chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
toa na sababu kdgo.Niliisha ongea muda mrefu Ruto ndiye next president of kenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
toa na sababu kdgo.Niliisha ongea muda mrefu Ruto ndiye next president of kenya
Mkuu mbona kama umeumia au mzee wa Govi (kitendawili) ni Basha wakoNI mumeo?
?
Hongera umefanikiwa kuandika mada hapa JFWilliam Samoei Ruto ametangazwa kuwa Rais mteule wa Kenya.
Marais kadhaa wa nchi jirani wamempa pongezi kupitia Twitter ila sijaona kwa Rais wetu
Ni kuwa alikuwa anataka Raila ashinde?
Hapana! Wakati ni huuNaona asubiri after one week ndio atoe hizo pongezi zake, hao marais wengine kutoa pongezi zao haina maana na Samia nae atoe zake.
Ningemshauri atoe pongezi zake haraka kama huo uchaguzi ungekuwa umefanyika hapa Tanzania, kwenye mahakama zao wenye nchi.
Uchaguzi umefanyika na mshindi kapatikana. Atoe pongezi tuKenya haieleweki amyuti kwanza
Wewe unajulikana Team Mwendakuzimu Team Odinga huwezi penda hiliMkuu umekosa kazi au??
Unamuomba mtu ampongeze mwingine?
Hata kama ni kujipendekeza ila hii imezidi aisee.
Wewe umempongeza?Hapana! Wakati ni huu