Kwanini Nchi za Kiislamu zinaendelea kukumbwa na umaskini? Sababu zilizofichika za Kihistoria na Kisasa

Uisilamu na zaka inafanya Distribution ya keki ya taifa kuwa kubwa,

Hizo nchi zote za mafuta ukienda wasio na ajira wanalipwa, wasio na Nyumba wanajengengewa wasio na gari wanasaidiwa etc. Hapo Saudia masikini ni yule asie na Nyumba na Gari, unakuta Bilionea anadonate matrilioni ya hela kusaidia masikini.



Kuna mabilionea wengi mno huyu anatoa trilioni 30 huyu trilioni 60 etc kusaidia masikini watu wataachaje kuishi vizuri? Mambo hayo unayakuta kwa waisilamu tu, kote duniani hakuna dini inayoongoza kutoa Charity kushinda waisilamu.
 
Amka utajikojolea
 
Kuna mambo mawili kuna kua nchi ya kiislamu na kua nchi ya waislamu, Tanzania ni nchi ya waislamu sio ya kiislamu, elewa hilo mkuu ingekua ya kiislamu tungekua na sheria za kiislamu, ila hatuna ni ya waislamu wanao ongozwa na sheria za kawaida.
Nchi ya Waislamu na mnashindwa kujitoa kwenye kitanzi hata cha BAKWATA ndugu zangu, are you guys serious? 🀣🀣
 
Acha upotoshaji waislamu Tanzania ni asilimia 31.5 according to.statistics
 
Mungekuwa wengi si mngekuwa na mahakama ya kadhi ? Mngekuwa wengi wahindi na waarabu wangemiliki kila kitu kila mkoa humu Tanzania. Mpaka magenge yangemiikiwa na wahindi na waarabu.
 
Acha upotoshaji waislamu Tanzania ni asilimia 31.5 according to.statistics
Ushahidi tafadhali mkuu, wewe unajua kwanini serekali haitaki kuweka lipengere cha dini kwenye sensa ya watu.
 
umeongea vizuri lakini hoja zako hazina msingi wowote, Uislamu umepanga taratibu zake vizuri na zikifuatwa zina matokeo chanya, na mambo yaliokatazwa yote yana athari mbaya, watu wengi wamefilisika kwa sababu ya riba na watu wengi wametajirika kutokana na utaratibu mzuri wa mirathi , na nyie wakristo ndio mnaongoza kwa kupigania mirathi
 
Nakubaliana na Weww Kabisa..
Ila Kumbuka Dubai na UAE inaongoza kuwa na Uchumi Mkubwa
Ukilinganisha na nchi za Afrika, ni kweli. Lakini ukilinganisha na nchi za Magharibi, UAE ipo kwenye kundi la kati. Mashariki ya kati, nchi zenye higest GDP per capita ni Qatar na Israel. Lakini kiteknolojia Israel ipo mbali sana ukilinganisha na Qatar au nchi nyingine yoyote ya Mashariki ya kati.
 
Wewe, unaota. Tangu lini Tanzania ina waislam 60%?

Waislam kwa Tanzania, hawafiki hata 40%.

Here are some statistics on the religions practiced in Tanzania:
  • Christianity: 55.3% of the population practices Christianity

  • Islam: 31.5% of the population practices Islam

  • Traditional faiths: 11.3% of the population practices traditional faiths

    • Non-religious: 1.9% of the population is non-religious or adheres to other faiths
    • Roman Catholic: 27% of respondents in rural areas and 20.8% in urban areas identify as Roman Catholic
    • Hinduism: A minority religion practiced by about 50,000 people in 2010
    • Zanzibar: Islam is the most prominent religion on the Zanzibar archipelago, with 99% of the population identifying as Muslim
 
Israel Ni nchi ya Kikristo????
 
Acha Kujiongelesha wewe yaani umeandika kinyume chake eti waislam wengi kuzidi wakristo tzπŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
 
Wewe
Wewe umejifungia pwani tembea uone acha kudanganya watu kilaza wewe utachekwa
 
Kamba, UAE ingekua Ulaya still ingekua top 10 ya Nchi Tajiri per capita,


Kwenye data Za ulaya ingekua hapo no 7, na hata Ukiwa weka Uingereza (walijitoa EU ndio maana hawapo kwenye hizo data) inakua ya 8.

Kuiita nchi iliopita ujerumani, Italy, Spain, Ufaransa etc kwamba uchumi wake per capita ni wa kati kunazidi kuonyesha bias zako humu.
 
Pia Israel haijaipita UAE gdp per capita, data za 2023 wamepitwa na 2024 Uchumi wa Israel umekongoroka sasa hivi hata 50K per capita hawafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…