rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Uingereza wameshaongelea hiyo kitu kuwa huu ugonjwa inabidi waishi naoLicha ya kuwepo mapungufu kupambana na covid lkn nchi hakuiweka
Lockdown,magufuli ni kama alikuwa anataka
Watanzania tuishi nayo tu
Ova
Kwa sasa yeyote anaweza kusema vyovyote.Sasa hawa wanaosema Jiwe kafa kwa corona wamejuaje? maana unaambiwa fulani kafa kwa corona ila wale watu wa karibu wa marehemu huoni kama wameambukizwa huwaoni hata na mafua sasa hii corona ya bongo ni ya aina gani?
Kachanjwa kama ulikua hufahamu!!
Ni tafiti gani ya kitaaluma iliyowaambia wasishikane mikono kwa sababu ya corona ila barakoa wasivae wala kuepuka mikusanyiko?Mkemia aliharibu kwa kuzuia takwimu kuchukuliwa akidai wote wamepona kabisa. Sasa Mama anatoaje maamuzi bila analysis na tafiti ya kitaaluma?
Mwanzoni tulianza vizuri ila walipoingiza siasa wakaharibu kila kitu....
Akumbukwe kwa nini?? Kuteka , kuuua na kubambika watu makesi??? Aendelee kuoza tu huyo mpuuzi"Mtanikumbuka siku nikiondoka" Na nukuu tu maneno ya jemedari hayat jpm
Mtaongea sana sukuma na Burundi gang!Kuna watu wamemshika masikio ndio wanaongoza nchi kupitia mlango wa nyuma kwa kifupi kama rais ameonyesha udhaifu mkubwa
Chanjo sio lazima ni hiari ya mtu kudungwa ama kutodungwa,yeye mama anaonekana anataka zilitwe ila sasa asitumie mgongo wa kamati,tunajua hilo ndio lengo lake sasa yeye alete tu asizunguke zunguke zikija watakaochoma watachoma basi tutakuwa tunaelewa na wazungu maisha yaendelee.Chanjo lazima Ili kutotengwa kimataifa, mbona mataifa mengine wametumia wewe ulitakaje
Hiyo ni wave mbona huelewi..... Ukisikia third wave ndio iliyopita hapa Tz mwezi december ika peak February. So waliopona ewaa waliokufa walienda na nmeshaeleza humu kwamba Baba yangu mzazi almanusura afe kama sio kumpeleka hospital ya kibeberu baada za serikali kudai "ana homa ya kawaida tu".Hivyo vifo ndio vinatangazwa sana na ndio vinavyofanya watu waogope corona na kuona ni ugonjwa hatari na ndio maana vinatangazwa sana kuliko wanaoumwa na kupona japo ndio wengi. Sasa kama wenzetu huko wenye huduma bora za afya na kufuata tahadhari zote wengine hadi lockdown ila bado unasikia maelefu ya watu wanakufa kwa siku ndio maana ikaonekana afrika tutaokota maiti barabarani,kuna muda hadi kulitokea ule uvumi wa kwamba hospitali zimezidiwa wagonjwa Tz,ila sasa hivi inaonekana tatizo hatuna takwimu story za maiti barabarani na hospitali kuzidiwa wagonjwa hazipo tena.
Jifariji ila unasahau alikuwa mwenyekiti mwenza bunge la katiba, alikuwa makamu wa rais na bado yupo ccm utakuja baadae kulalamika usichojua ccm ni ileile ni sawa na chupa mpya mvinyo wa zamaniMtaongea sana sukuma na Burundi gang!
Ccm ikipata mtu anayetumia akili na sio makalio wala tumbo kufikiri lazima tumuunge mkono huyo mtu. Kwa iyo ni sawa tunavyomuunga mkono mama samiaJifariji ila unasahau alikuwa mwenyekiti mwenza bunge la katiba, alikuwa makamu wa rais na bado yupo ccm utakuja baadae kulalamika usichojua ccm ni ileile ni sawa na chupa mpya mvinyo wa zamani
We unaisi akili za mtangulizi wake zilikuwa sawa??? Yule si shetani aliyekuwa kwenye umbo la binadamu tu! Sasa kuna shida gani mama kuwa tofauti nae?Tunasubiri muujiza gani mwingne Watanzania kudhihirisha kwamba Mama alikuwa tofauti na mtangulizi wake!
