Kwanini Rais Samia aliamua kujibu hivi kuhusu Katiba Mpya?

Kuhusu Lisu alikuwa sahihi sana! Hivi Lisu anajiona yeye nani?

Eti uhakikishiwe ulinzi kwani hawa watz wengine wakiwemo kina Mnyika, Zitto, Mbowe nk wamehakikshiwa ulinzi na nani?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Safi sana!

Ntaiscreen shot niweke ukutani hii

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hata wanaodai Katiba mpya wangekuwa wao madarakani hiyo isingekuwa kipaumbele
Katiba mpya ni hitaji la nchi,haijalishi nani yuko madarakani.

Hao unaowaona kama ndio wanaodai nikwasababu nirahisi kusikika kwasababu tayari ni chama,ila kungekua na njia nzuri ya wananchi wote wa kawaida kuelezea maoni yao ya huitaji wa katiba mpya naamini wananchi wengi wangetaka katiba mpya.
 
Rais alijibu kwa usahihi kabisa! Katiba ni ya Watanzania. Watajadili na kuamua wenyewe muda ukifika. Pia haiwezi kuwa ajenda ya kikundi cha watu. Hii si Katiba ya Saccos wala NGO.[emoji120][emoji120][emoji120]
Ata serikali ni kikundi cha watu.Sasa siku itakapofika Ccm wakaweka swala la agenda ya katiba mpya kwenye ilani yao usije ukabadilisha mtazamo.

maana hapa unajitutumua tu kulingana na mtazamo wa raisi,naamini siku rais akibadilisha msimamo nawewe utabadilika.
 
Kwanini unaamini hivyo mkuu ni kwa sababu ya kuwepo maoni ya uhitaji katiba mpya huku mitandaoni?
 
Ila kama raisi katukosea anasema eti

Kwani watanzania wamekwambia wanataka katiba mpya

Ina maana hajui kelele zote hizi.
Ukia
 
Lugha hizi zinapatikana ,Temeke Mikoroshini,Sandali,Tambuka Reli ,Kwa Maguruwe ,Yombo Kwa Fundi Umeme nk!
Basi itakuwa huko hawahitaji katiba mpya ndio maana Samia kawalenga watu wa huko.
 
Inabidi wananchi nao wanapopata nafasi ya kueleza kero zao mbele ya kiongozi wao wawe wanataja na uhitaji wa katiba sio wanawaachia wanasiasa tu hadi inaonekana katiba mpya ni hitaji la wanasiasa tu na matokeo yake ndio hayo kuonekana wananchi hawaelewi lolote kuhusu katiba.
 
Kuhusu Lisu alikuwa sahihi sana! Hivi Lisu anajiona yeye nani?

Eti uhakikishiwe ulinzi kwani hawa watz wengine wakiwemo kina Mnyika, Zitto, Mbowe nk wamehakikshiwa ulinzi na nani?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kwenye kuhakikisha ulinzi inaweza kuwa ngumu kwa Rais kulisema wazi. Ila bado Lissu ana point na huwezi kumlinganisha issue yake na uliowataja. Wote tunajua kuwa walitaka kumkamata tena baada ya uchaguzi... Mpaka sasa hatujui sababu ni nini?

Pia Ile ya kudai uchunguzi wa Shambulio la Lissu halijafanyika kwa kuwa Lissu hayupo kutoa ushirikiano hapo kachemka.

Hii inaonyesha kuwa serikali haina Mpango wa kuchunguza na wameshindwa kutoa sababu ya msingi.

Ndiyo maana tunaconclude kuwa ilikuwa ni kazi ya kikosi maalumu.
 
Lisu alidai mbaya wake akikuwa Magufuli na Magufuli hayupo sasa wasiwasi wa nini?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
It doesn't matter whether she agrees or not that ata deal na katiba or not. The way she answered was wrong. She is the President hapaswi kujibu ki mipasho. That was totally unacceptable. Sad

I was shocked [emoji32] to be honest
 
Samia ni Rais wa kikatiba katiba imemupofusha macho ya kutokuona ubaya wake.
 
President amejibu ki mipasho sana hilo swali...

Unamuulizaje mwandishi kwamba Walikwambia wewe?, niachie mm na watanzania..?

Bimkubwa angekuwa anaandaliwa majibu,, kuna siku ataaibisha taasisi ya Urais
 
President amejibu ki mipasho sana hilo swali...

Unamuulizaje mwandishi kwamba Walikwambia wewe?, niachie mm na watanzania..?

Bimkubwa angekuwa anaandaliwa majibu,, kuna siku ataaibisha taasisi ya Urais
Kwani hapo kafanyaje,kama sio kuidhalilisha!

Kuna kundi Fulani la watu halitakiwi kupewa madaraka makubwa ,wata abuse tu...watu wengine wanataka vitu simple...Ngoma ,michezo...Utamaduni!
 
Subirini mumchague Lema 2025 awape katiba mpya, kwa sasa tuache kazi iendelee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…