Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Barabara gani ya morocco unazungumzia?Magu alikuwa msaani tu iyo barabara ni msaada wa Japan jiulize hela zimeenda wapi, hii nchi imegeuka Hollywood kuna movie nyingi sana
Mama kaifungua majuzi tu; naye unasema ni msanii? Hata kama pesa ziliongezwa kwa mkopo kukamilisha barabara ile, at least pesa za sherehe hiyo hazikutumika kuchoma mafuta ya ndege kiusanii kama huu wa leo, zimeongeza angalau kilomita moja ya barabara ya Morocco. Umeelewa?
 
Maonyesho yote mimi niliyaona ni upuuzi na matumizi mabaya ya raslimali tu; ni afadhali Magufuli aliyefuta sherehe hizo na kuelekeza pesa hizo kujenga barabara ya Morocco , na sote leo tunajua matokeo yake. Kuonyeshana silaha za zamani za kivita na mbinu za kizamani sana ni ulimbukeni mkubwa sana. Kwani kama wangefanya gwaride la kawaida na maonyesho ya kawaida kabisa yasiyokuwa ya kuonyeshana silaha na uwezo wa kijeshi wangepungukiwa nini? Mwaka 1979 ndege mojawapo ya hizo shenyang J-5 ilikuwa ikifanya maonyesho kama hayo hayo ya kijeshi ikaanguka mbele ya Nyerere pembeni mwa chuo cha Chang'ombe; nadhani mnara ule bado upo. Kama ndege hiyo ilianguka kwa mechanical failure miaka zaidi ya 40 iliyopita, mnaimani vipi kuruka leo mbele za umati namna ile. Ndege za kivita za Jeshi ni zile zilizoachwa na Nyerere, sidhani kama Airforce imewahi kupata ndege mpya za kivita miaka ya hivi karibuni. najua hata Kenya bado wana ndege za kizamani F-5 lakini sijawaona wakizionyesha hadharani kwa mbwembwe kama tulivyofanya sisi.
Ndege zenyewe tulimnyang'anya idd amin kipindi cha vita vya kagera...... Ndege za kishamba balaaa.
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?

Unamjua au unamsikia Tolu?
 
Mtu pekee anaeweza kumu outsmart PK ni JK na mimi tu,, huyu jamaa tayari ana Blackhawk attack helcopters, na hii ni tabu kweli kweli,, inabidi angalau nasisi tutafute HIND..
In order to outsmart that guy, you must think like him,,, he is very smart
Tanzania bado tuko smart na uzuri siku zote mkubwa huwa anabusara kama amefanya hivyo basi ni tabia za kike maana wanaume huwa huwa hatuna michezo ya kung'ong'a kabisa
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
CHADEMA akili zenu zaki bwegebwegeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ! wamefilisika mpaka wanaandika ngera tupu .
Magufuli aliwa FIX down to ground level mpaka mpaka akili zenu zimevia kabisa.
 
Rafiki yangu tafuta vitu vya kuandika basi kama huna unaonaje ukikaa kimya kwani nani atakuona hujui fb?

Huu ni upimbi watu wanahitaji mijadala inayowajengea weredi siyo upumbavu kama huu.

Ifikie maadmin nyuzi kama hizi zisizo na tija zifutwe kabisa ,ujinga gani huu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Acha udikteta. Mtu amefanya valid observation, wewe kwa sababu zako binafsi haijakupendeza, why don't you just shut up uwaachie walioguswa na post husika wachangie?

Kama ni mgeni hapa JF, basi fahamu kuwa unaweza kupuuza post unayoona haina manufaa kwako. Grow up!
 
