Ukiona mahali yupo kikwete na samia kisha samia hampi kikwete nafasi ujue kuna kitu nyuma yake.
Mwaka 2005 wakati kikwete akiwania kupeperusha bendera ya urais yeye na kundi lake waliamua kumchafua Dr salim ahmed salim kuwa alihusika na mauaji ya mzee Karume Zanzibar.
Wakati huo dr Salim nae alikuwa kwenye kinyang'anyiro na alikuwa na mvuto kwelikweli Dr. Salim. Alikuwa na cv nzito haswa. Na iliwahi kusemekana kuwa ni moja ya watu ambao Nyerere alitamani aje kushika nafasi za juu kabisa kwa nchi hii.
Ile taarifa ilimnyong'onyeza sana Dr na kuanzia pale ni kama alijitoa kwenye mkondo wa mambo ya kisisasa. Sidhani kama Kikwete na genge lake waliwahi tena kwenda kumpigia magoti Dr. Salim.
Sent from my SM-A225F using
JamiiForums mobile app