dong yi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 5,906
- 8,243
hukuwa unamuona Angela kairuki enzi za jiwe?kabisa, sijawahi ona waziri mja mzito,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hukuwa unamuona Angela kairuki enzi za jiwe?kabisa, sijawahi ona waziri mja mzito,
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.At 51 acha uongo wewe
Hivi siku ukiambiwa shemeji yako anatoka na dadaako kimapenzi utaamini?Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya.
Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia!
Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
hakujua kamba imekatika akaendelea kula......kamba ndefu kuliko ilivyotajiriwa.....
Mke wangu ana 42 na tayari ameshapata menopauseKwani menopause haujui zinawakumba wakiwa na umri gani, huyo bado ni kijana sana, ana miaka 51 kwa sasa na kuzaa anazaa kama kawaida.
Kisayansi ni kawaida.Mke wangu ana 42 na tayari ameshapata menopause
Sasa akitumbuliwa si hata tumbo lote litasambaratika?Miaka 50 bado ana fyatua tuu
Na mzee VUTA-NKUVUTEMzee anayekaribia miaka 70 hana muandiko wa namna hii...
Humu member ninayefahamu ni mzee ni Mohamed Said tu.
Ummi ni bora ? Kwenye nini haswa ? Hebu tuambieHata mimi nimeshangaa sana maana Ummy ni miongoni mwa mawaziri bora sana
kwa majibu haya nimegundua una umeme mdogo kichwaniHajamtumbuwa, Ummy uja uzito unamsubuwa sana. Mwenyezi Mungu amsalim salama.
Ungejua! Usingezungumza huu ushubwada wako hapoHata mimi nimeshangaa sana maana Ummy ni miongoni mwa mawaziri bora sana
Kairuki ilikuwajeHili jibu lina mantiki kweli?
Kwani viongozi (Mawaziri) hawana maternity leave ambayo ni haki kwa kila mfanyakazi wa umma?
Sifahamu.Kairuki ilikuwaje