Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Russia aliingia mkataba wa ushirikiano na urafiki baina yake na Syria kwenye miaka ya 80 huko, mikataba ambayo inatoa faida kwa nchi zote mbili na pia Russia ndio anaempatia silaha Syria za kupambana na waasi ambao wanaungwa mkono na nchi za magharibi. Miongoni mwa mikataba hiyo iliipatia Russia nafasi ya kuweka base yake hapo Middle East na kufurahia uwepo wa Base hiyo kwa muda wa miaka 49 bila ya kulipia chochote. Ndio maana Russia anaisupport na kuilinda Syria.