Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Marehemu Justin Kalikawe alikuwa anakaa just across United Nations Rd pale. Akitembea hata dakika kumi hazifiki kashafika shule.Umemsahau na Justin Kalikawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu Justin Kalikawe alikuwa anakaa just across United Nations Rd pale. Akitembea hata dakika kumi hazifiki kashafika shule.Umemsahau na Justin Kalikawe
Jubungu,alikuwa mbele yangu nadhan huyu alihama tu kabla ya fujo.Nilikaa nae chumba kimoja asee,alikuja kuwa assistant hp.Hivi alikufaje huyu jamaa,alikuwa janjajanja sna huyu mtu rip.Na Jobungu (R.I.P.) mlikuwa nae? Nae alitokea Tambaza.
Alihamia baada ya fujo.Jubungu,alikuwa mbele yangu nadhan huyu alihama tu kabla ya fujo.Nilikaa nae chumba kimoja asee,alikuja kuwa assistant hp.Hivi alikufaje huyu jamaa,alikuwa janjajanja sna huyu mtu rip.
Bila kuwasahau Mrs Msuya akinyanyasa kwenye Geography, mrs Mdeme, Mrs Shija, Nkya na Luteganya kwenye Chemistry, bila kumsahau mwalimu wetu wa ' masubwi' Mark Hatia, huku Sindila akitusindikinza na 'oyaaa msela oyaaa!!! Oyaaa msela oyaa.....its was real fun back to those dayz!Hii ni enzi ya Mwinyi 1990 -1994 Tambaza ilivyofungwa. Hapo bado hata Mkapa hajawa rais.
Wengine hamjazaliwa au mko kwenye nepi bado.
Enzi hiyo wanafunzi tunasoma Dr. Asimov na Carl Sagan, Mr. Lulindi anafundisha kuhusu Socrates. Mrs. Cheyo anafundisha style and grace, na watu tuna flow OPP kama "Naughty By Nature" while being naughty by nature.
Erick Cassian yupo bado siku hizi ni mkalimani Fulani hv anajua sana kichina huwa naonana nae sana sinzaMushi alikuwa mnoko sana. Kule ofisini kwake kama wanatunza barua kuna barua zangu za kujieleza nilizoandika.
Pamoja na mwenzake yule Hawanga. Tena bora ya Mushi unamjua nyoka tangu mwanzo. Hawanga anajifanya mshkaji wako anachukua data kisaikolojia halafu anakuchoma.
Ilikuwa kama polisi hapo hapo shuleni. Leo nikiangalia mahojiano ya polisi kipindi cha "Law and Order" naona du, michezo hii tulichezewa Tambaza tukiwa wadogo sana.
Duh, nilikuwa najaribu kukumbuka masela nikamkumbuka Eric Cassian. Eric alikuwa na visa sana. Naambiwa alikuwa baharia akatua pot of New Orleans Louisiana USA, akataka kukimbia US asirudi bongo, wakamshika na kumrudisha, akaenda South Africa kuwa Buddhist monk sijamsikia tena mpaka leo.
Watu walikuwa na vituko sana.
Upande mwingine tumetoa washua wametulia kina Rajab Mchatta, Marijani Rajab na Hussein Mwinyi just to mention a few.
Hahaha. Eric anaongea kama ana mota mdomoni.Erick Cassian yupo bado siku hizi ni mkalimani Fulani hv anajua sana kichina huwa naonana nae sana sinza
*sahihisho: Ni Rashid Mchatta na sio Rajab Mchatta.Mushi alikuwa mnoko sana. Kule ofisini kwake kama wanatunza barua kuna barua zangu za kujieleza nilizoandika.
Pamoja na mwenzake yule Hawanga. Tena bora ya Mushi unamjua nyoka tangu mwanzo. Hawanga anajifanya mshkaji wako anachukua data kisaikolojia halafu anakuchoma.
Ilikuwa kama polisi hapo hapo shuleni. Leo nikiangalia mahojiano ya polisi kipindi cha "Law and Order" naona du, michezo hii tulichezewa Tambaza tukiwa wadogo sana.
Duh, nilikuwa najaribu kukumbuka masela nikamkumbuka Eric Cassian. Eric alikuwa na visa sana. Naambiwa alikuwa baharia akatua pot of New Orleans Louisiana USA, akataka kukimbia US asirudi bongo, wakamshika na kumrudisha, akaenda South Africa kuwa Buddhist monk sijamsikia tena mpaka leo.
Watu walikuwa na vituko sana.
Upande mwingine tumetoa washua wametulia kina Rajab Mchatta, Marijani Rajab na Hussein Mwinyi just to mention a few.
Rashid Mchatta ndiyo mkuu.*sahihisho: Ni Rashid Mchatta na sio Rajab Mchatta.
Rajab hakusoma Tambaza.
Asante kwa taarifa nzuri.
Dah hii mechi nakumbuka Kino walikuja na pick up imejaa fimbo wao bila kujua wenzao Tambaza wameandaa "silaha" kali zaidi yao (za kisasa kwa wakati ule). Kiichotokea ni ile mechi haikuchezwa!!Duh, bonge la memory, kipindi hicho Makonda wakiona Kaptula ya khaki wala hawasumbuki kuwazuia wanafunzi, kuna basi za Ubungo zile "Shella Beach" lile bench la nyuma lilikuwa special kwa wana Tambaza
Sitasahau Mechi ya Tambaza na Kino Muslim, pale kiwanja cha Muhimbili Primary, Mechi ilivunjika na Wanafunzi wa Kinondoni wakakimbizwa mpaka shuleni kwao Na lile bango la shule ya kinondoni likashushwa chini
Kino Muslim ndio shule pekee iliyokuwa na watoto wa kitaa na wahuni wa kweli na ndio shule hata Tambaza walikuwa wanaingia kwa kujihami
Hawa waalim ni wa Azania sidhani kama walikuwa Tambaza unless sina kumbukumbu nzuri maana mimi nilisomaga kote (Tambaza na Azania)Nilimaliza 1991, enzi ya double session nilikuwa group B, hayo madarasa U na Z hayakuwa kwenye group B. Sisi madarasa yetu yalikuwa L, M, N, P, Q, na R.
