Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

Nimezaliwa Huko
Nimekulia Huko
80% ya Ndugu ni Watu wa Huko.
Okay that's good. Sasa why unachokisema kina kinzana na experience za wanaume wengine?!

Kumbuka wanaolalamika ni wanaume na sio m'moja. Halafu jambo lingine kinacholalamikiwa sio kabila bali ni tabia fulani ambayo inaonekana sana kwa jinsia ya kike.

The thing is ingekuwa ni swala la watu kuvumisha then kusingekuwa na ushahidi ila ukitazama hili swala kuna experience hadi za wanawake ambao ndugu zao wameoa huko wameona visa vya aina mbali mbali.

Kama unakataa hili nenda familia hizi za kipato cha kati na chini halafu mwambie kijana wao akawaambie kuwa amepata mchumba anataka mchumbia, wakiuliza kabila ataje mojawapo ya jamii ya huko uone namna ndugu wa kike wataruka na kuanza kupinga hata kabla maelezo zaidi hayajatolewa.

Utasikia "Mpareeee, au Mchaggaaaaaa au Mburuuuuu mmmmmmhmn kaka mbona unayatafuta tena" hao ni ndugu wa kike imagine ni wanawake wenzao ambao kama hawa wanawake wangelikuwa ni "dhahabu" kama wewe inavyosema why waogopwe kama kicheche kwenye banda la kuku.

Ukisema wanawake wa jamii hizi wapo kimaendeleo zaidi especially wakikutana na wanaume wenye pesa mimi nakukatalia kabisa. Again nasisitiza, sio wote ila majority wameprove beyond doubt and open day vivid evidence kuwa pesa kwao ni kipaumbele kuliko utu. Nikisema hivyo nadhani unaelewa.

Kwahiyo kwa mujibu wa statement yako kuwa wapo hivi ili kujenga maendeleo unakuwa haupo sahihi. Kama swala ni kutafuta pesa then kuna ulazima gani wa mwanamke kukosa zile attributes za kike yaani kuwa na ile feminine energy katika maisha ya mahusiano? Badala yake mwanamke unakuta yupo negative ya feminine energy anakuwa toxic yaani combative, hayupo submissive, hawezi kualign na mipango ya mwanaume wake yeye anapanga yake mwanaume yake, anamtazama mwanaume katika scale ya pesa, mimacho ukimtazama unaweza hisi ni kama unatizamana na chatu m'meza watu.

Mbona wapo wadada wachakalikaji huku pwani unakuta wanapiga mishe wanasafiri hadi uturuki ila wanastaha ya kike yaani ukikutana nae kuanzia sauti hadi tabia unaona mwanamke huyu hapa na ndoa kwao ndio number one thing beyond chochote. Na ukikaa nao unaona kabisa wanafanya yale mambo mke anatakiwa kufanya kama kumpikia mume na kumuandalia chakula, nguo na vinginevyo kuonyesha mahaba kwenye ndoa. Changamoto wengi wao unakuta ni wa imani ya kiislam sasa ukitaka kumuweka ndani inakuwa mtihani ina ni a very perfect candidate kwa ndoa. Na kuhusu pesa wanayo tena si pesa kidogo unakuta binti wa kiislam kavaa abaya kajiremba mkononi ana simu zote ni za bei kali, iPhone 14 pro max, Samsung Galaxy s23 Ultra, mkononi kavaa saa ya bei kali, na hapo hatujazungumzia utuli na udi wa kutoka dubai na Uturuki aliopulizia na anasukuma gari bila shida. Njoo kwenye mapenzi utakimbia wewe hayo mahaba.

Sasa ingekuwa issue ni kutafuta maendeleo na kuwa na pesa kwa mwanamke msingi wake ni uwe na tabia za kis*ng* s*ng* then basi hawa wasingefanikiwa hata kidogo.

Narudia tena issue inayosemwa hapa ni tabia sio kabila fulani. Ukiona wanasemwa sana then jua wamekiuka standards za jamii yetu na ndio maana wanasemwa. Mbona wapare, wamburu,wanyaturu huwa wanasemwa sana humu kwa tabia za kuwa promiscuous (umalaya) na huwezi ona mtu anafungua uzi kuwatetea.

Tabia za hovyo zitafunguliwa nyuzi tu hata iweje na sio kwa nia mbaya ila kurekebishana. Sisi ni watanzania jamii moja, so miongoni mwetu wanapoleta upuuzi lazima tuwe wakali kuwakemea ili warekebike.

