Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Vijana mnapenda miteremko ndio maana mnalia lia sijui dr.Salim alifanyiwa figisu niwakumbushe mamlaka hajawahi kuja kirahisi rahisi duniani kote.Nyie mnaona akina Putin wanaua wanaenda kinyume nao au kuwa challenge Bure.Figisu kwenye siasa kawaida sana.Acheni kulia lia
Kwa hiyio unatupa jibu la aliyemchafua Salim dio?
 
Ila kwa 95% zambi za lile genge la mtandao zilitendwa na Lowassa... bila Lowassa JK asingefurukuta kuingia magogoni 2005 na ndio maana mtu wa kwanza kulipia gharama ya Dhambi za ule mtandao ni Lowassa!
Ni uzuzu wa Watanzania kumuona Lowassa shujaa kwa vile alikuwa anagawa pesa.

Lakini huyo mzee alipaswa kunyongwa hadharani tena uchi .

Amecheza michezo michafu sana na mkwere.

Kubenea hawezi kumsahau kwa zile tindikali.

Kama Mungu hujibu basi kuna watu wameanza kula matunda ya kazi zao.
 
Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.

Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.

Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.

Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisisasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Yule mwovu hawezi kuomba radhi.
Ataiomba radhi akiwa hoi kitandani
 
Huyu mkwere hajawahi kuwa muungwana hata siku moja! Ni mtu mwenye roho ya kimaskini, fitina, visasi na juu ya yote fisadi aliyekubuhu. Angepewa nafasi ya kuzungumza angenajisi shuhuri yote afadhali hawakumpa nafasi. Inanikumbusha alivyoshushuliwa alipozungumza kwenye mazishi ya Magufuli kule Chatto.
Mkwere amekosa heshima bibaya sana.
Acha avune mbigiri zake alizopanda njia ya kwenda kwa jirani
 
Na ndug wetu Mohamed Said mban yukonkimya bila kuandiaka hbr za Dr muislmu mwezake
Dr Salim Ahmed Salim alinyanyuliwa na mgalatia Nyerere akazikwa na Ustadhi Chikwete.

Ukiitazama picha nzima utabaini Ustadhi Mohamed Said anakosa hoja zake zisizokuwa na kichwa wala miguu juu kile anachopenda kuhubiri sana "Mfumo Kristo"
 
Dr Salim Ahmed Salim alinyanyuliwa na mgalatia Nyerere akazikwa na Ustadhi Chikwete.

Ukiitazama picha nzima utabaini Ustadhi Mohamed Said anakosa hoja zake zisizokuwa na kichwa wala miguu juu kile anachopenda kuhubiri sana "Mfumo Kristo"
Ukristo na uislam ni michezo ya kuingiza inayochezwa na elite wa daraja la KWANZA kuingiza daraja la chini sana!!

Africa ilipokea dini KWA mikono miwili kana Kwamba hazikutoka KWA wakoloni vile!!!

Inasikitisha sana Mkuu!
 
Halafu Kilimanjaro Elites mkalazimisha kweli Lowassa awe Raisi mwaka 2015. Bloody Hell, what got into you ?
Ilikua lazima iwe vile!!
Ili ku balance hali ya ukanda na ukabila nchini mwote!!

Yaani jpm kanda ya ziwa na kabila kubwa la wasukuma lililotapakaa nchini mwote na wahaya,wasuni na makabila yote ya huko na lowasa kaskazini wameru,wanadai,wachaga,warusha,wanadai waliopo nchini pote!!
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Makavazi ya viongozi ambao wametuletea viongozi majizi na wasiojali utu ni sawa na kujilisha upepo.

CCM imepoteza dira tangu enzi za Mwinyi
 
Vijana mnapenda miteremko ndio maana mnalia lia sijui dr.Salim alifanyiwa figisu niwakumbushe mamlaka hajawahi kuja kirahisi rahisi duniani kote.Nyie mnaona akina Putin wanaua wanaenda kinyume nao au kuwa challenge Bure.Figisu kwenye siasa kawaida sana.Acheni kulia lia
Lakini zisiwe figisu na fitina za kike
 
Huyu mkwere hajawahi kuwa muungwana hata siku moja! Ni mtu mwenye roho ya kimaskini, fitina, visasi na juu ya yote fisadi aliyekubuhu. Angepewa nafasi ya kuzungumza angenajisi shuhuri yote afadhali hawakumpa nafasi. Inanikumbusha alivyoshushuliwa alipozungumza kwenye mazishi ya Magufuli kule Chatto.
Masikini Babu Seya

Hivi yuko wapi?
 
Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.

Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.

Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.

Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisiasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa atakufa kakenua meno walah. Siyo kwa fitina hizo. Kila mahala ni yeye anatajwa tu.
 
Back
Top Bottom