GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Hajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
Sasa si angeomba kupumzika?Hajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.
Miaka 50 bado ana fyatua tuuHajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.
Hili jibu lina mantiki kweli?Hajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.
Kwani kuwa Waziri ni kupewa tonge?Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
Bado anazaa tu mbona kama yupo mid 4th floor kama sio 5thHajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.
kabisa, sijawahi ona waziri mja mzito,Hili jibu lina mantiki kweli?
Kwani viongozi (Mawaziri) hawana maternity leave ambayo ni haki kwa kila mfanyakazi wa umma?
Sheria zinasemaje, kuona ni jambo jingine, waweza usione lakini sheria zikasema tofauti.kabisa, sijawahi ona waziri mja mzito,
Seriously?!!kabisa, sijawahi ona waziri mja mzito,
......kamba ndefu kuliko ilivyotajiriwa.....Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
Naunga mkono hoja Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge? na Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
amefanya vizuri sana maana NHIF inazingua sana.yani dawa ilikuwa inauzwa 5000,le0 hii inauzwa 2000??Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
Moderators tumeshachoka sasa na mada zile zile za kumhusu Ummy Mwalimu. Tafadhali unganisheni na hii katika UzI Mkuu.Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?