Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Jamani khaaWilliam Samoei Ruto ametangazwa kuwa rais mteule wa Kenya na tume ya Uchaguzi
Marais kadhaa wa nchi jirani wamempa pongezi kupitia Twitter ila sijaona kwa Rais wetu
Ni kuwa alikuwa anataka Raila ashinde?
Kila kitu ni kukosoa tu...tuendelee na malalamiko wenetuWilliam Samoei Ruto ametangazwa kuwa rais mteule wa Kenya na tume ya Uchaguzi
Marais kadhaa wa nchi jirani wamempa pongezi kupitia Twitter ila sijaona kwa Rais wetu
Ni kuwa alikuwa anataka Raila ashinde?
?Niliwaambia Ruto anakuwa Rais wa Kenya na sasa imekuwa Asante Mungu
Siku 21 za nin bwashee?Katiba ya Kenya imetoa Siku 21
Ushaambiwa halali, wateule wenyewe anatuleaga saa nane usiku tuliza kipago.William Samoei Ruto ametangazwa kuwa rais mteule wa Kenya na tume ya Uchaguzi
Marais kadhaa wa nchi jirani wamempa pongezi kupitia Twitter ila sijaona kwa Rais wetu
Ni kuwa alikuwa anataka Raila ashinde?
Kama atapingwa mahakamaniSiku 21 za nin bwashee?