Maonyesho yote mimi niliyaona ni upuuzi na matumizi mabaya ya raslimali tu; ni afadhali Magufuli aliyefuta sherehe hizo na kuelekeza pesa hizo kujenga barabara ya Morocco , na sote leo tunajua matokeo yake. Kuonyeshana silaha za zamani za kivita na mbinu za kizamani sana ni ulimbukeni mkubwa sana. Kwani kama wangefanya gwaride la kawaida na maonyesho ya kawaida kabisa yasiyokuwa ya kuonyeshana silaha na uwezo wa kijeshi wangepungukiwa nini? Mwaka 1979 ndege mojawapo ya hizo shenyang J-5 ilikuwa ikifanya maonyesho kama hayo hayo ya kijeshi ikaanguka mbele ya Nyerere pembeni mwa chuo cha Chang'ombe; nadhani mnara ule bado upo. Kama ndege hiyo ilianguka kwa mechanical failure miaka zaidi ya 40 iliyopita, mnaimani vipi kuruka leo mbele za umati namna ile. Ndege za kivita za Jeshi ni zile zilizoachwa na Nyerere, sidhani kama Airforce imewahi kupata ndege mpya za kivita miaka ya hivi karibuni. najua hata Kenya bado wana ndege za kizamani F-5 lakini sijawaona wakizionyesha hadharani kwa mbwembwe kama tulivyofanya sisi.
Africa Mashariki nzima mwenye ndege za kisasa ni Uganda. Nakumbuka wao wana Sukhoi (Su-30)5 na Mig 21 kama 6. Pia wana helikopta Mi Mi-24 kama 5. Ilibidi wavunje benki kununua hizo. Hiyo ni fire power kubwa sana si ya kuchezea.
Sisi bado tuna Wachina Shenyang-6 na 7.
 
Barabara gani ya morocco unazungumzia?Magu alikuwa msaani tu iyo barabara ni msaada wa Japan jiulize hela zimeenda wapi, hii nchi imegeuka Hollywood kuna movie nyingi sana
Unaweza kutuwekea ushahidi mkuu?
 
Africa Mashariki nzima mwenye ndege za kisasa ni Uganda. Nakumbuka wao wana Sukhoi (Su-30)5 na Mig 21 kama 6. Pia wana helikopta Mi Mi-24 kama 5. Ilibidi wavunje benki kununua hizo. Hiyo ni fire power kubwa sana si ya kuchezea.
Sisi bado tuna Wachina Shenyang-6 na 7.
Nchi zetu bado Ni maskini Sana aisee,hela yenyewe ambayo Uganda ilitoa kununua hizo ndege Wala hazitishi ni $740mil only.

Ni umaskini tu unatusumbua.
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Kwanza fahamu kuwa PK ndie alieliongoza jeshi letu kumuondoa Idd Amin Uganda. M7 alimkabidhi kuongoza jeshi la Uganda.

PK kapata mafunzo ya jeshi hapa nchini na marekani ivyo anaelewa sana jeshi letu na madhaifu yake.

Dharau zake kwa jeshi ni kutokana na jeshi letu kuwa kimya na butu dhidi ya dhuluma zinazotokea nchini,uenda Tz ndio nchi ya kwanza duniani kwa makomandoo wake kupigwa na askari wa kawaida na jeshi likakaa kimya tu.

Wananchi wanateswa na kesi za ovyo,katiba inavunjwa nk.jeshi liko kimya! Sasa hapa unategemea heshima gani zaidi ya kudharaulika.
 
Hao hao ndio waliomfurumusha kule Congo DRC kwa jina la M23....hawawezi kamwe. Ana wagambo wanaosumbua disorganized armies Kama DrC Congo,UPDF,wale Magaidi wa Mozambique,Waasi wake n.k.

Jwtz ni organized, experienced and well equipped army. There is nothing to compare with tiny Rwandan Army.
Humjui PK soma habari zake ndo utajua kwa nini JK enzi hizo alinywea.

PK kapata mafunzo ya kijeshi hapa nchini na pia USA ,kaongoza vita ya Uganda na ndie aliefanikisha kuondolewa Idd Amin,ni jasusi kamili Israel inamtambua. Wewe umeona PK anaguswa na nchi za magharibi?

Soma mkuu,jamaa ni level nyingine acha tu adharau jeshi letu maana km makomandoo wetu wanapigwa na kuteswa na polisi tu na jeshi linakaa kimya,hakuna namna zaidi ya kudharauliwa.
 
Back
Top Bottom