Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pep hii watendaji wa kata imekaaje mkuu?

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Katika mabadiliko yajayo ya katiba tuweke Ibara ya kudhibiti safari za raisi. Raisi asafiri safari zisizozidi 5 kwa mwaka
Hata hizo nyingi,si kuna balozi na watendakazi wa idara zote.Kwa mikopo ya Nchi yetu na uendeshaji wa Nchi yetu tungepunguza safari za Rais Mawaziri wa sekta wawajibike ipasavyo.
 
Matercore yakor
 
Jamaa kapiga bonge moja la buti,halafu anatabasamu huku akimzingatia MAMA.
 
Mwacheni mama aendelee kuupiga mwingi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…