo bila kutumia akili
 
Ushahidi wako tafadhali mkuu.
Halafu we mbona uleti ushahidi unaishia kuandika porojo tu hii Kali wewe unaomba ushahidi unapewa wewe unaleta porojo 🀣🀣🀣🀣
 
Mbona umeufyata nilijua tu unabwekabweka ovyo
Dadadeki soma hizo nondo nilizoweka kwenye post,.....kima nyie munafikiri uislam ni upumbavu wa kuwakusanyia wanaume wenzenu sadaka......uislam means kuipigania haki kwa maslahi ya vizazi vyako.
Hadi sasa bado unaamini nchi za kiislama ni masikini kuliko Colombia,e udor,Argentina,Zambia,Mozambique kwenye utitir wa wafuas wanaokusanya sadaka zinaenda liwa Vatican?πŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜…πŸ˜ƒ
Kampuni Moja TU ya Saudi Arabia pale Aramco ina utajiri kuliko nchi zote hizo za kikristo nilizitaja,zenyewe zinaongoza kuwachangia raia WA Vatican kula bata
 
Nakubaliana na Weww Kabisa..
Ila Kumbuka Dubai na UAE inaongoza kuwa na Uchumi Mkubwa
Halafu Zimbabwe, Burundi , Ethiopia na Zambia zina uchumi wa aina gani? Nchi nyingi za kiafrika zina hali mbaya sana kuliko nchi za kiarabu zilizotajwa! Tatizo ni nini?! Kabla hatujaangalia matatizo ya waarabu tuangalie kwetu pamekaa vizuri?
 
Hivi unaelewa unachokiandika
 
Nchi zote ulizotaja hapo ni kwasababu ya uchumi wa mafuta (dutch disease )

Kisa tu takwimu za Per Capita zinasema 10,000$; sio kwamba ndio hicho kiasi kimegawanyika ipasavyo kwenye mikono ya wananchi

Nigeria yenyewe hapo Per Capita unakuta inasoma kubwa ila ukienda kwenye uhalisia umakini kama wote

Mfalme wa Morroco kuahidi kujenga uwanja mbona kitu cha kawaida , hata Magu tungemsimika mfalme angewajengea Wanyarwanda hadi treni ya mwendokasi
 
Vipi South Africa na hao waarabu wako wa africa wapi kumeendelea
Kama Hujui South Africa kuna waisilamu Asilimia 1.6 ila wanachangia 10% ya Uchumi, hawa sio Wazungu ila wana Compete na hao Boers kiuchumi. Si maneno yangu haya bali ni Raisi wa South Africa.

 
Kwahiyo South Africa Kuna waislamu wengi kuzidi wakristo si ndio
 
Ingekuwa Muslims majority tungekuwa tupo chini ya sheria za kiislamu tayari maana wenzetu huwa hamtakagi kabisa kutenganisha msikiti na serikali
Kuna mambo mawili kuna kua nchi ya kiislamu na kua nchi ya waislamu, Tanzania ni nchi ya waislamu sio ya kiislamu, elewa hilo mkuu ingekua ya kiislamu tungekua na sheria za kiislamu, ila hatuna ni ya waislamu wanao ongozwa na sheria za kawaida.
 
Kuna mambo mawili kuna kua nchi ya kiislamu na kua nchi ya waislamu, Tanzania ni nchi ya waislamu sio ya kiislamu, elewa hilo mkuu ingekua ya kiislamu tungekua na sheria za kiislamu, ila hatuna ni ya waislamu wanao ongozwa na sheria za kawaida.
Leta data za hao waislamu webgi tanzania mbona data huweki unaakili timamu lakini kichwani kwako kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…