Kenya 2022 Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajampongezi Rais Mteule William Ruto?

Kenya 2022 Kwanini Rais Samia mpaka sasa hajampongezi Rais Mteule William Ruto?

Kenya 2022 General Election
Mbona hataki kumpongeza Ruto direct [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anafikiri ngoma itapinduka au kisa yeye na uhuru wanaoneana so. Ajitahidi kujifunza Kuna kukosa ktk maisha
Hiiiiiiiiiiiiii, unasemaaaaaa
Samia Ruto.jpeg
 
Huyu mama aache uswahili.. ampongeze Ruto direct aache mambo yao ya kinafki nafki na kichawi ya CCM.
Pongezi za moja kwa moja kwa Rais Mteule kwa nchi ambayo matokeo yanaweza kupingwa mahakamani, hutolewa baada ya uapisho. Niko tayari kurekebishwa
 
Najua kuna wabaya wako wanajaribu kukushauri uchelewe kutoa pongezi kwa Ruto eti wakidai usubiri taratibu za ki mahakama zimalizike endapo Odinga ataenda Mahakamani!

Kama mshabiki wako ninayekutakia mema na mazuri naomba usiwasikilize, wengi wao ni watu wa yule mtu wasiokutakia mazuri. Marais wa South Africa, Zimbabwe, Nigeria wametoa pongezi tayari. Naomba uwe wa kwanza kwa Africa Mashariki kutoa pongezi za wazi kwa Ruto kwa sababu uchaguzi umeshafanyika na Ruto ndo ametangazwa mshindi.

Tengeneza rafiki wako sasa kwa maslahi makubwa ya Tanzania hapo baadae!

Asante.
Pomgezi zimeshatoka kitambo mkuu.
Tazama twitter ya Mama Saia.
 
Yaani ukiunga kura zote za Urais zinafikia 101%.

Kura zaidi ya 140,000 hazina mwenyewe.zilizoharibika hata moja haipo. Idadi ya wapiga kura haipo.

Majirani hili ni soo kubwa mno tume kugawanyika makundi mawili...namekumbuka enzi za mh. Zecha dadadeq kitu kikatangaza afu kikajipotea miezi.
 
Back
Top Bottom