Unajua kuna dunia hii wainga hawaishi. Dunia yote kuanzia Uchina, Ujapani, India, Uarabuni, Urusi, Ulaya Magharabi, Mashariki ya Kati na Amerika wote wanazungumza lugha moja. Halafu wanatokea wajinga wachache wenye shahada za sayansi za uchochoroni wanawakosoa. Ujinga ulioje huu. Nilimsikia rais Samia juzi alipoulizwa maswali anasema anadhani mtu akijifukiza wakati virus ''wakiwa bado koooni'' kabla hawajaingia kwenye mapafu wanaweza kufa!!! Hii unaweza kuona kabisa ni sayansi ya vichakani na watu hawajui hata kidogo virus wanavyoambukiza na kusambaa ndani ya mwili. Magufuli hivyo hivyo alikuwa anasema ukijifukiza na mvuke wenye temperature 100 degraa cg eti virus hawa-survive!!!! Unaweza kuona kabisa hawajui jinsi virus wanavyoji-attach kwenye cells za mwili