KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Baada ya haya sasa itabidi iwe zaidi ya "kudai," Sina neno sahihi la kuelezea juhudi zinazotakiwa kufanywa ili katiba mpya ipatikane, watake au wasitake.Endeleeni kudai Sheikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya haya sasa itabidi iwe zaidi ya "kudai," Sina neno sahihi la kuelezea juhudi zinazotakiwa kufanywa ili katiba mpya ipatikane, watake au wasitake.Endeleeni kudai Sheikh
Ni simkubali Mama kiasi Fulani, lakini suala la katiba mbona kajibu vizuri tu!??Kuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
Kumbe mama ni hodari wa kuwajibu vizabinazabina.Kuna clip naiona ikionesha mahojiano ya Salim Kikeke na mama wa Taifa
Salim alimuuliza mama tutegemee lini katiba mpya
Mama akajibu majibu fulani ya kufarakanisha
View attachment 2158872
ni mfilipino?We una uhakika Kikeke ni Mtanzania?.. ameambiwa mambo ya watanzania awaachie watanzania wenyewe..
Kuhusu Lisu alikuwa sahihi sana! Hivi Lisu anajiona yeye nani?
Eti uhakikishiwe ulinzi kwani hawa watz wengine wakiwemo kina Mnyika, Zitto, Mbowe nk wamehakikshiwa ulinzi na nani?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Mbona kuna watu kibao tu wanapigwa risasi tena wengine wanaua na majambazi je waliwahi kuomba ulinzi wapi?Hao walipigwa risasi 16 kama yeye?
Mbona kuna watu kibao tu wanapigwa risasi tena wengine wanaua na majambazi je waliwahi kuomba ulinzi wapi?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Habari kaka.Lugha hizi zinapatikana ,Temeke Mikoroshini,Sandali,Tambuka Reli ,Kwa Maguruwe ,Yombo Kwa Fundi Umeme nk!
Labda wanatakiwa vilaza !ni mfilipino?