Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Please refer the post above Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?Swali la msingi ni jinsi gani Bunge na Mahera wanahusushwa kwenye hii kesi? Probably, I am naive but I doesn't add up...!! Tu Naomba ufafanuzi sisi laymen.
Watahamia Konde Gang wazee wa kukooa.Please refer the post above Kwanini Serikali imeweka Mawakili wake kuwatetea akina Mdee? AG akichafuka wakubwa zake watabaki wasafi?
P.
Nani ameishtaki NEC?Hakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.
Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.
NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Hahahahaaaa...labda Mdee kuwashtaki... siasa za Tz kaazi kwelikweli.Nani ameishtaki NEC?
Wakati huo DPP alikuwa nani na AG wa sasa ni nani ?Hiyo plea bargain ilikuwa inafanyika kwa DPP sio AG
DPP alikuwa bwana Biswalo Mganga ambaye ametolewa na kupewa ujaji maana imebidi kumficha tu alikuwa anatumika kwa udhalimu wa Meko na AG alikuwa Dr Adelardus Kilangi ambae amekuwa balozi kwa sasa. Ila huyu DPP alikuwa mwanaharamu kwelikweli under Meko rule hakuwaga na mzaha huyu mshenzi na hela nyingi sana ameiba maana zile pesa walikuwa wakilipa hazikuwekwa kwenye account yeyote ya DPP au ya Mahakama au serikalini mpaka hata CAG aliwahi kuongelea hii ishu.Wakati huo DPP alikuwa nani na AG wa sasa ni nani ?
Kwanini wananchi tusimkamate huyu kwa umoja wetu na kumnyang'anya Mali hiyo ya wizi?DPP alikuwa bwana Biswalo Mganga ambaye ametolewa na kupewa ujaji maana imebidi kumficha tu alikuwa anatumika kwa udhalimu wa Meko na AG alikuwa Dr Adelardus Kilangi ambae amekuwa balozi kwa sasa. Ila huyu DPP alikuwa mwanaharamu kwelikweli under Meko rule hakuwaga na mzaha huyu mshenzi na hela nyingi sana ameiba maana zile pesa walikuwa wakilipa hazikuwekwa kwenye account yeyote ya DPP au ya Mahakama au serikalini mpaka hata CAG aliwahi kuongelea hii ishu.
Naomba nielimishwe: Mdee na wenzake wameishtaki Chadema na Bodi ya Wadhamini ya Chadema kwa kuwafuta uanachama. NEC inaingizwaje pia kama mshitakiwa No.3?Hakuna wakili wa serikali anatetea mtu binafsi.
Sheria inataka serikali ikishitakiwa AG awe part ya kesi.
NEC imeshitakiwa hivyo mawakili wa serikali lazima wawepo.
Mbona Halima kwenda Mahakamani imewasumbua sana wana Chadema?Tumetoka kuondoa kesi mahakamani dhidi ya Mbowe serikali ikiwa imechafuka, utaratibu wa kuondoa kesi hiyo ukiwa na maswali mengi KUHUSU uhusika wa viongozi wakubwa. Tumejisafisha lakini Bado atujatakata.
Hali ikiwa Tete tumeingia Tena kwenye mgogoro wa ajabu usiohutaji kujadiliwa. Usiotoa political mailage badala yake unafifisha juhudi na kuwapa mailage akina kibatala bila Hata sababu ya maana.
Serikali imeanza kuvuliwa nguo Kupitia uandaaji wa affidavit kitu ambacho watu makini walipaswa kukiona; tumeanza kuonekana Mawakili wa Jamhuri awaelewi .
Tutaendelea na kesi hizi tukidhani tunaikomoa Chadema lakini tukumbuke wapo Wana CCM wanalalamika chama kuendelea kuikumbatia wageni Kwa kuwapa Ubunge, udiwani ukuu wa wilaya na mkoa Hadi uwaziri huku Wana CCM wakisota bench. Wapo Wana CCM wanajua 2025 akina Halima watapitishwa kwa upendeleo na hivyo wao wataendelea kusota. Wapo Wana ccm wanaelewa mchezo wa wapinzani kujipitisha wanunuliwe wajijenge kiuchumi wakijiandaa kuivuruga CCM
Najiuliza washauri wa serikali wanaona CCM inanufaika vipi na migogoro hii? Kwanini tusishtuke kwamba wapo wanasayansi wa siasa wanamvuruga mwenyekiti Ili Hali 2025 iwe Tete wapige fedha Kupitia dola wakimwaminisha akubaliki?
Kupanga ni kuchagua
Hatutaki kuambiwa bali peleka Mahakamani kama unazijua na evidence zipoHuyo AG ukiambiwa kashfa zake utakufa huku unajiona , uliza hela za wahujumu uchumi waliodaiwa kukiri makosa zilikoenda .
NEC ndio anapeleka majina ya wabunge wataule bungeni.Naomba nielimishwe: Mdee na wenzake wameishtaki Chadema na Bodi ya Wadhamini ya Chadema kwa kuwafuta uanachama. NEC inaingizwaje pia kama mshitakiwa No.3?
Ameshapewa ujaji aisee πππKwanini wananchi tusimkamate huyu kwa umoja wetu na kumnyang'anya Mali hiyo ya wizi?
Kama yupo hapa hapa nchini, waandishi watuonyeshe, kwani anaulinzi gani?