Kama huna cha kunijibu usinijibu ujinga mimi sio mtoto mwenzio, huyo Putin na wanyonge wanakujaje hapa!?Unajuaje! ?Labda angekuja kuwa Putini wetu. huoni alishaanza kuonyesha dalili za kutetea wanyonge! ?
Dah! Mkama Sharp alishavuta!
Udongo unameza si mchezo.
Kijibwa tuuu wewe huna lolotejr,nyamafu tu mnuka mkojo.Nishakuparamia basi jinyonge
maana aisifuye mvua imemnyea
Wee kibwengo usijifananishe na mimi nyambafu wee.Usitaje ibiza tuu,taja na Ipanema,Copa Capbana na kwingineko,mara ngapi tunawaona na tabs,laptops nk,unafikiri wanakuwa wanafanya nn zaid? Akili yako imefungwa kwenye chips yai wee kijibwaa tuu,nenda kwa jike supa lako likakupime tezi dume,bahau weeendio unavyojidanganya hao uliowataja kila siku wako IBIZA au kwenye Private Jet zao kwenda kula raha. wanaopost na kuendesha hizo account zao za social media ni ****** kama mimi na wewe kwa ujira mdogo
Alikuwa konda, Na o level ilifutwa kuanzia hapomi nakumbuka bro wangu alikua anatoka tambaza half time anakuja kunicheki muhimbili primary kwenye ground, anakuja na dent Wa form one na anamwambia yule dent aninunulie vitu nitakavyoviiyaji,ila kuna kipindi walikamatwa wanafunzi wengi Wa tambaza na bro wangu alikuwepo na wakafunguliwa kesi ya mauaji nadhani aliyeuliwa alikua ni kati ya konda au dent mwenzao manake tukio lenyewe lilifanyika kwa mob,ila walokuja kuachiwa na ndio wakaanza kutawanywa
Pakiuma utasemaKijibwa tuuu wewe huna lolotejr,nyamafu tu mnuka mkojo.
Daaah umenikumbusha mkuu enz zetu tukiwa vijana unalazimika kujifunza karate ili konda akizingua anakula nakozi hapoo ilikuwa mboga moto mchuz motoKwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Sidhani kama R lilikuwa darasa la Commerce, madarasa ya Biashara yalikuwa U na Z tu yaliyobakia yote yalikuwa sayansi
ndio akili yako ilipoishia hapo halafu eti mnajiita watu wazima wa JF. kweli Njaa MwanaharamuWee kibwengo usijifananishe na mimi nyambafu wee.Usitaje ibiza tuu,taja na Ipanema,Copa Capbana na kwingineko,mara ngapi tunawaona na tabs,laptops nk,unafikiri wanakuwa wanafanya nn zaid? Akili yako imefungwa kwenye chips yai wee kijibwaa tuu,nenda kwa jike supa lako likakupime tezi dume,bahau weee
Ndio umeandika nini sasa. Social Media zina Umri wake ukishaona umegonga forty six na upo humu jua upstairs hauko vizuri. Wamama watu wazima wakivaa vimini au wababu waakipiga mlegezo na kutinga club mnaona mmomonyoko wa Maadili ila vizee kuja kushindana na vijana humu mnaona poa tuu. Busara zinahitajika kwenye familia yenu umri wa kujenga nchi umeshawapita tulieni majumbani na muwafundishe watoto na wajukuu zenu wasijekupotea kama mlivyopotea nyinyiSijui unaongea nini, lini JF iliundwa ili iwe ya watu wa umri fulani? Sijui umeshawahi kufuatilia baadhi ya maneno ya rais katika hotuba zake, anaongelea/ anajibu yanayojadiliwa humu, hivyo si ajabu yumo humu
Mkuu we acha tu, enzi hizo za beach party na sealeander pink coconut club kumekucha ilibidi hadi pamba kali tuwe tunaazimana za kwenda kupigia bakora.Matola mmenikumbusha mbali, enzi hizo watoto wa mafisadi walitunyanyasa sana walipokuwa wakiingia na Peugeot 504 Kibasila Chang'ombe sisi tunagombea Ikarus na vikaptula,
Baharia yeyote akisimamisha guruwe nje Half-time lazima mtoto wako atakutoka tu na saa 8 atapanda.ni kweli enzi hizo kwa Dsm shule za Tambaza na Azania zilikuwa sumu hata kuzisikia ukiwa na mchuchu iwe mmekutana beach au RSVP kwa Mzee Mbowe
Mkuu we acha tu, enzi hizo za beach party na sealeander pink coconut club kumekucha ilibidi hadi pamba kali tuwe tunaazimana za kwenda kupigia bakora.Matola mmenikumbusha mbali, enzi hizo watoto wa mafisadi walitunyanyasa sana walipokuwa wakiingia na Peugeot 504 Kibasila Chang'ombe sisi tunagombea Ikarus na vikaptula,
Baharia yeyote akisimamisha guruwe nje Half-time lazima mtoto wako atakutoka tu na saa 8 atapanda.ni kweli enzi hizo kwa Dsm shule za Tambaza na Azania zilikuwa sumu hata kuzisikia ukiwa na mchuchu iwe mmekutana beach au RSVP kwa Mzee Mbowe
Nenda utoe hiyo ponpon diper uliovaa ndio uje uulize swali.Huo mwaka Hata nilikuwa bado sijazaliwa,
Kwani Huyo Puza Anaingia kwa mnyama
SCORPION ?
Ulimaliza form four lini?, maana kuanzia miaka ya ya 90 U na Z ndio yalikuwa madarasa ya commerce na form one Z lilikuwa linapaka na UVCCM tawi la TSS na kisha linapakana na UMimi nilikuwa R 1990 na 1991 na lebo yetu ilikuwa nyekundu. Sisi ndio tuliokuwa wa kwanza kutumia mikondo kwa herufi, waluotutangulia walitumia majina ya ama 'Science' au ' 'Commerce'.
Vv
Dah, kumbe humu wazee wengi??Nenda utoe hiyo ponpon diper uliovaa ndio uje uulize swali.
Kwa hiyo puza akachezea KO!!
Hakuja kulipa kisasi?
Nilimaliza 1991, enzi ya double session nilikuwa group B, hayo madarasa U na Z hayakuwa kwenye group B. Sisi madarasa yetu yalikuwa L, M, N, P, Q, na R.Ulimaliza form four lini?, maana kuanzia miaka ya ya 90 U na Z ndio yalikuwa madarasa ya commerce na form one Z lilikuwa linapaka na UVCCM tawi la TSS na kisha linapakana na U
Duh kumbe tumechanganya madesa, naona wewe unazungumzia Aza boy na sio Tambaza, Ok nimekusoma mkuu, kwa Tambaza R lilikuwa darasa la ScienceNilimaliza 1991, enzi ya double session nilikuwa group B, hayo madarasa U na Z hayakuwa kwenye group B. Sisi madarasa yetu yalikuwa L, M, N, P, Q, na R.
Mwalimu wetu wa darasa alikuwa Maliki. Baadhi ya walimu waliofundisha darasa letu ni Ntambi, Hatibu, Mchwampaka, Temba, na Faustin. Mkuu wa shule aliyempokea Mzee Kisamo aliitwa Kwayu, msaidizi wake ni L. Luiwana ( Mzee Meja) ambaye 1991 alihamishiwa Same Secondary .
Vv
Vv
Vv
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...