ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mwafrika yupi aliwahi kubana, labda Magufuli ndio alionyesha japo kidogo.Sawa we mwafrika kwa hiyo usingebana hata kidogo yaani ungeachia tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwafrika yupi aliwahi kubana, labda Magufuli ndio alionyesha japo kidogo.Sawa we mwafrika kwa hiyo usingebana hata kidogo yaani ungeachia tu?
Lini sasa ataenda jela?Zelensky ni teja mwizi na kibaraka aliyetumika kuiharibu Ukraine sasa kazi yake imeisha anatakiwa aende jela anaonekana kama kondom ilitumika
Kama huo unapatikana wapiMojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!
Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!
Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Laijitapa kabla hata hajaja akamsikiliza, Trump alizania atamburuza kama hawa wakwetu huku Afrika 😛 😛Trump kakasirika sana dogo Zele kagomea mkataba wa kimangungo alifikiri angepata kitonga