pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Bila kushuruitisha na kuidai kwa nguvu zote tusitarajie katiba mpya kwa hiari kwa ccm hii, ni sawa na kumdai shetwani haki ya kumwabudu Mungu peke yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How? Katiba mbovu ndiyo dhamana ya Urais wake?Anauhakika kwa Katiba hii hawezi ukosa huo Urais?Urais mtamu. Unataka abadili katiba aishi kama shetani.
Rais alijibu kwa usahihi kabisa! Katiba ni ya Watanzania.Kuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
Kwa sasa hata Waheshimiwa akina Fulani na Fulani ambao walionja joto ?! Nao hawana shida ??Ccm hawajawahi na hawatawahi kuwa na shida na katiba mpya.
Huyu sio rais wa nchi, ni mwanamke wa kiswahili asiyejiaminiKuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
Kelele za mitandaoni kivipi wakati Tume iliundwaje na Bunge likakaa.... Yote hiyo ilikuwa kelele za mitandaoni...!!? Akina Kessy na Ndugai walitaka kubadilisha katiba kwa kudai a take asitake watamuongezea..... Na Bunge likashangilia.Si ni kwa sababu anajua hizo kelele ni za mitandaoni tu.
Pamoja na hayo yote lakini tukumbuke pia mama ndiye HEAD OF STATE !! na kwamba suala hilo amuachie yeye na wananchi wake wataelewana wafanye nini ndivyo alivyomaanisha !!Mama ni ndugu yetu katika imani, au sio?
Mkuu humu mitandaoni mbona katiba tunaidai kwa nguvu zetu zote sema basi tu.bila kushuruitisha na kuidai kwa nguvu zote tusitarajie katiba mpya kwa hiari kwa ccm hii, ni sawa na kumdai shetwani haki ya kumwabudu Mungu peke yake!
We una uhakika Kikeke ni Mtanzania?.. ameambiwa mambo ya watanzania awaachie watanzania wenyewe..na hapo alishapelekewa maswali akaandaa majibu, lakini alishindwa kuzuia kibri yake......
hata hivyo iwe funzo kwa Kikeke, aache kumhoji huyu mama, ikiwa ni lazima BBC kufanya mahojiano naye, basi walete mwandishi asiye mtanzania.
Maana dharau iliyoonyeshwa ni kwa sababu ya uraia wa mwandishi. Muulizwa maswali alijisahau akaona ni kijana wake tu na si mwanahabari wa chombo cha kimataifa....
Katiba itamg'oa hakuna cha maana anachofanyaKuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
Hatari snMkuu humu mitandaoni mbona katiba tunaidai kwa nguvu zetu zote sema basi tu.
🤣🤣🤣🤣 Rais wa mchongo huyuKuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
Kikeke: Unaweza kuhakikishia waTz au kutoa ahadi kuwa kabla hujaondoka madarakani Tz itakuwa na Katiba Mpya?Mmoja atuwekee katika mtindo wa maneno, wengine hatuna uwezo wa kusikia.
Mie mkuu nimesema tu kuwa Samia anajua vizuri kwamba kelele za kudai katiba mpya zipo mitandaoni tu na si uraiani huko kwa wamachinga na mama ntilie na ndio maana hili suala la katiba mpya huonekana kuwa ni hitaji la wanasiasa tu na hiyo ndio hali halisi iliyopo.Kelele za mitandaoni kivipi wakati Tume iliundwaje na Bunge likakaa.... Yote hiyo ilikuwa kelele za mitandaoni...!!? Akina Kessy na Ndugai walitaka kubadilisha katiba kwa kudai a take asitake watamuongezea..... Na Bunge likashangilia.
Kama Wananchi hawataki, hayo maoni ya Katiba aliyoyakusanya Warioba aliyapata wapi?
....upeo tu!na hapo alishapelekewa maswali akaandaa majibu, lakini alishindwa kuzuia kibri yake......
hata hivyo iwe funzo kwa Kikeke, aache kumhoji huyu mama, ikiwa ni lazima BBC kufanya mahojiano naye, basi walete mwandishi asiye mtanzania.
Maana dharau iliyoonyeshwa ni kwa sababu ya uraia wa mwandishi. Muulizwa maswali alijisahau akaona ni kijana wake tu na si mwanahabari wa chombo cha kimataifa....
It doesn't matter whether she agrees or not that ata deal na katiba or not.Mbona kawa mkali hivyo
Hili la katiba halijaanza leo
Hapo ilikuwa awe na majibu ya kuridhisha ila kajibu kwa woga sana