Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
kufilibwa kuko pale pale,maana amri haikutolewa kwa magufuli.
jichanganye.
Ilitolewa na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kufilibwa kuko pale pale,maana amri haikutolewa kwa magufuli.
jichanganye.
Wengi tulijua serikali itakuwa imejifunza kitu kutoka ktk kesi ya Mbowe, cha ajabu imerudi ktk uchafu uleule!Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Mkuu ndiyo maana wahindi na waarabu wanapiga Sana pesa kwa sababu ya kuwa na maviongozi majinga jinganawaza enzi za chama kimoja... kwa TZ bado swala la vyama vingi ni kizungumkuti, itatuchukua muda sana kusogeaaa
Kweli kabisa kwa Unyama alioufanya hawezi sahulika!Ni ngumu sana kufuta legacy ya Magufuli
Umesoma vyema mada au unaendeleza tabia yako ya kukurupuka kama uharo!Kwa hiyo unamaanisha akina Kibatala pia walienda kuiomba mahakama isiwaondolee ubunge wao? vichwani mmejaa ug.oro tupu.
Hivi unatumia akili au makalio kufikiri kwenye kesi ya kina mdee serikali imeshtakiwa na nani?Hakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.
Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.
NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Haya ndio matatizo ya kutumia banana ukiwa hujala.Hivi unatumia akili au makalio kufikiri kwenye kesi ya kina mdee serikali imeshtakiwa na nani?
Hii inadhihilisha kuwa mpango wa kuwapa akina Halima ubunge wa viti maalumu uliasisiwa na serikali.Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Mbona imeshafutikaNi ngumu sana kufuta legacy ya Magufuli
KwanzaTumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Ndiyo wanaharakati wa CHADEMA hao- papara kichemi weupe wamejaza matusi tuHakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.
Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.
NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Mzee mbowe aliwekeza nii TANU/CCMKwanza
Ni mileage siyo mailage (wewe shomile Bw mtani wangu)
Pili
Kupanga ni kuchagua
Ni kweli kwa sbb Mbowe ni mtoto wa Nyerere kwa ubatizo na mzee Mbowe alikuwa mwandani wa Mwl. Mzee Mbowe aliwekeza vya kutosha kujenga TANU/CCM km ilivyokuwa akina Bomani, Dosa Aziz, Sykes, Rupia, Tabith Kombo, Aziz Ali, Amri Abeid nk.
Chadema kufa kbs ni ngumu ila tu kinaweza kudhoofu. Kwa account hiyo hapo juu ujuwe kuwa wewe ukiwa mfuasi wa Chadena basi ni mfuasi wa CCM kupitia agano la familia ya mzee Mbowe na ile ya Mwl.
Hivyo ndivyo siasa zinavyoendeshwa duniani.
Zitto amethibitisha ukweli huu, Chacha Wangwe amethibitisha, Kitila Mkumbo amethibitisha, Mashinji amethibitisha, Slaa amethibitisha, Bob Makani alijuwa, Kubenea amethibitisha, Mdee et al sasa nao wamethibitisha km wenzao hao.
Ukiwa CCM wewe ni Chadema pia, ukiwa Chadema wewe ni CCM pia.
Hivyo State Attorneys kutetea Mdee et al ni sawa na kutetea CCM tu.
Labda ungeshangaa kwanini CCM haikutumia State Attorneys kuwatetea wanachama 29 waliofukuzwa na CCM Shinyanga kwa tuhuma za kuhujumu uchaguzi 2015 (ije iwatetee wanachama wa Chadema?!)
Ukiachana na siasa chafu , za kishamba na za kipumbavu zinazosimamiwa na viongozi wa ccm, Tanzania ni moja ya nchi Tajiri sana. Kama focus ingewekwa kwenye utumiaji wa rasilimali tulizonazo kwa maendeleo ya taifa letu.Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Ha ha ha; anaweza akarudi mkuu kikawa kizazaaa ..wale wabua moshi ati dawa ya Corona na wale zakee wa nyungu tutawakomaje..Bado hawaamini kuwa magu amekwenda na maji.
Ndio NEC ni necessary party.
Yeye ndio anapokea majina na kuyapeleka Bungeni.
Hivyo akija mahakamani ataisaidia kujua ni kwa namna gani hao wabunge waliteuliwa.
Na sheria inasema pale serikali inaposhitakiwa lazima AG awe sehemu ya kesi.
Ndio kilichofanyika.
Umesoma hati ya mashitaka?Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Wewe ndie hujui wamefukuzwa uanachama sababu NEC ilipeleka majina yao bungeniYaani hapo ndio unaona mchongo wao ulivyp bugi. AG ameshindwa kuishauri vyema serikali amebaki kupelekeshwa na CCM wasio jitambua.
Kesi ya kupinga kuvuliwa uanachama wao badala ya kudili na Chadema wana kimbilia kuihusisha na NEC sijui hao wanahusikaje na uanachama wa wanaofukuzwa.
Sophia simba hakwenda mahakamani aliliridhika na uamuzi wa chamaKwani Sofia Simba alipopigwa chini na ccm hizo sheria hazikuwepo?!
wamefukuzwa uanachama katakana na utovu wao wa nidhamu.Wewe ndie hujui wamefukuzwa uanachama sababu NEC ilipeleka majina yao bungeni
Kuwa NEC ndio iliyosababisha wafukuzwe