Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Asingeenda tuItakuwa JK aliona atapata shida kumsafisha wakati alishiriki fitna ya kumchafua huko nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingeenda tuItakuwa JK aliona atapata shida kumsafisha wakati alishiriki fitna ya kumchafua huko nyuma
Huyu alishiriki kampeni chafu za kumchafua Salim wakati wa kampeni za kugombea Urais 2005.Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.
Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.
Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980
Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.
Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Adui yako apewe jukwaa aongee nini?Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.
Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.
Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980
Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.
Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Mwamba kwa mama yakoJK bwana, kila anapotokea kuna 'buttholes' za washamba flani lazima zihangaike. Huyu jamaa mwamba sana!
Kwakuwa mama yangu mwenyewe ni wewe basi mi ni nani hata nikubishie?!!Mwamba kwa mama yako
Unashangaa kutopewa nafasi ,mshangao ungekuwepo kama angepewa!Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.
Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.
Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980
Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.
Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Inafahamika ccm wakati ule Imemezwa na mtandao wa Chikwete na Mamvi Walimchafua sana Dr Salim.Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.
Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.
Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980
Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.
Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Who's Kilimanjaro Elite? Nani alilazimisha?Halafu Kilimanjaro Elites mkalazimisha kweli Lowassa awe Raisi mwaka 2015. Bloody Hell, what got into you ?
Angekua mamba Magufuli asingepita CCM 2015!JK bwana, kila anapotokea kuna 'buttholes' za washamba flani lazima zihangaike. Huyu jamaa mwamba sana!
Hahahahahaaaaa! Huyo magufuli wenu mjini kaletwa na kina JKAngekua mamba Magufuli asingepita CCM 2015!
Magufuli mjini hakuletwa na JK.... Magufuli aliingia mjini enzi ya Mwinyi chini ya bahasha toka kwa Julius Nyerere na kukabidhiwa kwa Mkapa aliyemfikisha hapo alipoishia.Hahahahahaaaaa! Huyo magufuli wenu mjini kaletwa na kina JK
Kafanya visa Kwa Salim Ahmed na Kwa mark mwandosyaKikwete kashiriki pakubwa sana chini ya wanamtandao kumsulubu vibaya sana Salim Ahmed Salim. Angekua muungwana angetumia hiyo fursa kutubu!
Wajeda waliamua kushika hatamu KWA vyovyote vile Baada ya majaribio yao kushindwa enzi za mwalimu!!!Kikwete alimuita Salim ni mwarabu na nchi ingeuzwa Oman.
Na sasa anapika fitina kwa full minister mmoja toka Pwani ikiwezekana afe kabisa ili mwanae awe full minister.Kafanya visa Kwa Salim Ahmed na Kwa mark mwandosya
Nawe umekuwa mtoto mno kuelewa mantiki ya nilichokisema.......fasihi. Kuna hidden meaning niliyoimaanisha, sikumaanisha kuwa JK ndiye aliyemlipia Lori alilopanda wakati anakuja wala aliyemwita.Magufuli mjini hakuletwa na JK.... Magufuli aliingia mjini enzi ya Mwinyi chini ya bahasha toka kwa Julius Nyerere na kukabidhiwa kwa Mkapa aliyemfikisha hapo alipoishia.
Unajua nani aliileta familia yao nchini? Dhumuni lake unalijua? Unaonekana mtoto sana kwa siasa za nchi hii.