Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalalaje kwenye nyasiUoga tu, eti mtaan watanionaje. Weka nyasi hamia ivo ivo. Hutokufa
Kama watu wa zamani.Unalalaje kwenye nyasi
Ukishabadilisha tu lugha kwenye ujenzi kutoka Kiswahili kwenda kiingereza ndipo mambo yanapoanza kuwa magumu.Nguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
kuanzia hapo material zinatajwa kwa kiingereza ndio shidaNguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
Kozi tatu juu inaleta muonekano mzuri kuliko mbili....nimeipendaNguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
Quote:Kwa sababu tunafosi kujenga.
Mimi nikishakuwa na bajeti ya gharama ya nyumba mpaka inaisha nikahakikisha kwamba kiasi hicho ninacho kwa muda huo ndio nitaanza kujenga.
Kujenga tuna ku overrate sana wakati ni process za maisha kama process zingine.
Kwa maisha yangu mimi pakukaa sio tatizo,tatizo vyanzo vys mapato ndio shida,ninachofanya ni kupambana nipate biashara safi nitoboe na hapo nitajenga within a few weeks mjengo unasimama.
Mkuu, Usiogope. Ramani iliyotumika zimefanana. Je, ile ya kwako Mkalama si ipo salama?Mkuu mbona umepost nyumba yetu iliyopo Mkalama bila idhini ya familia.
Exactly Yes. Hapo ni suala la muda na commitment tu.Ondoa hayo mawazo ya kushindwa, kama umeweza kuanza utamaliza..... Hongera
Kabisa commitment!! Commitment!!Exactly Yes. Hapo ni suala la muda na commitment tu.
Huyo anakuwa hajapata/hakuzingatia Ushauri au alikurupuka na hakukokotoa vizuri gharama zinazohitajika zote.Asa unakuta mtu anakopa ili ajenge huku hata kiwanja hana mkopo wote unaishia kwenye msingi anabaki kushangaa
Ndiyo. Sasa kama mtu unajijua kwamba unalo jukumu zito kama hilo huwezi kuendekeza kufanya matumizi yasiyo ya lazima(hovyo) e.g. kula tunda kimasihara ......Kabisa commitment!! Commitment!!
Mkuu ujenzi una maajabu unaweza kugombana na mafundi bure kama haupo site mda woteHuyo anakuwa hajapata/hakuzingatia Ushauri au alikurupuka na hakukokotoa vizuri gharama zinazohitajika zote.
Nguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
Mwamba mbona ametoboza hapo alipo!Nguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
Ndiyo ni kweli kabisa hususan pale inapotokea badiliko kwenye bei za vifaa, gharama ya usafirishaji, uaminifu na umakini wa mafundi.Mkuu ujenzi una maajabu unaweza kugombana na mafundi bure kama haupo site mda wote
Unaweza kupiga bajeti na ukazidisha lakini isitoshe kabisaa
Hapo nyumba inaanza kuongea kiingereza sio mawe Tena sijui mchanga mara zege..... Ujenzi ukianza kuongea kiingereza tu ni shidaaaa .....Nguvu ya kuanzia msingi hadi kwenye lenta inakuwaga ya kasi san,a kuanzia hapo hadi kumalizia wengi hurudi nyumba nini shida?
View attachment 3086249
Haijaishia sema IMEKOMEA AMA IMEKWAMIA HAPO....Sijui hata Mimi ya kwangu imeishia hapo hapo .Kila siku nasema nitamalizia siku zinaenda tu