Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Hakika Tambaza ilikuwa ni shule ya kikamanda
 
Old is gold, Puza ni jina kubwa sana miaka hiyo, kila kijana au mtoto wa miaka hiyo alitamani kuwa pengine asome Tambaza au Azania, tulitamani hivyo kwa kuwa mbali na undava pia walikua wana Akili nzuri darasani.

Habari mbaya kwa vifo vya watu hawa, akina Puza na baadhi wa wasemi wa miaka hiyo, ila Puza nadhani alikua na Nguvu za kuzaliwa, maana ukiangalia wadogo zake kama marehemu Uli na Aliko wate walikua ni Majibaba na chembe chembe za ubabe hazikuisha, wote wame isha kuwa na matukio kadhaa mtaani ila bahati mabaya maisha yao haya kua marefu , Mungu awa laze pema peponi.
Daaah!Puza anafariki nadhani nilikua bado kama miaka 2 hivi nianze std1 i was a kid still...Kwao walikua wababe wababe sanaa..Nimeishi nao Ubungo.
FB_IMG_1561074809529.jpg
FB_IMG_1561074809529.jpg

Huyu ni marehemu Uli mdogo wake Puza R.I.P
 
Duh! Mkuu umenikumbusha huyu jamaa jinsi alivyokuwa anawadhibiti makondakta wa daladala waliokuwa wanatunyanyasa madent wa miaka ile,manake jamaa alikuwa na mbavu na walikuwa wanamhanya hasa,niliwahi kushuhudia moja ya valangati zake pale ubungo minazi ambapo ndipo palipokuja kuwa kituo cha ubungo (wakati huo kituo cha ubungo kiko pale ubungo maji)jamaa aliwadhibiti kondakta na dereva wa daladala moja ikijulikana kwa jina la TORINO huku akitoa onyo kwa wanafunzi wasiingilie kwani atawamudu peke yake,na kweli aliwatuliza makonda wawili na dereva wao.Ila utakuwa umechanganya(?) sidhani kama kifo chake kilikuwa 1992,kama sio mwaka 1990 ilikuwa 1991 nadhani alikuwa kidato cha pili by then,pia umenikumbusha sonda boy bila kumsahau Okelo.
Okelo kaoka siku hizi fundi mzuri tu wa wiring!
 
Mkuu umenikumbusha hayo majina ya Sonda Boy, Okello bila kuwasahau akina Daigo, Meja, No Mbugi, etc
Okello alipanda cheo baada ya kumpiga major! ila walimlia timing next time na kumfungia kwenye kabati! watu wanasikia kabati linagonga kwandani kuja kufungua okello anato kandani!
 
Old is gold, Puza ni jina kubwa sana miaka hiyo, kila kijana au mtoto wa miaka hiyo alitamani kuwa pengine asome Tambaza au Azania, tulitamani hivyo kwa kuwa mbali na undava pia walikua wana Akili nzuri darasani.

Habari mbaya kwa vifo vya watu hawa, akina Puza na baadhi wa wasemi wa miaka hiyo, ila Puza nadhani alikua na Nguvu za kuzaliwa, maana ukiangalia wadogo zake kama marehemu Uli na Aliko wate walikua ni Majibaba na chembe chembe za ubabe hazikuisha, wote wame isha kuwa na matukio kadhaa mtaani ila bahati mabaya maisha yao haya kua marefu , Mungu awa laze pema peponi.
Uli sikumbuki ila Aliko alifia nafikiri south.A!
 
Yeah mkuu,washikaji wengi waliperekwa shule za mbali mno,kwa kipato duni wengi walishindwa kwenda,pia tulikoenda huko duu walimu wengi walikuwa na visasi na sisi walituchukulia sisi viumbe wakorofi mno na hiyo wengi walifukuzwa shule kwa makosa madogo Sana,lakini shule nyingi tulikoperekwa vingi viliboreshwa hususani msos...daaah long time.
Kina rogger Mo maplayer ndio wanafunzi wa kwanza kulizindua gereza la segerea jipya baada ya match kali sikumbuki ni mgurani au laa baada ya vurugu madent kibao wakitiwa ndani segedansi full maji misosi raha kama home!Baada ya hapo ndio madent watambaza kutoka wakafaniyiwa wkatupwa kwendamashule mengine kupunguza vurugu Rais mzee ruksa, mtaani kwetu ndio wakina Okello walikotoka,kina kigongo kina roggers nk!wote toka ubungo national housing primary product!
 
Miaka ya sisi tunazaliwa nyie mko sekondary. Duh kweli life inaenda kasi. Nyie mlioko humu JF inaonyesha life imewapiga kikumbo na mko vibaya kimaisha. Poleni sana
Dogo unachat na mawaziri na wabunge pamoja na wakurugenzi na baba zako wazazi tuliza kipago ha ha ha

NB. Maisha ya kipindi kile na yakumbuka sana, shule za watemi zilikuwa Tambaza na Vituka nakumbuka kuna siku wanafunzi wa Tambaza walimteka kondokta wa chai maharage stendi ya shule ya uhuru wakaitwa polisi toka Msimbazi, walitembeza kichapo wale polizi na kukamata kila mwanafunzi aliyekuwa maeneo yale nakumbuka siku hiyo tulikimbia kupitia boda la MSD tukatokea Keko
 
Inaonekana zamani mlikua mnasoma mkiwa wakubwa wakubwa...Form one aa siku hizi ni madogo kichizi
Zamani watu walikuwa na maumbo makubwa kiaina....nakumbuka naanza Standard one pale Upanga Primary 1991....nikiwaangalia makaka wa darasa la saba ni mijeba kabisa unaweza iamkia.
Hizo ishu za Tambaza nilizisikia sana maana nilikuwa jirani nao tu.
 
Alipigana na jamaa wa form three sio form one..aliepigwa alikuwa anaitwa Tafu.Baada ya hilo pambano Puza aapandishwa cheo hadi kuwa Captain

😀😀😀😀😀😀😀
 
Watu wanatia na kupata mimba enzi hizo wakiwa primary school
Zamani watu walikuwa na maumbo makubwa kiaina....nakumbuka naanza Standard one pale Upanga Primary 1991....nikiwaangalia makaka wa darasa la saba ni mijeba kabisa unaweza iamkia.
Hizo ishu za Tambaza nilizisikia sana maana nilikuwa jirani nao tu.
 
Back
Top Bottom