Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Basi hizo sifa ulizotaja kwa hao wanawake wa kaskazini niliowataja hazipo, hauoni kama uzi wako unakosa uhalali Mkuu?Sijataga kabila nimetaja Wanawake WA Kaskazini Mkuu
Kwanini usiseme tu wazi utaoa mchaga, kwani kuna tatiizo gani ukaweka hivyo au unaogopa kuitwa mkabila while umeshaleta ukanda.