Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwan kua jf ni kua ni kwamba mtu ume lost...kijana kijana nadhan umekosea njia saiz yako ni fb...kwa taarifa yako watu wote makin wapo humu jf..vikojoz kama ww mmekuja humu kwa bahat mbaya!
Siku zote huwa nawaambia hawa watoto humu hatujuani kwa sababu ya hizi I'D zetu. Ila tukishaingia huko PM na kutambulishana tunabaki kushangaana. Respect kila ID unayokutana nayo humu.
 
Imekuchoma nini? Asilimia kubwa ya hao waliokuwa secondary miaka ya 80 wanapiga kelele kuwa maisha magumu serikali imewaletea umaskini. We jaribu kufuatilia comments zao uone.

Kama ulianza miaka ya 80 ulikuwa secondary na upo humu JF jua we ni maskini. Na hauwezi tena kuwa kama bill gates huu ni muda wetu sisi tuliozaliwa miaka hiyo nyie mkiwa secondary
So pathetic
 
Umenikumbusha kikosi cha Azaboy Footbal. Kina Robert Mwampembwa, Edward Mpandang'ong'o, Cecil/Sisili, Tilla, Sasi .... Dah, Azania my school, the school of gentlemen.

Vv
mkuu huyo Mwampemba hata mimi nilikuwa namkubali,ni yule jamaa alikuwa na vijimvi flani kichwani na pia alikuwa mchoraji katuni? ila Tambaza nako kulikuwa na jamaa anaitwa Lodrick wakati ule akiwa A level,hawa jamaa walikuwa wanastahili kucheza team kubwa,na kule kinondoni kulikuwa na aboubakar kombo.KWA KWELI UMISETA BADO MUHIMU.
 
hata wewe kuna sehemu utakuwa umekosea ndio maana unashinda huku jf.....jf ni mtandao wa watu walioshamaliza starehe zote za ujanani wamestaafu wana chat kupoteza muda...sasa we kijana mdogo badala ya kutafuta ela unashinda huku we utakuwa na stress sana za maisha..!
Mkuu don't argue with a fool, people may not notice the difference
 
RIP Puzza mara ya mwisho nilikuwa nae camp ya skauti 77 nadhani mwaka 1990 nikuwa form three R hapo Tambaza yeye akiwa form one ,alikuwa ni best yangu tunacheza ngumi hapo jengo waliokuwa wanakaa bording form 5 and six ,Apumzike kwa AMANI nimekumbuka mbali sana mzee Kalumuna na second master Mwaipopo, na babu TALIBARI mhindi aliyekuwa anauza juice dukani pale mbele ya stamico
Duh,mkuu umenikumbusha yule babu,nilikuwa navuta jina haliji,pia nimekumbuka Harlem house na paradise hostel.....
 
mkuu huyo Mwampemba hata mimi nilikuwa namkubali,ni yule jamaa alikuwa na vijimvi flani kichwani na pia alikuwa mchoraji katuni? ila Tambaza nako kulikuwa na jamaa anaitwa Lodrick wakati ule akiwa A level,hawa jamaa walikuwa wanastahili kucheza team kubwa,na kule kinondoni kulikuwa na aboubakar kombo.KWA KWELI UMISETA BADO MUHIMU.

Lodrick alikiwa mwisho, alikuwa bonge la mchezaji, inasemekana miaka ile Simba walimtaka
 
Enzi Hizo shule tano ndio zilikuwa zinatingisha nchi nne zilikuwa zinaanza na K na moja T yaani Tambaza. Hizo za K nakumbuka mbili tu Kibohehe na Kilimanjaro Boys. Enzi hizo stori za wanafunzi ilikuwa ni utundu shuleni na ufaulu
rungwe the champions
 
Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
Shkamoo [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100]
 
Huu mjadala unanihusu mimi Gang Chomba ambae nilikuwa Vice wa Puzza.

Tuanze na Ishu ya ugomvi kati ya Tambaza na Azania.

Ugomvi uliwahusu Walter Muro aka Sisulu from Azania ndio alikua mpinzani No 1 wa Puzza mpk kifo chake.

Walikua marafiki wakubwa mpk kulala kitanda kimoja na miaka michache baadae wakageuka maadui wakubwa jambo lililosabasha vita vya mara kwa mara kuanzia mitaani, shuleni na mara nyingine hata kanisani Ubungo Lutherani Church ambapo wote wawili wazazi wao walikua wazee wa kanisa (church elders & na waimba kwaya (choir members)

Ntarudi na kisa cha ugomvi wao...
 
Back
Top Bottom