Kwanini Serikali inatumia Tsh Billion 200 kununua dawa za “Mabeberu” kila mwaka?

Kwanini Serikali inatumia Tsh Billion 200 kununua dawa za “Mabeberu” kila mwaka?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini Serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu.

Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka.

Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
 
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka. Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
Huna akili.
 
Mkuu tunafanya hivyo kwa sababu tuna famasia ambao ni vilaza hata panadol hawajui kutengeneza. Wao elimu yao walienda kusoma ili wauze dawa zilizotengenezwa na wanaume wengine. Ni aibu sana hawa famasia wetu. Pia katika watu wote waliosomea masuala ya afya.
 
Mkuu tunafanya hivyo kwa sababu tuna famasia ambao ni vilaza hata panadol hawajui kutengeneza. Wao elimu yao walienda kusoma ili wauze dawa zilizotengenezwa na wanaume wengine. Ni aibu sana hawa famasia wetu. Pia katika watu wote waliosomea masuala ya afya.
Tatizo ni la wao kusoma au aina ya elimu waloyosoma?

Elimu ni kiwanda kinadharisha watu/jamii/wafanyakazi unaowataka kupitia mtaala unaowafunza kwao

Niliwahi kusema humu, lazima tuelewe dhana ya elimu kwenye all-round sphere!

Education as an Output

Education as an Outcome

Education as the Product

Nakumbusha tena, Chuo kimoja cha Ufundi Stadi kilichokamilika ni bora kuliko sekondari 100

Tunadharau Vocational training lakini ipo siku tutaiamkia "shikamoo"
 
Tatizo ni la wao kusoma au aina ya elimu waloyosoma?

Elimu ni kiwanda kinadharisha watu/jamii/wafanyakazi unaowataka kupitia mtaala unaowafunza kwao

Niliwahi kusema humu, lazima tuelewe dhana ya elimu kwenye all-round sphere!

Education as an Output

Education as an Outcome

Education as the Product

Nakumbusha tena, Chuo kimoja cha Ufundi Stadi kilichokamilika ni bora kuliko sekondari 100

Tunadharau Vocational training lakini ipo siku tutaiamkia "shikamoo"
Mkuu tatizo ni wao na elimu waliosoma. Wamekuwa wajinga kwa sababu wamesoma kitu ambacho hawakijui vizuri na mwisho wa siku walichosoma hakina tija katika jamii. Vivyo hivyo, wataalamu hao hawana tija kwa jamii.
 
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka. Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
😂😂, Nenda directly siyo upinde, tutanunua hzo dawa ila chanjo zao saiz noo, mbona wao wanazo ila bado wanakufa🤔🤔, afu siyo kwamb kisa tunanunua hzo ndo wakigundua hata mav nayo tusombe tuu, we have to reson first, afu unajua Watz 60 milioni itagarim kias gan?
 
Mkuu tunafanya hivyo kwa sababu tuna famasia ambao ni vilaza hata panadol hawajui kutengeneza. Wao elimu yao walienda kusoma ili wauze dawa zilizotengenezwa na wanaume wengine. Ni aibu sana hawa famasia wetu. Pia katika watu wote waliosomea masuala ya afya.
Lakin ungeanza kwa kuleza hvii, mm n ( professional yako) nimefanya ( ulichokigundua au ulichokifanya) ndo uleze tatzo la watu wa afya, tusilaum, changes begins with you
 
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka. Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
Sio kila mzungu ni beberu hata wa Asia, na waafrika wapo mabeberu
 
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka. Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
Kwa nini na mabeberu wanahangaika na madini yetu sisi masikinii??
 
Kwa nini na mabeberu wanahangaika na madini yetu sisi masikinii??
Wanatudharau kwa ambacho sisi hatuna ila sisi tunawaheshimu kwa ambacho hawana😐😐
Kweli watuache tuu sisi maskini na mali zetu na corona yetu, wabaki na vaccine zao🤣🤣🤣
 
Mkuu tatizo ni wao na elimu waliosoma. Wamekuwa wajinga kwa sababu wamesoma kitu ambacho hawakijui vizuri na mwisho wa siku walichosoma hakina tija katika jamii. Vivyo hivyo, wataalamu hao hawana tija kwa jamii.
Hivi sera na mitaala inatengenezwa na nani?Mwanafunzi anaanzia Chekechea,Msingi,Sekondari na Vyuoni wanajiamulia wafunzwe nini?Ukijijibu hayo utafahamu kwa nini Mfamasia hawezi kutengeneza Paracetamol maana hiyo dawa ishatengenezwa.Akiweza aje na mbadala lakini tatizo ni mitaala na kuwapa wanasiasa watuamulie aina ya maisha yetu yote ili watutawale wapendavyo.
Tusipobadilika tumekwisha,lazima tujenge mifumo na taasisi za kiutawala zinazoheshimika kuepuka mihemko ya wanasiasa.
 
Kwa nini na mabeberu wanahangaika na madini yetu sisi masikinii??
Hayo madini mlishawapa bure miaka mingi iliyopita now wametulia tu, sasa nyie ndio mnahangaika na mikataba mibovu mliyo saini nao wenyewe.
 
Back
Top Bottom