Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

Kwanini ni lazima nioe Mwanamke wa Kaskazini?

MKE na Mama ni tofauti [emoji23][emoji23]
Mama nu MKE wa Baba yako, MKE ni mama WA watoto wako.
Kazi zao ni zilezile,

Hivi unapoambiwa Utafute wife material nini kinakuja kwenye Akili yako?
Au ukiambiwa MKE ni Msaidizi WA Mume Kwa Akili ndogo za Watu Wanafikiri ni zile kazi za kuosha vyombo na kupika[emoji3][emoji3]

Kweli nchi Hii safari ni ndefu.

MKE ni booster, Msaidizi na kama MKEO Hana Sifa hizo basi umeshakwama.

Hapo ndio inapokuja tofauti yetu Watibeli na watu wengine.

Mafanikio ya mtu hayaishii kwenye Kupata Ajira. Ndio maana mnakwama, yaani ulipwe milioni mbili useme amefanikiwa?[emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi MTU anayelipwa milioni mbili au tatu alafu anawatoto ikitokea amekufa Watoto wake wataishije Kam Mkewe sio booster?
Unajua maisha ni mifumo. Na mifumo huwa ina watu maalumu ambao hutegemea kushika nafasi zao kikamilifu.

Unaweza kuwa na house girl ila akayafanya vema sana majukumu ya mkeo kiasi kwamba ndani ya moyo wako unaona kabisa hapa hata huyu mwanamke aondoke hapa ndani maisha still yataenda tu bila shida.

Hiki ndicho ambacho sisi tunaongelea, mwanamke kufit profile ya mwanaume anaeishi nae sio kuishi anavyoona yeye anataka au kwa kufuata mila na desturi za jamii yake.

Sasa wanawake wakanda hizo wengi wanaklemisha sana maisha na kuhisi kuwa mfumo wa kutafuta hela masaa 24 kila mtu anaupokea kama wao. Pesa haitafutwi hivyo hadi ikupe ukichaa.
 
Usichanganye mke na mama hao ni watu wawili tofauti wenye majukumu tofauti.

Mke anakuzalia watoto
Mama anakulea wewe

Sasa hao ni watu wawili tofauti sana sio majukumu tu bali hadi uhusiano wenu.

Mke unaweza kubadili wakati wowote
Mama hauwezi kubadili kamwe

Sasa uhusiano wako na mama ni mkubwa kuliko uhusiano wako na mke. Ndio maana mama wote ni bora kwa wanao (wanawapambania) ila sio wake wote ni bora kwa waume zao (including wakaskazini 😂)

Mama zetu ni wake za baba zetu wake zetu ni wakwe wa baba zetu.

Mama na MKE wote ni Wanawake, majukumu Yao ni yaleyale lakini Kwa Wahusika tofauti.
Mama kakuzaa lakini hawezi kukuzalia,
MKE kakuzalia Ila hawezi kuzaa.
Wote majukumu Yao ni kulea, mmoja kakulea moja Kwa moja mwingine atakulea wewe na watoto wako(version zako)


Wote wanatakiwa kuheshimiwa na kupendwa.

Sio kila mama anauhusiano mkubwa na mtoto/Watoto wake
Wife material mara zote huwa Mama Bora,
Ila kama Mwanamke sio Wife material hawezi kuwa Mama Bora.

Ni ule unafiki tuu wa watoto Kwa wazazi wanashindwa kusema ukweli, Ila wapo wamama wengi tuu ambao sio Mama Bora na hata humu JF wapo wameshatoa ushahidi wao.

Ni Sawa na husband material, kama Bab sio husband material ni hakika hawezi kuwa BBA Bora. Huwezi kuwa Baba Bora kama hutekelezi majukumu ya Mume bora
 
Nani alikuambia ukirudi nyumbani hautabadili channel kisa Mwanamke?😂😂
Kweli Dada zetu mnawaogopa 😀😀 Yaani mwanaume mzima unapangiwa ratiba mpaka za DStv.

Lakini kama haulipii vifurushi na unazembea zembea lazima utiwe shinikizo ili Akili za kiume zikujie.
Kuna vijana bila shinikizo hamuendi, hasa vijana wasio jitambua
Watu wanapitia mazito sana hapo Moshi na Meru tena kwenye mzizi wenyewe kabisa na ni wao kwa wao ila mwamba hashiki rimoti.


Tuongee ukweli, hivi kuna mwanamke mkorofi hii Tanzania kama mwanamke wa kimeru?

