Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?

Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?

Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Wengi tulijua serikali itakuwa imejifunza kitu kutoka ktk kesi ya Mbowe, cha ajabu imerudi ktk uchafu uleule!
Ni mambo ya aibu na upuuzi kutumia pesa za walipa kodi kwa mambo ya binafsi na ujinga usio na kipimo!
 
nawaza enzi za chama kimoja... kwa TZ bado swala la vyama vingi ni kizungumkuti, itatuchukua muda sana kusogeaaa
Mkuu ndiyo maana wahindi na waarabu wanapiga Sana pesa kwa sababu ya kuwa na maviongozi majinga jinga
 
Kwa hiyo unamaanisha akina Kibatala pia walienda kuiomba mahakama isiwaondolee ubunge wao? vichwani mmejaa ug.oro tupu.
Umesoma vyema mada au unaendeleza tabia yako ya kukurupuka kama uharo!
Uwe unasoma na kuelewa ndugu, au kaa kimya kuficha ujinga!
 
Mnatolewa kwenye mstari wa katiba mpya, na upandaji wa gharama za maisha...
 
Hakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.

Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.

NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Hivi unatumia akili au makalio kufikiri kwenye kesi ya kina mdee serikali imeshtakiwa na nani?
 
Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.

Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.

Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .

Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM

Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?

Kupanga ni kuchagua
Hii inadhihilisha kuwa mpango wa kuwapa akina Halima ubunge wa viti maalumu uliasisiwa na serikali.
 
Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.

Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.

Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .

Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM

Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?

Kupanga ni kuchagua
Kwanza
Ni mileage siyo mailage (wewe shomile Bw mtani wangu)

Pili
Kupanga ni kuchagua

Ni kweli kwa sbb Mbowe ni mtoto wa Nyerere kwa ubatizo na mzee Mbowe alikuwa mwandani wa Mwl. Mzee Mbowe aliwekeza vya kutosha kujenga TANU/CCM km ilivyokuwa akina Bomani, Dosa Aziz, Sykes, Rupia, Tabith Kombo, Aziz Ali, Amri Abeid nk.

Chadema kufa kbs ni ngumu ila tu kinaweza kudhoofu. Kwa account hiyo hapo juu ujuwe kuwa wewe ukiwa mfuasi wa Chadena basi ni mfuasi wa CCM kupitia agano la familia ya mzee Mbowe na ile ya Mwl.

Hivyo ndivyo siasa zinavyoendeshwa duniani.

Zitto amethibitisha ukweli huu, Chacha Wangwe amethibitisha, Kitila Mkumbo amethibitisha, Mashinji amethibitisha, Slaa amethibitisha, Bob Makani alijuwa, Kubenea amethibitisha, Mdee et al sasa nao wamethibitisha km wenzao hao.

Ukiwa CCM wewe ni Chadema pia, ukiwa Chadema wewe ni CCM pia.

Hivyo State Attorneys kutetea Mdee et al ni sawa na kutetea CCM tu.

Labda ungeshangaa kwanini CCM haikutumia State Attorneys kuwatetea wanachama 29 waliofukuzwa na CCM Shinyanga kwa tuhuma za kuhujumu uchaguzi 2015 (ije iwatetee wanachama wa Chadema?!)
 
Hakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.

Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.

NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Ndiyo wanaharakati wa CHADEMA hao- papara kichemi weupe wamejaza matusi tu
 
Kwanza
Ni mileage siyo mailage (wewe shomile Bw mtani wangu)

Pili
Kupanga ni kuchagua

Ni kweli kwa sbb Mbowe ni mtoto wa Nyerere kwa ubatizo na mzee Mbowe alikuwa mwandani wa Mwl. Mzee Mbowe aliwekeza vya kutosha kujenga TANU/CCM km ilivyokuwa akina Bomani, Dosa Aziz, Sykes, Rupia, Tabith Kombo, Aziz Ali, Amri Abeid nk.

Chadema kufa kbs ni ngumu ila tu kinaweza kudhoofu. Kwa account hiyo hapo juu ujuwe kuwa wewe ukiwa mfuasi wa Chadena basi ni mfuasi wa CCM kupitia agano la familia ya mzee Mbowe na ile ya Mwl.

Hivyo ndivyo siasa zinavyoendeshwa duniani.

Zitto amethibitisha ukweli huu, Chacha Wangwe amethibitisha, Kitila Mkumbo amethibitisha, Mashinji amethibitisha, Slaa amethibitisha, Bob Makani alijuwa, Kubenea amethibitisha, Mdee et al sasa nao wamethibitisha km wenzao hao.

Ukiwa CCM wewe ni Chadema pia, ukiwa Chadema wewe ni CCM pia.

Hivyo State Attorneys kutetea Mdee et al ni sawa na kutetea CCM tu.

Labda ungeshangaa kwanini CCM haikutumia State Attorneys kuwatetea wanachama 29 waliofukuzwa na CCM Shinyanga kwa tuhuma za kuhujumu uchaguzi 2015 (ije iwatetee wanachama wa Chadema?!)
Mzee mbowe aliwekeza nii TANU/CCM
Ebu nionyesha chote cha Mbowe Dar es Salaam
 
Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.

Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.

Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .

Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM

Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?

Kupanga ni kuchagua
Ukiachana na siasa chafu , za kishamba na za kipumbavu zinazosimamiwa na viongozi wa ccm, Tanzania ni moja ya nchi Tajiri sana. Kama focus ingewekwa kwenye utumiaji wa rasilimali tulizonazo kwa maendeleo ya taifa letu.
 
Ndio NEC ni necessary party.

Yeye ndio anapokea majina na kuyapeleka Bungeni.

Hivyo akija mahakamani ataisaidia kujua ni kwa namna gani hao wabunge waliteuliwa.

Na sheria inasema pale serikali inaposhitakiwa lazima AG awe sehemu ya kesi.

Ndio kilichofanyika.

hao covid wamefukuzwa uanachama na siyo ubunge embu kuwa na akili .
lini chadema walikaa kuwafuta ubunge hao watu
 
Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.

Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.

Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .

Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM

Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?

Kupanga ni kuchagua
Umesoma hati ya mashitaka?
 
Yaani hapo ndio unaona mchongo wao ulivyp bugi. AG ameshindwa kuishauri vyema serikali amebaki kupelekeshwa na CCM wasio jitambua.
Kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wao badala ya kudili na Chadema wana kimbilia kuihusisha na NEC sijui hao wanahusikaje na uanachama wa wanaofukuzwa.
Wewe ndie hujui wamefukuzwa uanachama sababu NEC ilipeleka majina yao bungeni

Kuwa NEC ndio iliyosababisha wafukuzwe
 
Wewe ndie hujui wamefukuzwa uanachama sababu NEC ilipeleka majina yao bungeni

Kuwa NEC ndio iliyosababisha wafukuzwe
wamefukuzwa uanachama katakana na utovu wao wa nidhamu.
haiwezekani upewe maelezo na viongozi wako halafu ugome kuyatekeleza.
ukweli ni kwamba wamefukuzwa anachama kwa utovu wa nidhamu
 
Back
Top Bottom