Kwanini ninamdharau sana mtu aliepata mafanikio kupitia connection

Kwanini ninamdharau sana mtu aliepata mafanikio kupitia connection

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Kwa miaka hii nimekuwa nikikutana na watu waliopata mafanikio au maendeleo yoyote Yale kupitia connection huwa Nina mdharau sana, na muda mwingine huwa naudharau hata ushauri wake,..akiwa anaongea huwa najisemea kimoyomoyo "huyu ataniambia nini!"
 
Kuwa na connection pia ni asset mkuu, hata wewe ukiwa na kampuni yako zikija CV mbili zinafanana, itakua rahisi zaidi kuajiri mtu unayemfahamu au uliyepewa taarifa zake na mtu wa karibu kuliko mtu baki kabisa.
 
Mkuu hakuna aliye wahi kuji beba mwenyewe, hiyo connection ni Kama msaada waweza kuwa wa mali, ushauri au hata kazi.

na kitu kidogo kina weza kuwa turning point kwenye maisha yako, jiongeze nawe uta ongezewa.

hakuna Raha kuwa kwenye the right cycle ya watu makini, maisha bila connection haya endi.
 
Ambao wamepambana na kufika walipo kwa msaada wa Mungu hawawezi kukuelewa.

Kuna kupambana mpaka unafika point unakata tamaa ya maisha, chakula hakuna, hujui unalala vipi na utaamkaje, mwisho unakuja kuona neema ya Mungu inakugsa.
 
Mkuu hakuna aliye wahi kuji beba mwenyewe, hiyo connection ni Kama msaada waweza kuwa wa mali, ushauri au hata kazi.

na kitu kidogo kina weza kuwa turning point kwenye maisha yako, jiongeze nawe uta ongezewa.

hakuna Raha kuwa kwenye the right cycle ya watu makini, maisha bila connection haya endi.
Anashindwa kujua kuwa ili uweze kufanikiwa Mungu( kwa wale wa Imani) huwa analeta watu wa Hatma yako( connection) ili waweze kukuvusha kukupeleka kwenye baraka zako! Baada ya hao watu kutokea basi watakufundisha na kukuacha ujisimamie mwenyewe kwa uwezo wa Mungu.
 
Back
Top Bottom