Mdada wa kimeru anajibizana na konda kwenye gari na konda anaufyata sasa hao ukaoe si utafungiwa stoo kabisa

Na kaka zao wanajidai wakorofi kwa watu wa nje ila akiambiwa Shuuu!, anakuwa mdogo kama piritoni alafu unakuta kaambiwa na kadada ka kimeru chenye chuchu saa sita, 😂😂
 
Unajua maisha ni mifumo. Na mifumo huwa ina watu maalumu ambao hutegemea kushika nafasi zao kikamilifu.

Unaweza kuwa na house girl ila akayafanya vema sana majukumu ya mkeo kiasi kwamba ndani ya moyo wako unaona kabisa hapa hata huyu mwanamke aondoke hapa ndani maisha still yataenda tu bila shida.

Hiki ndicho ambacho sisi tunaongelea, mwanamke kufit profile ya mwanaume anaeishi nae sio kuishi anavyoona yeye anataka au kwa kufuata mila na desturi za jamii yake.

Sasa wanawake wakanda hizo wengi wanaklemisha sana maisha na kuhisi kuwa mfumo wa kutafuta hela masaa 24 kila mtu anaupokea kama wao. Pesa haitafutwi hivyo hadi ikupe ukichaa.
Asipoelewa hapa basi kaamua kuwa mkaidi
 
Unajua maisha ni mifumo. Na mifumo huwa ina watu maalumu ambao hutegemea kushika nafasi zao kikamilifu.

Unaweza kuwa na house girl ila akayafanya vema sana majukumu ya mkeo kiasi kwamba ndani ya moyo wako unaona kabisa hapa hata huyu mwanamke aondoke hapa ndani maisha still yataenda tu bila shida.

Hiki ndicho ambacho sisi tunaongelea, mwanamke kufit profile ya mwanaume anaeishi nae sio kuishi anavyoona yeye anataka au kwa kufuata mila na desturi za jamii yake.

Sasa wanawake wakanda hizo wengi wanaklemisha sana maisha na kuhisi kuwa mfumo wa kutafuta hela masaa 24 kila mtu anaupokea kama wao. Pesa haitafutwi hivyo hadi ikupe ukichaa.

Fanya kazi siku sita kisha yasaba pumzika, hiyo ndio Kanuni Mkuu.

Sasa kama wewe unataka mwanamke ambaye anataka uishi kivulana, mnafanya kazi siku Mbili mnapumzika siku tano huyo atakupeleka wapi Mkuu?

Ni lazima uoe Mwanamke anayetaka kukuona mumewe unatimiza ndoto na malengo ya famili. Sio unalalalala😂
 
Mwanamke anakuwa na maviburi na ujuaji hadi ukimtazama hupati hata hamu ya kumt*mba unamuona kama mwanaume mwenzako kiasi kwamba kufanya nae unajiona kama unafanya na shoga vile. [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]

Seriously mimi sipendi mwanamke anayetaka kunionyesha kuwa yeye anajua zaidi tena kwa kulazimisha.

Mwanamke anaweza kuwa smart kichwani and akawa na namna nzuri ya kuonyesha uwezo wake kwa mwanaume wake bila kutumia EGO na elements za ukorofi kama hawa wanawake wa huko.
Sure wataishia kula vibao
 
Watu wanapitia mazito sana hapo Moshi na Meru tena kwenye mzizi wenyewe kabisa na ni wao kwa wao ila mwamba hashiki rimoti.


Tuongee ukweli, hivi kuna mwanamke mkorofi hii Tanzania kama mwanamke wa kimeru?

Mdada wa kimeru anajibizana na konda kwenye gari na konda anaufyata sasa hao ukaoe si utafungiwa stoo kabisa

Na kaka zao wanajidai wakorofi kwa watu wa nje ila akiambiwa Shuuu!, anakuwa mdogo kama piritoni alafu unakuta kaambiwa na kadada ka kimeru chenye chuchu saa sita, 😂😂

😂😂😂
Ati kufungiwa Stop nimecheka kifala Sana.

Lazima mwanaume ujifunze Martial arts Mkuu . Vinginevyo baadhi ya Wanawake wakaskazini kama Tarime watatingisha kidevu hicho😂😂
 
Mama na MKE wote ni Wanawake, majukumu Yao ni yaleyale lakini Kwa Wahusika tofauti.
Mama kakuzaa lakini hawezi kukuzalia,
MKE kakuzalia Ila hawezi kuzaa.
Wote majukumu Yao ni kulea, mmoja kakulea moja Kwa moja mwingine atakulea wewe na watoto wako(version zako)


Wote wanatakiwa kuheshimiwa na kupendwa.

Sio kila mama anauhusiano mkubwa na mtoto/Watoto wake
Wife material mara zote huwa Mama Bora,
Ila kama Mwanamke sio Wife material hawezi kuwa Mama Bora.

