Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Kumbe wana roho ngumu kweli kweli, pole mkuu.Huwez kuanzisha Conversation nae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe wana roho ngumu kweli kweli, pole mkuu.Huwez kuanzisha Conversation nae
Sio maneno yangu mkuu...ni ya dada mmoja huko nyuma.Daby bhana...eti "Wajinga wajinga" [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
la moyoni hili [emoji23]Teh teh hongera mkuu.
Wajinga wajinga tumefungiwa.
Mondray umemaanisha nn hapoYeye mbona anatama kwa wangine.
Hutuka Wewe
Tehteh unataka kufukua vifukizwa wewe.la moyoni hili [emoji23]
Ahaa kumbe ndio yule aliosema ana watu wa3 tu aliowaruhusu PM? Dinazarde i thinkSio maneno yangu mkuu...ni ya dada mmoja huko nyuma.
Nahisi ndiyo huyo.Ahaa kumbe ndio yule aliosema ana watu wa3 tu aliowaruhusu PM? Dinazarde i think
Bibie asa mbona nmekuta mageti yote yamefungwa,na mlinzi naye amegoma kuniruhusu niingiekumbe n ww uliyeuliza [emoji23] karibu sana pm kwangu kupo wazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji144] [emoji144] Sipo kwenye watatu na hata kwenye wajinga² coz sijawahi na sijafikiria kum-PMNahisi ndiyo huyo.
Upo kwenye watatu au kwenye wajinga wajinga?
[emoji23][emoji23][emoji23]. Kujitoa kwenye wajinga umeamua kujipa moyo bhana.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji144] [emoji144] Sipo kwenye watatu na hata kwenye wajinga² coz sijawahi na sijafikiria kum-PM
naomba niongeze na mieHata mi nishafunga yangu wanaoweza nitumia pm ni watatu tu jf nzima
MmhBibie asa mbona nmekuta mageti yote yamefungwa,na mlinzi naye amegoma kuniruhusu niingie
[emoji23][emoji23][emoji23]Tehteh unataka kufukua vifukizwa wewe.
Eeeh la moyoni kweli. Ila sasa hata ukiacha wazi nitakuja kufanya nin?
Nishatuma nina mwezi sasaTuma barua ya maombi
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nipo kwenye utafiti wa sababu zinazofanya mfunge avatarAntonio mbona unabadilisha avatar sana [emoji23] kupo wazi
Sio najipa moyo..ndio ukweli mtupu huo ndugu yangu....Ningekuwa mjinga² usingeona nachangia mada hii....[emoji23][emoji23][emoji23]. Kujitoa kwenye wajinga umeamua kujipa moyo bhana.
Hahaha