Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
Hiiiiiiiiiiiiii, unasemaaaaaaMbona hataki kumpongeza Ruto direct [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anafikiri ngoma itapinduka au kisa yeye na uhuru wanaoneana so. Ajitahidi kujifunza Kuna kukosa ktk maisha
Sinaga huo ujingaKjjiweni leo watakoma...utawaonesha na screenshot kuwa wewe ndio ulimshauri apongeze...nyambaf
Pongezi za moja kwa moja kwa Rais Mteule kwa nchi ambayo matokeo yanaweza kupingwa mahakamani, hutolewa baada ya uapisho. Niko tayari kurekebishwaHuyu mama aache uswahili.. ampongeze Ruto direct aache mambo yao ya kinafki nafki na kichawi ya CCM.
Pomgezi zimeshatoka kitambo mkuu.Najua kuna wabaya wako wanajaribu kukushauri uchelewe kutoa pongezi kwa Ruto eti wakidai usubiri taratibu za ki mahakama zimalizike endapo Odinga ataenda Mahakamani!
Kama mshabiki wako ninayekutakia mema na mazuri naomba usiwasikilize, wengi wao ni watu wa yule mtu wasiokutakia mazuri. Marais wa South Africa, Zimbabwe, Nigeria wametoa pongezi tayari. Naomba uwe wa kwanza kwa Africa Mashariki kutoa pongezi za wazi kwa Ruto kwa sababu uchaguzi umeshafanyika na Ruto ndo ametangazwa mshindi.
Tengeneza rafiki wako sasa kwa maslahi makubwa ya Tanzania hapo baadae!
Asante.
Angalia uzi ulitoka saa ngapi na pongezi zimetoka saa ngapi?Pomgezi zimeshatoka kitambo mkuu.
Tazama twitter ya Mama Saia.
Ungevuta subra mzeeAngalia uzi ulitoka saa ngapi na pongezi zimetoka saa ngapi?