Ni ule unafiki tuu wa watoto Kwa wazazi wanashindwa kusema ukweli, Ila wapo wamama wengi tuu ambao sio Mama Bora na hata humu JF wapo wameshatoa ushahidi wao.

Ni Sawa na husband material, kama Bab sio husband material ni hakika hawezi kuwa BBA Bora. Huwezi kuwa Baba Bora kama hutekelezi majukumu ya Mume bora
Shida yako unafikiri wife.material ni mwanamke mtafuta hela/utajiri. Kama ni ivyo basi jamii zinazoishi mfumo wa uarabuni hazina wife material kabisa.

Pwani huko hata sokoni hawaendi kabisa na kunatoka vijana bora hadi wanakuwa viongozi wa taifa hili.
 
😂😂😂
Ati kufungiwa Stop nimecheka kifala Sana.

Lazima mwanaume ujifunze Martial arts Mkuu . Vinginevyo baadhi ya Wanawake wakaskazini kama Tarime watatingisha kidevu hicho😂😂
Hahah, mimi sio mkabila ila wanawake wa Meru nahisi ukorofi ni sehemu ya maisha yao. Ukioa huko inabidi uwe na black belt kabisa
 
MKE na Mama ni tofauti 😂😂
Mama nu MKE wa Baba yako, MKE ni mama WA watoto wako.
Kazi zao ni zilezile,

Hivi unapoambiwa Utafute wife material nini kinakuja kwenye Akili yako?
Au ukiambiwa MKE ni Msaidizi WA Mume Kwa Akili ndogo za Watu Wanafikiri ni zile kazi za kuosha vyombo na kupika😀😀

Kweli nchi Hii safari ni ndefu.

MKE ni booster, Msaidizi na kama MKEO Hana Sifa hizo basi umeshakwama.

Hapo ndio inapokuja tofauti yetu Watibeli na watu wengine.

Mafanikio ya mtu hayaishii kwenye Kupata Ajira. Ndio maana mnakwama, yaani ulipwe milioni mbili useme amefanikiwa?😂😂😂

Hivi MTU anayelipwa milioni mbili au tatu alafu anawatoto ikitokea amekufa Watoto wake wataishije Kam Mkewe sio booster?
Kwahiyo wewe kwa mkeo ni kama ilivyo kwa mtoto wake??
Mke ni mke na mama ni mama.
Mama ni mke wa baba sio mke wako na mkeo ni mama wa wanao sio mama yako. Utofauti upo mkubwa tu labda utake kulazimisha walingane.

Labda kama umekaza fuvu tu, hapo nimetolea mfano wa mtu aliepata ajira ikiwa na maana hata bila mke anaendesha maisha yake safi tu bila hiyo booster yako.
Sijaongelea hawa wachakalikaji ambao hawapo kwenye mfumo wa ajira, ambao wengine mpaka leo hii hawajaoa kabisa.

Hii hoja yako ya mafanikio ya mwanaume basi kuna mchango wa mwanamke ni mfu labda kwa baadhi ya wanaume kama wewe na sio wote.

Chukulia mfano tu wa celebreties waliotusua hapa bongo, wengi hawajaoa nadhani ni kwa kuhofia wanawake vichomi kama hao unaowahusudu wewe kwakua huenda bado hujatusua.

Mkuu huoni, hili huoni hao kina vunjabei, na baadhi ya wasanii hawajaoa kabisa na wakioa ndo hupotea kama kina marlow.
 
Shida yako unafikiri wife.material ni mwanamke mtafuta hela/utajiri. Kama ni ivyo basi jamii zinazoishi mfumo wa uarabuni hazina wife material kabisa.

Pwani huko hata sokoni hawaendi kabisa na kunatoka vijana bora hadi wanakuwa viongozi wa taifa hili.

Wewe ni Mkristo?
Nikupe Aya zinazomtaja Mwanamke ambaye ni wife material au wewe ni muislam nikuonyeshe Wanawake ambao ni wife material kwenye Quran alafu uone Kati ya hao ni Mwanamke gani hakuwa na Pesa
Kwa sababu Moja ya vigezo vikuu vya wife material ni uchapakazi na uzalishaji Mali.

Sio hizo kazi za kufua na kuosha vyombo, tunazungumzia kazi za uzalishaji.


Sasa nijibu wewe ni Mkristo au muislam ili tuende Kwa reference uelewe vizuri, maan kwenye Mila na tamaduni zetu panakushinda.

