#COVID19 Kwanini Rais ameamua kujificha nyuma ya kamati ya Corona? Anaogopa nini kuwambia Watanzania wajiandae na AstraZeneca? Anaogopa nini?

Hiari? Unaweza safiri nchi za nje bila chanjo ya yellow fever? Mbona hamkuipinga.

Unajua inferiority complex ni ugonjwa mkubwa sana.
Unazungumzia masuala ya kusafiri (tena kwa mfano wa chanjo nyengine kabisa na tunayoizungumzia hapa) wakati mie nazungumzia kuwa hata Astrazeneca zikija nchini hatolazimishwa mtu kuchanjwa.

Halafu muhimu ni kuangalia hoja wanazotoa watu kuhusu chanjo za corona hizo ndio mzijibu na sio kusema mbona chanjo zengine hamjazipinga hii inaonesha mmeshindwa kujibu hoja.
 

Mkuu kuna mdau amekuomba uuandike msimamo wa Tanzania kuhusu Covid-19. Ni vyema ufanye hivyo ndipo umkosoe Mh Rais SSH kwa kueleweka vizuri zaidi.

Kuna wengi hatujawahi kuusikia msimamo huo ukitamkwa wala kuandikwa kwa uwazi kabisa! Umekuwa kama suala la speculations kibao!
 
Wakush my foot.... Mkush gani ww una akili ndogo hivi? Rwanda/Watutsi na Ethiopia wote hao wamekubali Chanjo ndio sembuse mkush wa Runzewe?

Mbona Yellow fever ndio ulidungwa ili uweze kufika Tanzania? Au hyo haikutoka kwa beberu?
Mpaka sasa Huna Chanjo, nyungu hukupiga, lockdown hujawekwa, huvai barakoa, lakini cha ajabu hujaambukizwa!!

Unatoa matusi ya nini, ili uwekwe lockdown, au ulazimishwe kuvaa barako, ama upigishwe nyungu, au Chanjo??

Mbona siku zote hizo hujafanya?
 
Chanjo sio hiari sababu utashindwa ku access nchi zingine kma hauna vaccine so wanadiplomasia, Wafanyabiashara n.k watakua affected.

Nyie mna NEMC mna TFDA and mkemia mkuu etc mnashindwaje kutengeneza chanjo yenu or at least kuomba patent mtengeneze copy yake!! Kwanini kulialia tu?

Anyway kama chanjo ikija haiwezi kufanyiwa vipimo na clinical trials kwa sample ndogo na kutoa conclusion kabla haijawa mass distributed?

Hvi watanzania ni Elimu au exposure ndio shida? Afu kituko ARV na Yellow Fever mnatumia!! Kwa beberu huyo huyo. Hata huu upuuzi unapost kwa simu ya beberu ila hauogopi kuwa ina sumu ya kukuua?
 
Rais ni taasisi sio mtu.... Unaupofanya urais/ofisi ni mtu hapo ndipo sintofahamu hutokea na ndipo mtu hubebeshwa lawama au sifa badala ya taasisi.

Rais sio mtaalamu wa afya hivyo ili kukamilisha UTAASISI lazima wote wanaohusika katika jambo fulani wakamilishe dhana ya utaasisi kwa kutimiza wajibu wao kitaalamu na kushauri serikali
 
Mpaka sasa Huna Chanjo, nyungu hukupiga, lockdown hujawekwa, huvai barakoa, lakini cha ajabu hujaambukizwa!!

Unatoa matusi ya nini, ili uwekwe lockdown, au ulazimishwe kuvaa barako, ama upigishwe nyungu, au Chanjo??

Mbona siku zote hizo hujafanya?
Acha ujinga mzazi wangu aliugua manusura afariki mwezi wa pili..... My two best friends waliugua sana almost wanitoke. Then unakuja mpuuzi mmoja unaleta kejeli? Hvi unajua ilitutoka shingapi wana familia kumuokoa mzazi wetu? Alikua anapumulia ICU...... Tena aliponea hospitali ya kibeberu!!

Usiongee mambo usiyojua
 
Umekaririshwa na AstraZeneca utafikiri ndio chanjo pekee,wew ni miongoni mwa mazombie ya Jiwe!!!Mnamuonea gere Mama,mwacheni naye afanye ya kwake,enzi za jiwe alikua km konda tu
 
Ataanzaje na AstraZeneca bila ushauri wa kitaalamu?! Huyu si magufuli jifunzeni kufuata utawala wa sheria na kanuni la sivyo mtakuwa na miaka 4 migumu sana.
 
Mabavicha nao wamekuwa wapiga vigelegele wa ccm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Unadhani hii inampa faida nani?
Sasa kama bavicha wakipiga vigelegele linawapa faida nyie, kwa nini mnatoa vilio kila kona enyi wafuasi wa Chattle Inc.?
 
Mshukuru Mungu,

Hayo mengine ni matusi yasiyo maana, na uzingatie kuwakumbusha kuchukua hatua, matusi bila kuchukua hatua, haitazuia Corona kufanya yake
 
Mapumbafu sana haya,yako selfish sana.Hivi hata Mpango hayakumuona,na jiwe je?Mim nimepigwa week tatu usiombe ikuguse
 

tukisema mnatumia makalio kufikiri mnachukia.

kwa akili zako za kuvukia barabara magu angefariki kwa corona ungethubutu kumwona samia,mama janet,na waliokuwa walinzi wa jpm wakiwa hawavai barakoa???au walichanjwa???vipi yeye hakuchanjwa akafariki??

siasa sio upumbavu,fanyeni siasa kama taaluma nyingine.
 
Mshukuru Mungu,

Hayo mengine ni matusi yasiyo maana, na uzingatie kuwakumbusha kuchukua hatua, matusi bila kuchukua hatua, haitazuia Corona kufanya yake
Matusi yako wapi? Yaani kwakua sijaugua corona ndio eti corona haipo? Hvi reasoning zenu huwa mnaacha wapi? Na ukute ni Professor au daktari wa afya unaongea hivi??

Ni hivi Corona ipo..... Nyumba za ibada tumezika wengi sana tu kwa hili tatizo. Mapadri umeona wamechukuliwa zaidi ya 25 then unakuja kuniuliza eti mbona sipigi nyungu/barakoa na sijaugua??

Siku ikimpata mama yako akagalagala chini ndio utaelewa anachosema Rais.
 
Ndugu, Corona ni Biashara za Wanasiasa na mabwanyenye wachache.
 
Anataka wamshauri nini asichojua? Huu nao ni uongo mtupu na upotevu wa pesa! Hivi kweli hatuna msimamo juu ya Corona? Leo hii amesahau kuwa avai barakoa? Hajui kutovaa Barakoa ni msimamo tayari?
Mpinzani wa SSH. Hahahahaha

Utapata tabu sana Mataga
 
Ni wapi kusikokuwa na Corona?
Ni nani mpaka sasa kaidhibiti Corona?

Habari ya Udoct na Uprof achana nao, na punguza jaziba hazisaidii!!

Kama unaona zinasaidia, toa faida moja wapi tuone
 
Unataka tuweke lock down, huo ndio utaalam unaotaka, hao wenye lock down wanakufa wengi zaidi ya Tz sasa nini faida ya lockdown ? SSH ana tatizo, tena ni KUBWA.
Umejuaje kama kwenye lockdown wanakufa wengi kuliko nchini kwako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…