K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 311
- 642
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Urabuni huwa gari yao ni Ngamia V8 kama unataka gari yao basi agiza
Ngamia V8
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Urabuni huwa gari yao ni Ngamia V8 kama unataka gari yao basi agiza
Inawezekana kweli mimi kusoma ni shida ila wewe kuelewa ndio tatizo kubwa zaidi.Haina mashiko kwasababu hata kusona kwako ni shida. Nimetoa mfano nikasema hakuna nchi duniani range rover au land cruiser ni nyingi kuliko gari za chini. Dunia nzima wateja wengi wa magari ni tabaka la Kati na chini.
Mwenyewe ameshasema it won't take us long before seeing these petroleum vehicles like we viewed steam Engine train and cars. Kumbuka zamani ilikuwa Ni cart inavutwa na horse mpaka wakaipa si unit y horse power kwa Mana nguvu fulani ya farasi. Mana jamaa walimtumia farasi miaka iyo before christTesla ndio dominant car brand ijayo kwa miaka mingi.
Miaka 10 ijayo utaanza kuona mabasi ya Tesla, maroli ya tesla, kila kitu itakuwa Tesla.
Umeshinda mkuu.Inawezekana kweli mimi kusoma ni shida ila wewe kuelewa ndio tatizo kubwa zaidi.
Nimekupa mfano ulioutoa mwenyewe wa R. Evoque, hii mi mid sized suv hivyo ni suitable kwa middle class, mbona hata kwa hao middle class hiyo gari maarufu kama suv nyingine za kampuni nyingine za middle class?
Kama unajua kusoma, jitahidi uwe unaelewa basi unachokisoma.
Nasikia haitumii mafuta, inanusa tu kidogo maji unapiga safari mwezi mzima😁Urabuni huwa gari yao ni Ngamia V8 kama unataka gari yao basi agiza
Sina shindano lolote nililokua nashiriki boss, hivyo huo ushindi baki nao tu mkuu.Umeshinda mkuu.
Eeh hio full time 4WDNasikia haitumii mafuta, inanusa tu kidogo maji unapiga safari mwezi mzima😁
Jengaa hiiWaingereza hawapendi hata nchi yao, ndo kisa cha wao kuwa na himaya kubwa ya makoloni duniani. Walikuwa wanafanya kila namna kuondoka nchini Uingereza, wakajikuta wanagundua mengi duniani, ikiwemo uwepo wa jamii zilizo nyuma kimaendeleo kwenye mabara mengine zinazoweza kutwaliwa na kutawaliwa.
Na wewe uko sahihi kwa kiasi kama tutaangalia Gharama, kingine Waingereza/Europe kwa asilimia kubwa they don't need private cars kwa sababu miundombinu yao na public transport is cheap and accesable tofauti na Nchi za mabara mengineWatu wanakurupuka kujibu tu. Uko sahihi. Kingine Land rover asilimia kubwa ni gari za gharama. Raia wengi ni tabaka la kati na chini hivyo gari nyingi Uingereza na dunia nzima ni tabaka la chini na kati.
Hakuna nchi duniani ambako Range rover au Land cruiser ni nyingi kuliko magari madogo ya chini.
Gari za Land rover ni hizi
Range rover
Discovery
Evoque
Jaguar aina zote
Discovery
Utaona zote ni tabaka la juu.
Gari za tabaka la chini UK ni Vauxhall, rover, Ford models fulani etc hizi zimejaa kibao mitaani UK
Hao middle class wanaweza inunua sawa ila msala kwenye kuihidumia, ndio maana hainunuliwi sana maana gharama za huduma ni kubwa ukilinganisha na kampuni zingine, nadhani hapo ndio umeshindwa muelewa.Inawezekana kweli mimi kusoma ni shida ila wewe kuelewa ndio tatizo kubwa zaidi.
Nimekupa mfano ulioutoa mwenyewe wa R. Evoque, hii mi mid sized suv hivyo ni suitable kwa middle class, mbona hata kwa hao middle class hiyo gari maarufu kama suv nyingine za kampuni nyingine za middle class?
Kama unajua kusoma, jitahidi uwe unaelewa basi unachokisoma.
Aisee hapo kwenye mass production umeyumba.. Defenders kibao zimejaa mpaka vijijini.. Magereza.. Mandolin gari za breakdown Landrovers.. Disco zimejaa.. Madungu jeshi..!Rover haikutengenzwa ili kuuzwa kwa wingi (in masses), Range ni gari ya luxury kwa ajiri ya watu wenye pesa (not for everyone), ni kama useme ferrari mbona haiuzi kama Toyota, hata land rover ambazo sio Range nazo ni very expensive pia
Unaweza comment reliability ya LR D3 ?Nazipenda Discovery na Ranger Rover
😂😂Urabuni huwa gari yao ni Ngamia V8 kama unataka gari yao basi agiza
Watu wanakurupuka kujibu tu. Uko sahihi. Kingine Land rover asilimia kubwa ni gari za gharama. Raia wengi ni tabaka la kati na chini hivyo gari nyingi Uingereza na dunia nzima ni tabaka la chini na kati.
Hakuna nchi duniani ambako Range rover au Land cruiser ni nyingi kuliko magari madogo ya chini.
Gari za Land rover ni hizi
Range rover
Discovery
Evoque
Jaguar aina zote
Discovery
Utaona zote ni tabaka la juu.
Gari za tabaka la chini UK ni Vauxhall, rover, Ford models fulani etc hizi zimejaa kibao mitaani UK
Kama waingereza wengi ni tabaka la kati na chini basi tulidanganywa kwerikweri,Watu wanakurupuka kujibu tu. Uko sahihi. Kingine Land rover asilimia kubwa ni gari za gharama. Raia wengi ni tabaka la kati na chini hivyo gari nyingi Uingereza na dunia nzima ni tabaka la chini na kati.
Hakuna nchi duniani ambako Range rover au Land cruiser ni nyingi kuliko magari madogo ya chini.
Gari za Land rover ni hizi
Range rover
Discovery
Evoque
Jaguar aina zote
Discovery
Utaona zote ni tabaka la juu.
Gari za tabaka la chini UK ni Vauxhall, rover, Ford models fulani etc hizi zimejaa kibao mitaani UK
Au kampuni nyingine ila gari ni zaumeme tupuTesla ndio dominant car brand ijayo kwa miaka mingi.
Miaka 10 ijayo utaanza kuona mabasi ya Tesla, maroli ya tesla, kila kitu itakuwa Tesla.
Naona wengi wanakwepa kusema hili.. Wenyewe tu wanaziona ni jipu.RR miyeyusho tu. Gari lina masharti mengi
Gari ambalo huwezi kuosha injini hadi mzoefu, after all huwezi linganisha VX na hilo gari. Tatizo kubwa watu wananunua Magari yaliyotengenezwa miaka 20 iliyopita unalinganisha na la miaka ya sasa. Utainjoi gari kama limetengenezwa miaka 3 yaani 2020 ingawa bei imesimama na ushuru pia umekakamaaNaona wengi wanakwepa kusema hili.. Wenyewe tu wanaziona ni jipu.