Angali Wanawake wa Iringa, Mbeya, Kigoma, Moshi,Arusha uone jinsi walivyo heavy weight katik uchapakazi. Hiyo ni Sifa namba tatu Kati ya zile 10 za Mwanamke Strong
 
Hahah, mimi sio mkabila ila wanawake wa Meru nahisi ukorofi ni sehemu ya maisha yao. Ukioa huko inabidi uwe na black belt kabisa

Hapa hakuna ukabila, hata hivyo humu wengi tumezaliwa makabila chotara.
Ila ninachokuambia Wanawake WA Kaskazini (sio wote) Ila ni wengi ukilinganisha na jamii zingine, wapo very strong kwenye ishu za hustling
 
Kila mtu ashinde mechi zake😂😂😂watu wanajitetea sana kwamba hwajiamini..

Binafsi choice ya kwanza awe yeyote na awe na dini especially Msambaa maana hawa heshima ni automatically tangu wanazaliwa pia wana kismart cha biashara na wanapendana wenyewe kwa wenyewe hata kwa mgeni.
 
Unazungumzia hustling ila hamna tajiri pale top ten ...

Hamna mwanamke hustler hapa Tz wengi ni back ya wanaume zao na mali za urithi..

ukitaka hustling nenda vijijini kuanzia kutafuta kuni .

Halafu vibiashara za kupost vinguo online na kava za simu wengi wamefanya mwaka washarudi makwao sio biashara bali ni uchuuzi..
 
Kwahiyo wewe kwa mkeo ni kama ilivyo kwa mtoto wake??
Mke ni mke na mama ni mama.
Mama ni mke wa baba sio mke wako na mkeo ni mama wa wanao sio mama yako. Utofauti upo mkubwa tu labda utake kulazimisha walingane.

Labda kama umekaza fuvu tu, hapo nimetolea mfano wa mtu aliepata ajira ikiwa na maana hata bila mke anaendesha maisha yake safi tu bila hiyo booster yako.
Sijaongelea hawa wachakalikaji ambao hawapo kwenye mfumo wa ajira, ambao wengine mpaka leo hii hawajaoa kabisa.

Hii hoja yako ya mafanikio ya mwanaume basi kuna mchango wa mwanamke ni mfu labda kwa baadhi ya wanaume kama wewe na sio wote.

Chukulia mfano tu wa celebreties waliotusua hapa bongo, wengi hawajaoa nadhani ni kwa kuhofia wanawake vichomi kama hao unaowahusudu wewe kwakua huenda bado hujatusua.

Mkuu huoni, hili huoni hao kina vunjabei, na baadhi ya wasanii hawajaoa kabisa na wakioa ndo hupotea kama kina marlow.

Tatizo huwezi nipata.
Nimesema unaendesha Maisha yako, Sawa. Assume umekufa au umefukuzwa kazi, angalia Nani atawajibika na watoto wako 100% kama sio Mkeo.

Tatizo vijana WA siku hizi mnayachukulia mambo kibinafsi pasipokuangalia Watoto wenu na wajukuu wenu. Na ukishagusa Watoto na wajukuu jua tayari umeshataja Mwanamke.
Sasa Kama hukuchagua mwanamke Strong unategemea nini kitatokea Kwa Watoto au wajukuu wako.

Kaskazini Wanawake wabibi wanasomesha mpaka wajukuu zao wakiwapiga tough Watoto wao.
Bado hujaelewa Nini nazungumzia
 
Tatizo huwezi nipata.
Nimesema unaendesha Maisha yako, Sawa. Assume umekufa au umefukuzwa kazi, angalia Nani atawajibika na watoto wako 100% kama sio Mkeo.

Tatizo vijana WA siku hizi mnayachukulia mambo kibinafsi pasipokuangalia Watoto wenu na wajukuu wenu. Na ukishagusa Watoto na wajukuu jua tayari umeshataja Mwanamke.
Sasa Kama hukuchagua mwanamke Strong unategemea nini kitatokea Kwa Watoto au wajukuu wako.

Kaskazini Wanawake wabibi wanasomesha mpaka wajukuu zao wakiwapiga tough Watoto wao.
Bado hujaelewa Nini nazungumzia
Mwanzo kabisa nimecomment kua mwanamke unamshape wewe aweje. Wewe ndie kichwa cha familia.

Na kulingana na mkeo utajua umuweke angle ipi itayomfaa. Anawezakua mchakarikaji lakini hajali watoto, mfujaji wa mali nk.
Sio kutaka tu mchakarikaji moja kwa moja huo ni uoga, na uoga huo utadhihirika mbele ya mkeo kadri siku zinavyoyoma huko ndoani. Mwisho wa siku uonekane galasa.

Hujaona shuhuda za hao wanawake unaowaita wachakarikaji wakiwananga waume zao mitandaoni kua hawaihudumii familia, lakini deepdown jamaa anahudumia. Sababu kua ni hiyo kuwapa nafasi zetu za uanaume wazitumie badala ya sisi kusimamia nafasi zetu.
 
Back
Top Bottom