Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?

Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?

Ilitolewa na nani?
Ukiambiwa urais ni taasisi uelewe.

Au unadhani hata mama yako aliamka na kuwaambia watu anataka filamu ya roho tuwa!!!ile anapangwa na watu wanapigia huko akija shtuka analaumiwa Kwa Jambo aliloshauriwa tu.
 
Nimeshangaa kuona mawakili wa serikali ndiyo wanaowawakilisha na kuwatetea Cov 19 kwenye kesi yao binafsi. Hii imekaaje. Huko nyuma kuna wabunge wa CUF walitimuliwa na chama Chao lakini hatukuona serikali na mwanasheria mkuu akijiingiza. Hivi hapa serikali imeingiaje kwenye hii kesi ambayo imefunguliwa na Cov 19. Binafsi ningeelewa kama Chadema ndiyo wangekuwa wamefungua hiyo kesi... Probably, Mwanasheria mkuu angeingia kutetea Bunge na Mahera.

Wanasheria tusaidieni Pascal Mayalla
 
Mambo ya aibu na ovyo kabisa, wanapoteza tax payer money na kuvunja sheria, ofisi ya mwanasheria mkuu imejaa mazuzu na wapiga mihuri tuu
 
Nimeshangaa kuona mawakili wa serikali ndiyo wanaowawakilisha na kuwatetea Cov 19 kwenye kesi yao binafsi. Hii imekaaje. Huko nyuma kuna wabunge wa CUF walitimuliwa na chama Chao lakini hatukuona serikali na mwanasheria mkuu akijiingiza. Hivi hapa serikali imeingiaje kwenye hii kesi ambayo imefunguliwa na Cov 19. Binafsi ningeelewa kama Chadema ndiyo wangekuwa wamefungua hiyo kesi... Probably, Mwanasheria mkuu angeingia kutetea Bunge na Mahera.

Wanasheria tusaidieni Pascal Mayalla
Mashauri yoyote yanoihusu serikali, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni mshtakiwa, hivyo hao wanasheria wa serikali wako hapo kulitetea Bunge na NEC na sio kuwatetea kina Halima Mdee.

Ila kwenye kesi za jinai zenye hukumu ya kifo, (capital punishment), kama uhaini na muder, mshitakiwa hata kama huna uwezo wa kuajiri wakili, serikali inakuwekea wakili wa kukutetea Kwa kuaajiri mawakili binafsi kukutea ambao watalipwa na serikali.

P
 
Mbowe alishasema Jukumu la kuwavua Uanachama ni la Chadema na wamelitekeleza…mengine wataachia Wanachama ila cha kushangaza kina Malya wanataka wale pesa za uwakilishi
 
Nimeshangaa kuona mawakili wa serikali ndiyo wanaowawakilisha na kuwatetea Cov 19 kwenye kesi yao binafsi. Hii imekaaje. Huko nyuma kuna wabunge wa CUF walitimuliwa na chama Chao lakini hatukuona serikali na mwanasheria mkuu akijiingiza. Hivi hapa serikali imeingiaje kwenye hii kesi ambayo imefunguliwa na Cov 19. Binafsi ningeelewa kama Chadema ndiyo wangekuwa wamefungua hiyo kesi... Probably, Mwanasheria mkuu angeingia kutetea Bunge na Mahera.

Wanasheria tusaidieni Pascal Mayalla
Sababu ni moja tuu kwakuwa hii kesi ina mahusiano na CHADEMA chama bora cha siasa kuwahi kutokea Tanganyika
 
Mashauri yoyote yanoihusu serikali, Mwanasheria Mkuu ni mshtakiwa hivyo hao wanasheria wa serikali wako hapo kulitetea Bunge na NEC na sio kina Halima Mdee.

Ila kwenye kesi za jinai zenye hukumu ya capital punishment (kifo), kama uhaini na muder, mshitakiwa hata kama huna uwezo wa kuajiri wakili, serikali inakuwekea wakili wa kukutetea na serikali itaajiri mawakili binafsi na serikali ndio itawalipia.

P
Akina mdee ni walikuwa wanachadema na wamefukuzwa na chama chao mawakili wa serikali wanahusika vipi hapo ndio swali la mtoa mada
 
Wanaowatetea Ni Hawa hapo chini. Hao mawakili wa serikali Ni wepi?
Fanya research vizr.
Screenshot_20220518-195213.png
 
Mashauri yoyote yanoihusu serikali, Mwanasheria Mkuu ni mshtakiwa hivyo hao wanasheria wa serikali wako hapo kulitetea Bunge na NEC na sio kina Halima Mdee.

Ila kwenye kesi za jinai zenye hukumu ya capital punishment (kifo), kama uhaini na muder, mshitakiwa hata kama huna uwezo wa kuajiri wakili, serikali inakuwekea wakili wa kukutetea na serikali itaajiri mawakili binafsi na serikali ndio itawalipia.

P
K.m mtaaluma wa habari ingependeza zaidi , ungetoa ufafanuzi uliokamilika , kwa kuhusisha aliyefungua kesi , na kesi inahusu nini , na kutokana na sheria ilivyo, ingetufumbua macho na wengine tusio jua sheria , na kama mwandishi mlei unamwelewesha zaidi
 
Mzee mbowe aliwekeza nii TANU/CCM
Ebu nionyesha chote cha Mbowe Dar es Salaam
Tanzania siyo Dar es Salaam tu. Nyerere yeye ana nini Dsm? Je, wazee Lazaro Bomani, Amri Abeid, John Rupia, Thabit Kombo wana nini Dar es Salaam? Ni vivyo hivyo kwa mzee Aikaeli Mbowe.
 
Mashauri yoyote yanoihusu serikali, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni mshtakiwa, hivyo hao wanasheria wa serikali wako hapo kulitetea Bunge na NEC na sio kuwatetea kina Halima Mdee.

Ila kwenye kesi za jinai zenye hukumu ya kifo, (capital punishment), kama uhaini na muder, mshitakiwa hata kama huna uwezo wa kuajiri wakili, serikali inakuwekea wakili wa kukutetea Kwa kuaajiri mawakili binafsi kukutea ambao watalipwa na serikali.

P
Asante kwa majibu yako. Lakini kwenye hii kesi sioni kama serikali inahusika. Can you please explain uhusika wa serikali kwenye hii kesi.
 
Huyo AG ukiambiwa kashfa zake utakufa huku unajiona , uliza hela za wahujumu uchumi waliodaiwa kukiri makosa zilikoenda .
Yaani wewe hujui tofauti ya AG na DPP?
Kesi za wahujumu uchumi zinafanya nini kwa AG?
Huyu nae ni mmojawapo wa think tank ya Chadema!
 
NEC? hii si committee ya CCM, lini serikali imeanza kutetea vyama?
Mkuu Kong Chi , NEC hii sio National Executive Committee ya CCM ni National Electoral Commission of Tanzania.

Hili suala la wabunge 19 wa viti maalum Chadema, wengi wasiojua mambo wanalilaumu Bunge kuhusika, Bunge halihusiki kabisa, Bunge is an innocent victims, lenyewe limeletewa majina na NEC. Kama kweli kuna forgery yoyote uliofanywa kwenye u upatikanaji wa wabunge hawa then imefanywa kati ya Chadema na NEC, Bunge limepelekewa majina with authentic bonafide genuine certificates na kuwasajili na kuwaapisha kuwa wabunge, hivyo ni Wabunge halali kabisa.

P
 
Back
Top Bottom