Mwalimu wetu wa darasa alikuwa Maliki. Baadhi ya walimu waliofundisha darasa letu ni Ntambi, Hatibu, Mchwampaka, Temba, na Faustin. Mkuu wa shule aliyempokea Mzee Kisamo aliitwa Kwayu, msaidizi wake ni L. Luiwana ( Mzee Meja) ambaye 1991 alihamishiwa Same Secondary .
Vv
Vv
Vv
Mechi ilikuwa pale kiwanja cha Muhimbili Primary,Dah hii mechi nakumbuka Kino walikuja na pick up imejaa fimbo wao bila kujua wenzao Tambaza wameandaa "silaha" kali zaidi yao (za kisasa kwa wakati ule). Kiichotokea ni ile mechi haikuchezwa!!
Dahhhh! umenikumbusha mama Shija....mchawi wa chemistry,hivi mama yuko wapi siku hizi?nakumbuka kwenye ile amsha amsha alitupwa Azania,Hatia nae wapi siku hizi? manake ndo alikuwa kiboko ya watemi wote pale maeneo,ila family ilikuwa na nidhamu kwa walimu,pamoja na ile micharuko sikuwahi kuona mwalimu wa tambaza akishikwa koo na mwanafunzi wa tambaza,ajabu madenti wa siku hizi kugusa koo la mwalimu ni kawaida.Bila kuwasahau Mrs Msuya akinyanyasa kwenye Geography, mrs Mdeme, Mrs Shija, Nkya na Luteganya kwenye Chemistry, bila kumsahau mwalimu wetu wa ' masubwi' Mark Hatia, huku Sindila akitusindikinza na 'oyaaa msela oyaaa!!! Oyaaa msela oyaa.....its was real fun back to those dayz!
Yes namkumbuka jamaa alikuwa kapanda juu na macho ya kuvimbavimba hiviHahaha. Eric anaongea kama ana mota mdomoni.
Sishangai akiongea kichina.
SikuwahiMkuu wa shule unamuongelea Julius Mushi? Au nyie mlikuta Mushi kashaondoka?
Nasikia Julius Mushi alifariki.
Mzee anakwambia "You should never let me catch you without a good book".
Mr. Julius Mushi ukimwambia Tambaza wamefanya fujo wameua watu yeye anakugeuzia kibao, anakwambia "mimi wa kwangu walioumizwa wangapi na wako wapi?"
Nilivyomsikia anasema hivyo nikamsamehe unoko wake woote mshua yule. Alikuwa anakunja uso kama ananyonya limao, Mushi hacheki hata siku moja alivyo mkuda.
Wapi Fred Mkondya?sonda boy yupo mjini hapa nipo nae kundi la whatsapp tambaza 1988-1991
Exactly!Upo sahihi, Tambaza ilikuwa na sura mbili, hio unayoikumbuka wewe na hii tunaijadiri sasa.
Huo ubabe wao ulikuwa unafanywa na hao hao wapiga kitabu.
heshima zenu wakuu 88??Mkuu unaikumbuka ile game ya UMISETA ilipigwa pale Azania sec. ground kati ya Azania na Tambaza mwaka 1988? Sikumbuki kama ule mchezo ulimalizika ila iliibuka fujo kubwa sana siku hiyo,tambaza walikimbizwa pale Azania ila mtaani kukawa na msako mkali wa kuwasaka wanafunzi wenye kaptula za kaki (karibu wiki nzima),msako ukiendeshwa na wale wa kaptula za kijivu....nikiwa form one sijasahau kile kizaa zaa cha mabomu ya chupa zilizojazwa petrol na sukari na utambi.....,vijana wa kijivu wakianza fujo walikuwa wanatoa mlio fulani wakiuita "mlio wa tembo"....,ila wakifika shule wanapiga kitabu na kufaulu vizuri tu.
Mwaka 1988 mechi ya Tambaza na Azania ilipigwa uwanja wa magunia msasani ambapo wanafunzi wa Azania na mwalimu wao wa michezo rwegoshora waliangushiwa kipigo cha mbwa mwaka 1989 mechi hii ilipigwa ndani ya uwanja wa Azania refa rii akiwa kanali kipingu baada mechi Azania walilazimika kuvua kaptula za khaki na kutembea kwa miguu adi majumbani kwao ili kunusuru maisha yao!heshima zenu wakuu 88??
We kama mimi... nimeipenda sana hii thread.... salute kwao aisee.. navyoisoma utadhani nilikua namfaham huyo Puzafor the first time nimesoma comments zote za thread ...huu uzi kiboko,very interesting...big up 2 old tambaza though hizo story zinatokea wengine ndo tulikuwa tunazaliwa!R.I.P puza
yanii,me mpaka nikapatwa na huzuni kusikia alijiuaWe kama mimi... nimeipenda sana hii thread.... salute kwao aisee.. navyoisoma utadhani nilikua namfaham huyo Puza