Kama unavyosema kuwa umeishi sana huko natumai unajuonea rate ya masingle mother wilayani Moshi inavyokua kwa kasi yaani wanaume kuzalisha na kusepa na hawa wanaume si wa mikoa mingine ni wa huko huko Kilimanjaro. Sasa hii haikupi picha kuwa kuna shida somewhere?! Ukiona wanaume wa jamii husika wanakimbia jua kuna tatizo. Mimi nimeshakutana na washkaji mara kadhaa wakinitamkia hii kauli, "ndugu yangu katika maisha yako kama unataka kuwa na amani katika ndoa yako nakusihi usije ukaoa mwanamke wa kichagga".

Why hii kauli ipo common tena sio kwa Wanaume ambao hawajiwezi, wapo vema tu kujenga familia.
 
Sihitaji kuwekwa kwenye shinikizo nataka maisha ya amani na furaha sio kuhangaika kumu impress mtu.
Jambazi langu hebu funguka hapa weka hata experience moja ambayo hawa viumbe wamekufanyia ujiapize hutarudia tena kuwazoea.
 
Kama kiu yako ya kutafuta pesa ni mpaka uoe mwanamke wa kaskazini, basi nakupa pole!

Kama hauna mpango wa kulea wanao, na unataka mserereko eti mwanamke wa kaskazini ukimuachia mtoto atamlea peke yake bila shida, basi nakupa pole!

Anyway, mimi nadhani uchaguaji wa mwanamke wa kuoa unatofautiana kati ya mwanaume na mwanaume. Kuna watu wanawaza kuoa ili wake zao wawasaidie kwenye utafutaji. Kuna watu wamejipa jukumu la utafutaji, ila wanahitaji kuoa kwaajili ya kupata utulivu wa kifamilia.

Then kuna watu kwao pesa sio tatizo, ila hawana muda wa kutulia nyumbani kutokana na majukumu. Wao wanaoa ili wake zao wawasaidie kukaa nyumbani na kuilea familia.


Kwako wewe "mwanamke wa kaskazini" ndie anaekufaa, ila kwa wengine huyo sio hitaji lao. One man's medicine, is another man's poison!

Kila mtu ashinde tu mechi zake!
Excellent [emoji108]
 
Mwanamke akishakuwa na Mdomo na ubabe ,
Hafai

Mali kitu gani Sasa mtu unabidi kuishi quality life Mwanamke awe mpole na Mwanaume awe mpole muishi kwa utulivu

kuna sisi wengine ukijafanya unayajua Maisha utaishia kula vibao na utatimulia Mapema Sana that way mademu wa kaskazini ndo wanaongoza kuwa single mothers.
Mwanamke anakuwa na maviburi na ujuaji hadi ukimtazama hupati hata hamu ya kumt*mba unamuona kama mwanaume mwenzako kiasi kwamba kufanya nae unajiona kama unafanya na shoga vile. [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]

Seriously mimi sipendi mwanamke anayetaka kunionyesha kuwa yeye anajua zaidi tena kwa kulazimisha.

Mwanamke anaweza kuwa smart kichwani and akawa na namna nzuri ya kuonyesha uwezo wake kwa mwanaume wake bila kutumia EGO na elements za ukorofi kama hawa wanawake wa huko.
 
Jambazi langu hebu funguka hapa weka hata experience moja ambayo hawa viumbe wakakufanya ujiapize hutarudia tena kuwazoea.
Mi huwa sipendi kuendeshwa hilo ndio tatizo kubwa. Nafanyaga mambo on my will. Sasa kuwa na mtu ambaye full time anafanya comparison ya wewe na akina flani hilo ni janga. Kila mtu ana hesabu zake maishani.
 
Yaani ili upate maendeleo yako binafsi unahitaji booster ya mkeo, akuhimize utafute ili utimize haja za moyo wake??
Mtibeli hapa umeniangusha...

Kuna points hapo unakosa kusimama kama mwanaume kama nyuzi zako nyingi unavyojinasibu.
Unategemea booster ya mkeo, wewe umeumbwa uitafutie familia yako msosi sio kutegemea mwanamke wa kaskani aje akupige starter.
 
Yaani ili upate maendeleo yako binafsi unahitaji booster ya mkeo, akuhimize utafute ili utimize haja za moyo wake??
Mtibeli hapa umeniangusha...

Kuna points hapo unakosa kusimama kama mwanaume kama nyuzi zako nyingi unavyojinasibu.
Unategemea booster ya mkeo, wewe umeumbwa uitafutie familia yako msosi sio kutegemea mwanamke wa kaskani aje akupige starter.
Na mwanaume kutegemea booster ni hatari kwa uanaume wake 😂😂
 
Yaani ili upate maendeleo yako binafsi unahitaji booster ya mkeo, akuhimize utafute ili utimize haja za moyo wake??
Mtibeli hapa umeniangusha...

