Kwanini Serikali inatumia Tsh Billion 200 kununua dawa za “Mabeberu” kila mwaka?

Kwanini Serikali inatumia Tsh Billion 200 kununua dawa za “Mabeberu” kila mwaka?

😂😂, Nenda directly siyo upinde, tutanunua hzo dawa ila chanjo zao saiz noo, mbona wao wanazo ila bado wanakufa🤔🤔, afu siyo kwamb kisa tunanunua hzo ndo wakigundua hata mav nayo tusombe tuu, we have to reson first, afu unajua Watz 60 milioni itagarim kias gan?
 
Jamani mnapoandika andikeni mambo yanayoingia akilini.common sense.hivi dini gani inakwambia usali mungu atakuponya?ugua malaria ya mdudu 1tu, uombe kama utapona.ila unatumia dawa papo hapo unamwomba muumba akuponye.ndui kaondoka kwa chanjo,polio vivyo hivyo ila kuhusu malaria zipo dawa zinazotibu na unapona.ukienda kwenye ukimwi unajitakia mwenyewe.pamoja na hayo kuna dawa za kurefusha maisha.watu wanaishi mpaka wanazeeka lakini wanafuata ushauri.lakini hili la covid 19 halina mzaha.uwezo wa kutuletea chanjo vaccine upo tena mkubwa sana.serikali yetu ina uwezo mkubwa kifedha.KKKT wameshatoa waraka.covid 19 haina mzaha jamani eeeh.
 
Mkuu achana na wanasiasa hao, mwanasiasa siyo wa kumwamini chochote hata akikwambia haya Ni maji usimwamini maana anaweza sem haya Ni maji kumbe ni konyagi
hao sio wanasiasa bali ni wakosa akili. kwani siasa inataka tusitumie akili?
 
Chanjo kutoka kwa mabeberu 😂
 

Attachments

  • 72309F44-DD36-4751-B03B-05D28A00D7F5.jpeg
    72309F44-DD36-4751-B03B-05D28A00D7F5.jpeg
    74.4 KB · Views: 2
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini Serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu.

Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka.

Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
umenisaidia sana kumbe. Tunatoa billion 200 sasa hii kila mwaka au kila baada ya miaka miwili.

Hata madaktari wote humu hii hawajui!wala kusikia!! Yaani nchi hii?? Dr yoyte humu jibu!!!

Si waganga wa kienyeji tunao??? Au bado mnawadharau
 
Kwa wanaosema dawa za mebebeu ni za kutuua nauliza kwanini Serikali inatumia billion 200 za kitanzania kila mwaka kuagiza dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu. Nyingi zinatoka India lakini hizi ni copy generic ya dawa ambazo zimegunduliwa na mabeberu.

Dawa za malaria, antibiotic, drip zote, chanjo za watoto kama ni kweli tusitumie pesa nyingi hivi kwa dawa. Badala yake tu sali tu na kutumia miti shamba kama wengine wanavyotaka.

Halafu tuangalie baada ya miaka 10 kama tutakuwa tumeongezeka au kupungua. Watoto wetu badala ya chanjo za ukoma mfano tuwape nyungu tuone itakuwaje!
Na wakati dawa ni malimao na tangawizi
 
Back
Top Bottom