#COVID19 Kwanini nchi zilizochanja wananchi wake na kuchukua tahadhari zote ndio zinaendelea kuongoza kwa maambukizi na COVD-19

Nani amesema tupo salama?na nani anapinga kuwa Tz haipo corona? Tunachokataa ni hizo approach zao ndio na sisi tuzitumie wakati wao hazijawasaidia?!!case ya india huwezi ilinganisha na ya kwetu, na muhindi mtofautishe na mwafika.sisi tahadhari za tokea 2020, ndio hizo hizo zimeweza kutufikisha hapa, hivyo tusitishane bwana!!
 
haya mwanasayansi hujui mechanism ya generation ya virus before 72 hours, MAMA na mzee wapo sahihi, na wasingekuwa sahihi nani hakuona dalili za covid vipi amekufa? HOFU HOFU HOFU, bora niogope malaria au ukimwi si coromea hukohuko
 
Approach ipi ambayo mimi nimeandika!? Kutoa data za wagonjwa kila siku na wale waliokufa kivipi haisaidii wakati inaonyesha hali halisi ya ugonjwa nchini? Kuchukua tahadhari kwa kuepuka misongamano na pia kuvaa barakoa na kunawa mikono kila mara ni kivipi tahadhari hizi hazisaidii kupambana na COVID-19!? 😳😳😳

 
Juzi kasema juu juu tu kwamba kuna wagonjwa zaidi ya 100 nchini bila ya kusema wako mikoa ipi na idadi ya waliokufa na kama Serikali inafuatilia watu wa karibu wa hao wagonjwa zaidi ya 100 ili kujua wako salama au tayari wana maambukizi.
Halafu namna alivyotamka hiyo Figure ni kana kwamba hayuko informed vizuri. Unatoa approximation Kwa jambo halisi unakuwa unamaanisha au unaeleza nini? Ina maana hao wagonjwa hawajulikani walipo au kila hospitali walikolazwa wameshindwa kuwahesabu hao wsgonjwa?
 
Juzi kasema juu juu tu kwamba kuna wagonjwa zaidi ya 100 nchini bila ya kusema wako mikoa ipi na idadi ya waliokufa na kama Serikali inafuatilia watu wa karibu wa hao wagonjwa zaidi ya 100 ili kujua wako salama au tayari wana maambukizi.
Kama mwenyewe ulivyosema kwamba "kasema juu juu tu.." sasa hapo tukisema tujadili hilo tutajipa maswali ambayo hakutakuwa na wa kuyajibu.
 
Sipingi uvaaji wa barakoa ila nauliza ni ushahidi gani wa kisayansi wenye kusapoti kuwa uvaaji wa hizi barakoa tunazovaa zinasaidia katika mapambano ya corona?
 
Hivi ni dalili ipi inayokufanya kukubaliana na madai ya kwamba Magufuli alikufa kwa corona? ndio hiyo hoja ya kwamba ukidharau corona utakufa na corona?

Hebu nisaidie na mimi niweze kujua nyie wenzangu mmeona dalili gani katika kifo chake hadi mnasema kinahusika na na corona ?
 
Juzi kati tu kaenda kutembelea hospitali huku akiwa hana taarifa zozote kuhusu uwepo wa wagonjwa wa corona katika hiyo hospitali halafu ghafla anakuja kusema kuna wagonjwa zaidi ya mia wa corona.
 
haya mwanasayansi hujui mechanism ya generation ya virus before 72 hours, MAMA na mzee wapo sahihi, na wasingekuwa sahihi nani hakuona dalili za covid vipi amekufa? HOFU HOFU HOFU, bora niogope malaria au ukimwi si coromea hukohuko
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1756][emoji1756][emoji1756] washenzi wanataka hela zetu na uhai wetu
 
Simply alitakiwa kutoa idadi akatamka ila kiuhalisia haupo huo ugonjwa
 
Kama mwenyewe ulivyosema kwamba "kasema juu juu tu.." sasa hapo tukisema tujadili hilo tutajipa maswali ambayo hakutakuwa na wa kuyajibu.
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1303]
 
Sipingi uvaaji wa barakoa ila nauliza ni ushahidi gani wa kisayansi wenye kusapoti kuwa uvaaji wa hizi barakoa tunazovaa zinasaidia katika mapambano ya corona?
Cool man
 
Achana na propaganda za wafanya buashara wanaowashika WAKUU WANCHI kupotosha ukweli
 
Juzi kati tu kaenda kutembelea hospitali huku akiwa hana taarifa zozote kuhusu uwepo wa wagonjwa wa corona katika hiyo hospitali halafu ghafla anakuja kusema kuna wagonjwa zaidi ya mia wa corona.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata hiyo mwaka juzi kama utachunguza vizuri utagundua kuwa kulikuwa na hofu sana kuliko uhalisia wa huo ugonjwa, na ndio maana pale serikali ilipoacha tu kutoa takwimu hali ikawa shwari.
Kabisa mkuu
 
Wataalamu wamefanya utafiti wa kina kuhusu barakoa hawa KUKURUPUKA tu bila utafiti wowote. Na barakoa zimesaidia sana kupunguza maambukizi katika nchi nyingi duniani vinginevyo bila barakoa idadi ya maambukizi na vifo ingekuwa kubwa sana hata kufikia 50 millions au zaidi duniani kote.

Sipingi uvaaji wa barakoa ila nauliza ni ushahidi gani wa kisayansi wenye kusapoti kuwa uvaaji wa hizi barakoa tunazovaa zinasaidia katika mapambano ya corona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…