- Thread starter
- #21
😂😂, Nenda directly siyo upinde, tutanunua hzo dawa ila chanjo zao saiz noo, mbona wao wanazo ila bado wanakufa🤔🤔, afu siyo kwamb kisa tunanunua hzo ndo wakigundua hata mav nayo tusombe tuu, we have to reson first, afu unajua Watz 60 milioni itagarim kias gan?
Nani kafa baada ya kupata chanjo ya korona? Nipe mtu mmoja tu. Je wangapi wamekufa na Korona ? Wewe pima. Tatizo la chanjo ni kwamba utengenezaji ni mdogo bado sio kutokamini njanjo maana makampuni ni hayo hayo. Asprin iligundulika wakati wa hitler lakini tunaitumia. Ndugu yangu inawezekana wewe ni kilaza lakini wasomi wanajua kwamba kinsayansi binadamu ni sawa hivyo kuweka ubaguzi ni kuonyesha ujinga wa mtu .