Kwanini Serikali iliamua kununua mabasi ya mwendokasi yenye injini za CUMMINS wakati si imara wala madhubuti?

Kwanini Serikali iliamua kununua mabasi ya mwendokasi yenye injini za CUMMINS wakati si imara wala madhubuti?

Mabasi yetu mazuri na yaliyo badilisha muonekano na mfumo mzima wa Usafiri yanatumia injini za CUMMINS.

Injini za CUMMINS ndizo ziko KWENYE mabasi yanayoingia nchini kutoka China...

Mimi si mtaalamu sana kwenye haya mambo, lakini nauliza tu, je hayo mabasi yalitengenezwa nchi gani? Je hizo injini ndizo original zkwa hayo mabasi?
 
Mkuu mimi kwa uelewa wangu Procurement ya serikali inahusu sheria na taratibu, hadi kampuni inapata tenda it means suppplier alikidhi vigezo ikiwemo ku comply na specification zilizotolewa na wahitaji lakini pia aliweka bei ambayo ilikuwa sahihi kwa maana ya kwamba ukiunganisha sasa compliance ya specification na price offered alipatikana akiwa ndiye Lowest Evaluated Bidder kisha akapewa tenda na akatengeneza magari yakaguliwa yakaonekana yamekidhi vigezo then yakakubarika ndo maana tunayaona barabarani.
 
hujasikia majaliwa leo kawavua nguoa hao mwendokasi eti wako ofisini miaka mitano hawajaweza hata kununua basi moja na wanafanya biashara siku zote, hii nchi ina wapigaji bana
 
Cummins ni engine ya kimarekani ni engine inayotumika sana kwenye shughuli mbali mbali huko Marekani na kwingineko .Lakini Engine katika mabasi ya mwendokasi ni CUMMINS made in China,hatujui kama genuine au fake engine.

Engine nazo zina maintenance procedures, Planned Maintenance, Aina ya mafuta na oil kama ni compatible, usafi, ujuzi n.k
Nimeshaona engines za CUMMINGS kwenye minara ya simu, hasa airtel, ziliondolewa zote... maana zilileta shida sana... Kuna moja kubwa ilikuwa pale kijitonyama (sayansi jengo la TTCL enzi celtel wapo pale... ni balaa
 
Mkuu mimi kwa uelewa wangu Procurement ya serikali inahusu sheria na taratibu, hadi kampuni inapata tenda it means suppplier alikidhi vigezo ikiwemo ku comply na specification zilizotolewa na wahitaji lakini pia aliweka bei ambayo ilikuwa sahihi kwa maana ya kwamba ukiunganisha sasa compliance ya specification na price offered alipatikana akiwa ndiye Lowest Evaluated Bidder kisha akapewa tenda na akatengeneza magari yakaguliwa yakaonekana yamekidhi vigezo then yakakubarika ndo maana tunayaona barabarani.
Kuna 10% na ndo inauwa vyote hivyo ulivyovisema
 
Nimeshaona engines za CUMMINGS kwenye minara ya simu, hasa airtel, ziliondolewa zote... maana zilileta shida sana... Kuna moja kubwa ilikuwa pale kijitonyama (sayansi jengo la TTCL enzi celtel wapo pale... ni balaa
Cummins siyo shida kama ni genuine lakini ikiharibika haitaki ubabaishaji inataka fundi mwenye real know-how ya engine hiyo.
Lakini bado kuna replacement ya parts,genuine ni aghali, ndipo kunakuja kishawishi cha kununua fake parts.Na inawezekana hao UDA wamekuwa wananunua hayo mafake spare parts.
 
Mabasi yetu mazuri na yaliyo badilisha muonekano na mfumo mzima wa Usafiri yanatumia injini za CUMMINS.

Injini za CUMMINS ndizo ziko KWENYE mabasi yanayoingia nchini kutoka China.

Injini za CUMMINS hazidumu kwa muda mrefu ndio maana huwezi kuliona Basi la Yutong lenye namba za usajili zinazo anzia na T000A-- au B, na ukiiona itakuwa imefungwa engine ya Scania.

Je, ni kitu gani kilipelekea serikali kufanya hii procurement?
Je, kuna watu Wana maslahi binafsi na supplier ili kila baada ya muda Fulani waagize tena mabasi?
Je, hatukuwa na hela ya kutosha kununua mabasi imara?
10%
 
Mabasi yetu mazuri na yaliyo badilisha muonekano na mfumo mzima wa Usafiri yanatumia injini za CUMMINS.

Injini za CUMMINS ndizo ziko KWENYE mabasi yanayoingia nchini kutoka China.

Injini za CUMMINS hazidumu kwa muda mrefu ndio maana huwezi kuliona Basi la Yutong lenye namba za usajili zinazo anzia na T000A-- au B, na ukiiona itakuwa imefungwa engine ya Scania.

Je, ni kitu gani kilipelekea serikali kufanya hii procurement?
Je, kuna watu Wana maslahi binafsi na supplier ili kila baada ya muda Fulani waagize tena mabasi?
Je, hatukuwa na hela ya kutosha kununua mabasi imara?
Nchi inaongozwa na wajinga
 
Mabasi yetu mazuri na yaliyo badilisha muonekano na mfumo mzima wa Usafiri yanatumia injini za CUMMINS.

Injini za CUMMINS ndizo ziko KWENYE mabasi yanayoingia nchini kutoka China.

Injini za CUMMINS hazidumu kwa muda mrefu ndio maana huwezi kuliona Basi la Yutong lenye namba za usajili zinazo anzia na T000A-- au B, na ukiiona itakuwa imefungwa engine ya Scania.

Je, ni kitu gani kilipelekea serikali kufanya hii procurement?
Je, kuna watu Wana maslahi binafsi na supplier ili kila baada ya muda Fulani waagize tena mabasi?
Je, hatukuwa na hela ya kutosha kununua mabasi imara?
Zinakua zina-cum kila wakati ndio maana zikaitwa Cummings?
 
images.jpeg
PMO_8494-scaled.jpg
 
Back
Top Bottom