Kwanini ninachelewa kusinzia nikisikiliza hiizi nyimbo? Nipo peke yangu

Kwanini ninachelewa kusinzia nikisikiliza hiizi nyimbo? Nipo peke yangu

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kuna playlist yangu nikijiroga kuiweka huwa kulala ni saa tisa kama muda huu niliopost

Huenda kuna wanasaikolojia hhumu waniambie chanzo

Saa 2 kasoro iabidi niwe kazini, hapa kuamka saa 1 kasoro

2 berry - Na Wewe Tu
Mike tee - Sintobadilika
JI - Kidato Kimoja
MB Dogg - Natamani
Mr Paul - Zuena
Top Band - Nilikaraa
Hummer Q - Lady
Nameless - Nasinzia nikikuwaza
Ali Kiba - Cinderela
 
Kila mmoja ana playlist yake nikikuwekea yangu utanihisi chizi
 
Hii orodha, imenikumbusha huu wimbo DR KUMPENEKA-DOCTOR

 
Back
Top Bottom