Kuna points hapo unakosa kusimama kama mwanaume kama nyuzi zako nyingi unavyojinasibu.
Unategemea booster ya mkeo, wewe umeumbwa uitafutie familia yako msosi sio kutegemea mwanamke wa kaskani aje akupige starter.

Mwanaume hawezi kuwa na Maendeleo pasipo Mwanamke Dunia ingalipo.
Jamii zote zilizoendelea Angalia Wanawake wake ni Watu wa Aina gani.

Wanawake ndio booster kuanzia Kwa Watoto mpaka Waume zao.

Kama Hilo bado hujalijua basi unasafari ndefu

Unafikiri Biblia inaposema MKE Mwema anatoka Kwa Bwana unafikiri unazungumzia Jambo Gani?

Tafuta wanaume wote wenye Mafanikio alafu waulize Wanawake ni Watu wa Aina gani, alafu utanipa majibu hapa.

Ukiona mwanaume ameshindwa Jambo lolote basi jua hapo tatizo ni Mama yake au Mkewe. Full stop.

Ingawaje wapo Exceptional ambao ni wachache Sana.
Ila wengi wetu wanaume tunaoonekana tunauwezo Fulani WA juu basi jua Nyuma wapo Wanawake.
 
Na mwanaume kutegemea booster ni hatari kwa uanaume wake 😂😂
Acha kabisa aisee jamaa kanisikitisha sana.

Kwanza kabisa nikionaga mwanaume kamili kabisa anatamani kupata mke mchakalikaji huwa namshangaa sana na kutilia shaka uanaume wake.

Mara nyingi mke anakuja kwa mume akiwa empty kabisa, mume ndio humshape mke awaje kwa jinsi atakavyo yeye na mwelekeo wa maisha kwa wakati huo.
Wapo wanaume hawawaruhusu wake zao kufanya kazi kabisa, wapo ambao huwafungulia duka karibu na nyumbani na wapo wale wanaowaachia wakachakalike kwa ajili ya famili kama wanaume vile( hawa ndo kina mtibeli).
 
Mi huwa sipendi kuendeshwa hilo ndio tatizo kubwa. Nafanyaga mambo on my will. Sasa kuwa na mtu ambaye full time anafanya comparison ya wewe na akina flani hilo ni janga. Kila mtu ana hesabu zake maishani.
Eti uongo mzee baba?! Unakaa na mtu anaamka asubuhi anataka uamke ukatafute yaani kaklemisha mwanaume ni mtu wa kutoka asubuhi na kurudi jioni hataki kuona saa moja upo kitandani sasa ukimuuliza wewe hauli, hauvai vizuri, site ujenzi wa nyumba yetu hauendelei, mtoto au watoto hawaendi shule?

Sasa hizi wenge unatoa wapi kwa mfano. Unaweza jikuta umemzabua kofi.
 
Acha kabisa aisee jamaa kanisikitisha sana.

Kwanza kabisa nikionaga mwanaume kamili kabisa anatamani kupata mke mchakalikaji huwa namshangaa sana na kutilia shaka uanaume wake.

Mara nyingi mke anakuja kwa mume akiwa empty kabisa, mume ndio humshape mke awaje kwa jinsi atakavyo yeye na mwelekeo wa maisha kwa wakati huo.
Wapo wanaume hawawaruhusu wake zao kufanya kazi kabisa, wapo ambao huwafungulia duka karibu na nyumbani na wapo wale wanaowaachia wakachakalike kwa ajili ya famili kama wanaume vile( hawa ndo kina mtibeli).
Ni vijana lege lege wanaojificha kwenye kichaka cha maendeleo ya pamoja.
 
Yaani ili upate maendeleo yako binafsi unahitaji booster ya mkeo, akuhimize utafute ili utimize haja za moyo wake??
Mtibeli hapa umeniangusha...

Kuna points hapo unakosa kusimama kama mwanaume kama nyuzi zako nyingi unavyojinasibu.
Unategemea booster ya mkeo, wewe umeumbwa uitafutie familia yako msosi sio kutegemea mwanamke wa kaskani aje akupige starter.
Ingekuwa mwanamke wa kaskazini ndio kisababishi cha maendeleo basi wanaume wa mikoa mingine yote kusingekuwa na matajiri sababu wanawake zao si sio watu wa kaskazini.
 
Back
Top Bottom