Niko mbali sana na ukabila na huwa nawashangaa sana watu ambao mnafuatilia kujua fulani ni kabila gani..aisee mie hayo mambo siyawezagi kabisa.Wasukuma mnamuandama mama, Samia ni Rais hadi 2045, amtaki ameni nchi
Nia yako unataka kumlinganisha na Magufuli?Wasalaam wana jamvi!
Nimeshangazwa sana na Mh Rais kusema ataunda kamati kuhusu swala la Corona ili baadae tuwe na msimamo kuhusu Corona!
Mimi kwenye hili nimejiuliza maswali hivi ni kweli Tanzania hatukuwa na msimamo kuhusu Corona? Huyu Rais si alikuwa Makamu wa Rais na Rais wake alishasema wazi kuwa Tanzania hakuna Corona na kama ipo ni ndogo sana?
Hii kamati anayounda anataka imwambie nini kipya asichokijua? Anataka aanze kutoa takwimu za Corona sasa anataka kamati imshauri?
Anataka aweke watu Lockdown sasa anataka kamati imshauri?
Anataka kulazimisha watu kuvaa barakoa sasa anataka kama imshauri?
Anataka kupokea chanjo ya Astrazeneca sasa anataka kamati imshauri?
Rais anaogopa nini kusema alikuwa hakubaliani na jinsi mtangulizi wake alivyo kuwa anaikabili Corona? Rais anaogopa nini kusema wamejiandaa kupokea chanjo ya AstraZeneca hivi karibuni?
Sidhani kama Rais anatakiwa kujificha nyuma ya kamati kwenye swala kama hili ambalo liko wazi!
Kuna kitu gani hajui ambacho anataka kamati imwambie?
Kwanini anajificha nyuma ya kamati anashindwa nini kuwambia watanzania wajiandae kudungwa Astrazeneca?
Kama Tanzania hatuna msimamo kwanini yeye havai barakoa? Hajui huo nao ni msimamo? Anataka ashauriwe nini?
Kwanini Tusiamini ana ajenda zake mkononi anataka azipitishe nyuma ya kamati ili watanzania waamini ni msimamo wa kamati kumbe ni msimamo wake?
Wasalaam!
Kwani njia pekee ya kupambana na Corona ni lockdown tu? Mbona umeng'ang'ania lockdown, kakuambia ikidhihirika kuwa kweli Corona ipo Tanzania ataweka lockdown? Hiyo ni hofu yako tu na huna sababu ya kujenga hofu kwa kuwa utatuzi utatolewa na wataalamu na bila shaka Mh. Rais atazingatia ushauri huo katika uamuzi wake. Au huna imani na wataalamu wetu?Unataka tuweke lock down, huo ndio utaalam unaotaka, hao wenye lock down wanakufa wengi zaidi ya Tz sasa nini faida ya lockdown ? SSH ana tatizo, tena ni KUBWA.
Ni wajingajinga fulani hawana hoja ya msingi badala ya kujibu hoja anakimbilia ukabilaNiko mbali sana na ukabila na huwa nawashangaa sana watu ambao mnafuatilia kujua fulani ni kabila gani..aisee mie hayo mambo siyawezagi kabisa.
Wanasubiri team ije kuwaambia wavae barakoa,wanae mikono,waupuke mikusanyiko na mwisho kuagiza Astrazeneca. Sasa hapo hata mimi ni mtaalamu.View attachment 1746408
Tusubiri hiyo team itashauri nini, Alale salama JPM.
Leo hii mshaanza kumbana Magu kama vile wasaliti walivyo mkana yesu kristu.Kumekucha!
Yupo sahihi kabisa kwa sababu ile kamati ya mwanzo iliongozwa na PM Majaliwa na Ummy Mwalimu ilikuwa ni ya kisiasa siyo ya kitaalamu na haijawahi kuvunjwa!
Ndio maana ukaona Jaffo amejiingiza na nyungu zake.