#COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?


Kwa nini mumeamua kutabiri uamuzi atakaochukua mapema hivyo?

Muacheni na yeye afanye maamuzi baada ya kupata uhakika wa kitaalamu.

Hiyo ripoti iko wapi wakati hata hatujui ni wangapi wamekufa kwa ugonjwa huo lakini pesa za msaada tumechukua.
 
Licha ya kuwepo mapungufu kupambana na covid lkn nchi hakuiweka
Lockdown,magufuli ni kama alikuwa anataka
Watanzania tuishi nayo tu

Ova
Matokeo yake kaondoka nayo
 
Kawadanganye MATAGA wenzako ndiyo
 
Ninyi ndio mlioi Hijack ajenda tengezeni chanjo halafu ndio tungee
 
huyo mungu alishindwa nini kumsaidia korona isimuue?
Mungu ndiye pekee aliye mkuu, wa kuabudiwa. ukjikweza au ukikwezwa, kutaka kujifananisha na Mungu, lazima Mungu atawadhihirishia wanadamu kuwa biadamu si chochote mbele yake.
 
We mjinga nini?
Kwani Rais ni Daktari?
Na anafanya weledi kuwatumia wataalam kuliko yule alisema tuijfukize na kula Bupiji, halafu akaondoka yeye!
Mleta huu uzi ni CHAWA haswaa wa Jiwe hivyo huu uzi hakuuleta kwa bahati mbaya.
 
Kumekucha!

Yupo sahihi kabisa kwa sababu ile kamati ya mwanzo iliongozwa na PM Majaliwa na Ummy Mwalimu ilikuwa ni ya kisiasa siyo ya kitaalamu na haijawahi kuvunjwa!

Ndio maana ukaona Jaffo amejiingiza na nyungu zake.
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hii nchi wajuaji niwengi ndomana magu alikuwa anadhibiti midomo ya wajuaji!!
Kunaubaya gani kuunda kamati ikakushauri namna ya ku-deal na korona???
Nani hajui maamuzi mengi serikali ilopita yalikuwa ya MTU mmoja akijidai serikali niyake!! Watu waache unafiki!!
 
Uzuri wa corona inawatafuna watu wenye kushupaza shingo kama nyinyi ndiyo inaondoka nao .
Huna Chanjo, nyungu hujapiga, lockdown hujawekwa na huvai barakoa, lakini upo na hujaambukizwa!! Huoni kwamba unachokiogopa kinakuogopa?

Pumbavu mkubwa wewe!
 
Wachana na hao maboya wasiyo jua kuwa Magu keshaitwa na mungu
 
Wewe ndo ambaye unaogopa Yeye Sasa hivi ni RAIS na njia anayotumia ni njia sahihi hasa ukizingatia kwamba hatukuwahi kuwa na kamati kama hio so my friend let the DEAD rest we subiri majibu ya Taarifa ya kamati.SAWA?
 
Wakush my foot.... Mkush gani ww una akili ndogo hivi? Rwanda/Watutsi na Ethiopia wote hao wamekubali Chanjo ndio sembuse mkush wa Runzewe?

Mbona Yellow fever ndio ulidungwa ili uweze kufika Tanzania? Au hyo haikutoka kwa beberu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…